Agent business ni biashara ya muda na si biashara endelevu kabisa

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
Biashara ya kuwa wakala huwa mara nyingi kama sio zote ni biashara za muda sana na sio sustainable. Make Ili uendelelee kuwepo kunahitaji mwenye mali aendelee kuwepo.

Chukulia mfano ulikuwa umefungua Office na ukawa wakala wa Fastjet na Fastjet leo hii hawapo tana na wewe huna namna na haupo tena.

Hata hizi wakala wa Mpesa sijui Tigo pesa ni biashara za mida tu kwa sababu siku Voda wakibadilisha mifumo na wewe ndo mwisho wako. Siku jamii ikianza kutumia cashless basi na wewe itabidi utafute biashara nyingine ya kufanya.

Hivyo mara zote uwakala sio sustainable kwamba sio biashara ya kukuweka miaka mingi ijayo kama ilivyo biashara kama za manufacture na kadhalika.

Biashara za uwakala ni za kutafutia pesa tu ili mtu akafanye investment zingine.
 
Biashara ya kuwa wakala huwa mara nyingi kama sio zote ni biashara za muda sana na sio sustainable. Make Ili uendelelee kuwepo kunahitaji mwenye mali aendelee kuwepo.

Chukulia mfano ulikuwa umefungua Office na ukawa wakala wa Fastjet na Fastjet leo hii hawapo tana na wewe huna namna na haupo tena.

Hata hizi wakala wa Mpesa sijui Tigo pesa ni biashara za mida tu kwa sababu siku Voda wakibadilisha mifumo na wewe ndo mwisho wako. Siku jamii ikianza kutumia cashless basi na wewe itabidi utafute biashara nyingine ya kufanya.

Hivyo mara zote uwakala sio sustainable kwamba sio biashara ya kukuweka miaka mingi ijayo kama ilivyo biashara kama za manufacture na kadhalika.

Biashara za uwakala ni za kutafutia pesa tu ili mtu akafanye investment zingine.
Kweli tupu.
 
Biashara ya kuwa wakala huwa mara nyingi kama sio zote ni biashara za muda sana na sio sustainable. Make Ili uendelelee kuwepo kunahitaji mwenye mali aendelee kuwepo.

Chukulia mfano ulikuwa umefungua Office na ukawa wakala wa Fastjet na Fastjet leo hii hawapo tana na wewe huna namna na haupo tena.

Hata hizi wakala wa Mpesa sijui Tigo pesa ni biashara za mida tu kwa sababu siku Voda wakibadilisha mifumo na wewe ndo mwisho wako. Siku jamii ikianza kutumia cashless basi na wewe itabidi utafute biashara nyingine ya kufanya.

Hivyo mara zote uwakala sio sustainable kwamba sio biashara ya kukuweka miaka mingi ijayo kama ilivyo biashara kama za manufacture na kadhalika.

Biashara za uwakala ni za kutafutia pesa tu ili mtu akafanye investment zingine.
Itategemeana na aina ya biashara na kampini..kwamfano uwe wakala wa coca cola au pepsi nikampuni ziko miaka zaid ya 70 zinaoperate shuguli zake
 
Ndio uyasemayo ni kweli na siku zote usitegemee 100% biashara ya uwakala , japokuwa iko profitable in shortrun ni vyema ukaitumia kuji boost in longrun. Chukulia mfano leo ume close deal na bajaji ukawa agent mkuu contract ikiisha atakuja mfanyabiashara ata close deal kwa bid kubwa, hivyo ani.
 
Itategemeana na aina ya biashara na kampini..kwamfano uwe wakala wa coca cola au pepsi nikampuni ziko miaka zaid ya 70 zinaoperate shuguli zake
Mkuu, haitegemeani na chochote! Kampuni hata isipofilisika inaweza kubadili policy(sera)yake juu ya mawakala wake na kuwaumiza

: kwa mfano kwenye soda za pepsi mawakala wanauziwa creti kwa tsh 9,300 na bei ya soko iliopangwa ni 9,800 kwa cret. Faida ya wakala ni 500 tu.kampuni ikiamua kupandisha mpk 9500 nna bei ya soko ikabaki 9,800 faida ya wakala inabaki 300 tu kwa creti.


Kukiwa na shortage ktk uzalishaji wa soda mawakala wanakosa cha kuuza wakat mwingine mpk wiki 2.

Coca cola ndo hovyo kabisa , ili uletewe mzigo kwanza una deposit fedha bank. Hio hairudi unaletewa soda yyt iliopo. Mfano unaeza letewa stoney tangawizi nyingii wakat wateja wako wengi ni wa coca fanta na spalleta!

Biashara yyt ambayo inategemea ruhusa , vigezo na masharti ya kampuni nyingine ili kujiendesha hiyo sio biashara !
 
Wanajukwaa, Heri ya pasaka!

Poleni na magumu ya COVID-19.

BAADA YA SALAMU naomba nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Mwenzenu baada ya kuona maisha yamekuwa magumu nikaota ndoto ambayo nataka iwe kweli.

Wazo nililonalo ni kutafuta fremu ya biashara hapa mjini, nikishaipata niende kwenye makampuni makubwa yanayosambaza bidhaa za nyumbani kama ngano, sukari, mafuta ya kula, kupaka, sabuni za kuogea na kufulia.

Naongea nao ili niwe agent wao katika sehemu husika, yaani wanipatie bidhaa niuze, fedha ya mtaji wachukue halafu nibaki na asilimia fulani ya faida kutegemea na makunaliano. Ndani ya miaka mitatu natumaini nitakuwa na uwezo wa kujiendesha na kuanza kununua bidhaa kutoka kwao badala ya kupewa kuwauzia kama ajenti.

Ninachotaka kujuwa kutoka kwenu wanajukwaa:

Je, ndoto yangu yaweza timia?
Je, natakiwa niwe na mtaji wowote tofauti na chumba cha biashara?
Je, kuna mtu ambae anafanya hiyo kazi tupeane uzoefu?

Natanguliza shukurani za dhati kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri lenye uthubutu. Anza na suppliers wa Kati kabla ya wakubwa. Zunguka mashineni na viwandani. Best wishes
 
Wazo lako linawezekana endapo kama utakuwa aidha na PESA au NETWORK.

Hakuna mtu atakupa bidhaa from NO WHERE eti umlipe baada ya MAUZO.

You need something to make something.
 
Habari zenu wadau.
Mnaendeleaje na majukumu?
Kwa wale wataalamu wa mambo ya biashara kuna kitu napenda mnielimishe kidogo maana nimepata wazo la kujiongezea kipato.
Kwa mfano kuna zile kampuni za nje ambao wanauza industrial machines/equipments nimewaza niongee nao niwe natafuta wateja huku Bongo then wasafirishe kuleta huku baada ya mteja kulipia mashine anayohitaji akishapokea mimi napata commission yangu like 10%.
Je hii biashara inawezekana kufanyika?Je sheria ya tanzania itanizuia kufanya hii biashara kama sina vibali vyovyote?Je hao wateja huwa wananunua kwa mtindo kama huu niliousema mimi au kuna staili tofauti inayoaminika?
Nakaribisha mawazo kwa wale wenye uzoefu wa haya mambo kama hujui kaa pembeni tafadhali sipendi mawazo ya wanaokisia.
 
Biashara ya kuwa wakala huwa mara nyingi kama sio zote ni biashara za muda sana na sio sustainable. Make Ili uendelelee kuwepo kunahitaji mwenye mali aendelee kuwepo.

Chukulia mfano ulikuwa umefungua Office na ukawa wakala wa Fastjet na Fastjet leo hii hawapo tana na wewe huna namna na haupo tena.

Hata hizi wakala wa Mpesa sijui Tigo pesa ni biashara za mida tu kwa sababu siku Voda wakibadilisha mifumo na wewe ndo mwisho wako. Siku jamii ikianza kutumia cashless basi na wewe itabidi utafute biashara nyingine ya kufanya.

Hivyo mara zote uwakala sio sustainable kwamba sio biashara ya kukuweka miaka mingi ijayo kama ilivyo biashara kama za manufacture na kadhalika.

Biashara za uwakala ni za kutafutia pesa tu ili mtu akafanye investment zingine.
N Kweli ata mpesa& tigo pesa na airtelmoney hasa hivi zina changamoto ya tozo.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom