Biashara ya Utumwa--Nafungua kesi mahakama ya kimataifa

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Kitendo walichofanyiwa babu zetu kwa kukamatwa na kuuza na waarabu kinatia uchungu na kamwe hatutanyamaza mpaka waliotenda dhambi hiyo walipe gharama za hiyo dhambi
ninafikiria kuwasiliana na wanasheria wa kimataifa ili wanisaidie kufungua kesi dhidi ya mataifa ya kiarabu kwa kitendo chao cha kuwakamata,kuwanyanyasa,na kuwauza babu zetu kama watumwa
kwa sababu record zipo za kutosha naamini nitapata waafrica wengi wa kuniunga mkono kwenye hili ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo.
 
nafungulia mataifa ya kiarabu yaliyodhalilisha babu zetu ili ibaki kwenye kumbukumbu ya vizazi vyote vilivyopo na vijavyo
 
please read this

Slavery had been abolished in Great Britain in 1772 by Lord Mansfield in R v Knowles, ex parte Somersett[SUP][2][/SUP] and Britain had outlawed the slave trade with the Slave Trade Act in 1807, with penalties of £100 per slave levied on British captains found importing slaves (treaties signed with other nations expanded the scope of the trading ban

100 pound fine
i did not know we are soo cheap
 
Anza na wabritish kwanza na ndio waliwafundisha warabu.
 
Historians estimate that between 10 and 18 million Africans were enslaved by Arab slave traders and taken across the Red Sea, Indian Ocean, and Sahara desert between 650 and 1900
 
Back
Top Bottom