Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,715
45 million ni miamala 45 mkuu? Hebu kuwa serious😁😁😁Sasa mkuuu!! Huoni kuwa miamala 45 ni ulifanya michache sana kwa mwezi???? iyo 45 watu wanaifanya kwa siku na zaidi
45 million ni miamala 45 mkuu? Hebu kuwa serious😁😁😁Sasa mkuuu!! Huoni kuwa miamala 45 ni ulifanya michache sana kwa mwezi???? iyo 45 watu wanaifanya kwa siku na zaidi
Mbona ulichoandika hapa nitofauti na nilichokiandika mimi?45 million ni miamala 45 mkuu? Hebu kuwa serious
Hujaandika kitu kilichonyookaMbona ulichoandika hapa nitofauti na nilichokiandika mimi??
OK.Hujaandika kitu kilichonyooka
Ndio, zilikua dili sanaLine 600k ???????
Duh!!! Noma.Ndio, zilikua dili sana
Duuuh🙆♂️🙆♂️Hio biashara iliingiliwa mdudu ilivyoanza kupigwa kodi za ajabu 😁 ndio kipindi ambacho line ziliuzwa kwa kasi sana hapa nchini. Kila upande unasikia flani anauza line ya M-PESA mara kule flani anauza line ya TIGOPESA watu waliuziana sana line. Biashara ilikuwa ndio imeishia pale walipoanza kuminya commission!
Zamani commission line moja tu kabla watu hawajawa wengi watu walikuwa wanafungasha laki 5-7 ukiwa nazo mbili una uhakika wa 1.4-1.6M ila toka ujinga ukikusanya 150K ujue we mwanaume na kazi kweli umepiga 😂😂😂
Kulipa inalipaMm nataka kukopa kama milioni 4 nifanye hii bishaara wakuu, naimani itanilipa
Sawa ndugu, asante.Kulipa inalipa
Cha muhimu location nzuri na mtaji wa kutosha
Tafuta leseni na Tin number.Upatikanaji wa Laini za Uwakala wa Tigo Pesa,Mpesa,TPesa,Airtel Money ukoje?
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Ni lain ya mtandao gani hyo?Kuna siku nilishawahi kupata tsh 1760 eti commision ya mwisho wa mwezi...ile lain sijui niliitupa wapi.
Ukifanya transaction nyingi....ndo unapata commission kubwa and vise versa is true.Tigo pesa inalipa Sana Kwa DSM jamaa wapo vizur kinoma
Hivi hii biashara bado inalipa kama zamani?Habari ndugu zangu naomba muongozo mwenye hakika na haya anijuze.
Nawaza kufungua ofisi ndogo ya kuwa wakala wa hudumu za kifedha kupitia mitandao ya simu,
Je, leseni ya biashara inapatikana kwa gharama kiasi gani (Mimi nipo mwanza sijawai miliki hiyo kitu ndo nata kuifuatilia Kisha nisajiri lain izo)
Je, ni faida kiasi gani naweza ingiza kwa mwezi endapo kwa siku nitafanya miamala isiyopungua 500,000 laki tano yaani sawa na 15M kwa mwezi?
Asanteni nasubiria miongozo yenu.
Atakuwa alitak kusema 60kLine 600k ???????
Cku hzi ni uchuro tu...Hivi hii biashara bado inalipa kama zamani?
Nyie Nina mpango wa kufungua biashara ya uwakala wa lain zote na bank kama crdb n nmb ila mnaniogopesha na ndio biashara ya kwanzaKuna siku nilishawahi kupata tsh 1760 eti commision ya mwisho wa mwezi...ile laini sijui niliitupa wapi.