Biashara ya Utumwa ililetwa na nani hapa kwetu?

Umenikumbusha Topic Ya History Form Six "black People In The New World" Ali Hassan Mwinyi High School-Taboraaa!
 
Mtu aliyeanzisha hii thread amekusudia kudhihaki dini anayotofautiana nayo. Kwa wale wenye nia ya kuelewa na kuepuka ujinga wa kubishana kishaabiki, hili suala la biashara ya utumwa halikuanzishwa na dini ya kiislam wala kikristo. Watumwa walikuwepo kabla ya uislam au ukiristo. Suala hapa ni kuchunguza misaafu, hadithi, sira na matendo ya waasisi wa hizo dini kuona kama wao binafsi walijihusisha na utumwa au la. Ukichunguza utagundua kuwa mtume mohamed alimiliki watumwa na Wafuasi wake walimiliki watumwa vilevile. Ukiangalia declaration ya kukomesha utumwa duniani, baadhi ya nchi za kiislam hazija -ractify hilo azimio, saudi arabia imefanya hivyo miaka ya hivi karibuni. Kwa upande wa wakiristo, Yesu hakumiliki watumwa, kati ya wanafunzi wake 12 hakuna hata mmoja aliyemilki mtumwa, actually waliacha familia zao na kwenda nchi za mbali kuhubiri habari njema ya ufalme na wote waliuwawa na wapinga dini.

Modern slave trade iliyofanyika barani Afrika, ilikuwa na outlets mbili yaani magharibi na mashariki. Watumwa wengi walienda mashariki kuliko magharibi, lakini wengi waliokwenda mashariki walikufa au kuhanisiwa ili wasizaliane matokeo yake waliokwenda magharibi wengi walibahatika kuishi. Wengi wa watumwa waliokwenda magharibi walichukuliwa kutoka nchi za magharibi mwa afrika.

Watumwa wa afrika mashariki wengi walipelekwa uarabuni, hadi leo mwarabu anamwita mtu mweusi abdu au abdi yaani mtumwa. Walikuwa ni wengi kiasi cha kutishia stability ya serkali za kiarabu enzi hizo. Kwa ajili ya ukatili na mauaji waliyofanyiwa leo watu weusi hawapo wengi uarabuni kulinganisha na walioko amerika. Ndo maana watu wasio na ufahamu mpana wanadhani watumwa walipelekwa nchi za wazungu tu kwa vile ndiko kuliko weusi vizazi vya watumwa wengi.

Mrdash1 naona unajitahiidi kuuchomoa Ukiristo na Utumwa kupitia mlango wa nyuma. Brazil ni moja wapo ya nchi yenye athari kubwa ya utumwa-akina Ramirez na Willian.
Pia nchi ya Brazil ina athari kubwa ya Ukiristo wa Kikatoliki. Ni wazi hapa kuna mahusiano ya wazi!
 
Last edited by a moderator:
Ubaguzi wa rangi ulianzishwa na aya ya Biblia kupitia Kitabu cha Kutoka katika Agano la Kale.
 
Makabila yote yalishiriki Biashara ya Utumwa,wapo waafrika,waarabu,wazungu nk,hakuna binadamu ambaye hakushiriki Biashara hii.
Hata watumwa walikuwako wa makabila,walikuwapo waafrika watumwa,waarabu watumwa,wazungu watumwa
 
Slavery za Kikiristu zinaitwa 'Human Trafficking' au forced labour !
Wanawafanyisha Ukahaba wanawake na kuwageuza jina 'Sex Workers'

'Kinga maovu kwa kutenda yaliyo mema zaidi. Sisi tunayajua wayasemayo (Makafiri kuuzushia Uislaam !)

Qur'an: 23:96.
​Islam is FAKE and BOGUS.
 
Kwani Kuna watu ambao mpaka Leo wanaamini kuwa waarabu hawajawahi kufanya biashara ya utumwa ?

Kwani Kuna watu ambao mpaka Leo wanaamini wazungu hawajawahi kufanya biasha ya utumwa ?

Mbona it's simple vitu vingine huitaji hata kuwa genius kuvijuwa Sasa tupo kwenye ulimwengu ambao kila kitu kipo viganjanjani mwetu.

Wazungu walifanya biashara ya utumwa na ni kweli pia yapo makabila ambayo yalifanya biashara ya utumwa by one way or another.

Waarabu walifanya biashara ya utumwa na walifanya huku wakiwa wanaamini kuwa ni kitu ambacho kimeruhusiwa kwenye Imani Yaa kiislamu, na Kuna hadiths ambazo walikuwa wanazitumia kujustify Hilo mfano hii hapa chini👇

(SAHIH MUSLIM 1602)

There came a slave and pledg- ed allegiance to Allah's Apostle (ﷺ) on migration; he (the Holy Prophet Muhammad S.A.W) did not know that he was a slave. Then there came his master and demanded him back, whereupon Allah's Apostle( the Holy prophet Muhammad S.A.W) (ﷺ) said: Sell him to me. And he bought him for two black slaves, and he did not afterwards take allegiance from anyone until he had asked him whether he was a slave (or a free man)



Link ya Hadith Sahih Muslim 1602 - The Book of Musaqah - كتاب المساقاة - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم)

Hapa unaona kabisa, mtume Muhammad S.A.W Alinunua mtumwa mmoja mweupe ambaye anathamani ya watumwa wawili weusi, yaani watu wawili weusi ni sawa na mtu mmoja mweupe. Na hii ni Sahihi Hadith na hiyo ndo sababu hata baada ya mataifa mengi ya ulaya kuabolish slave trade mataifa mengi ya kiarabu yaligoma maana yalikuwa yakiona kuwa ni sawa kiimani maana hata mtume MUHAMMAD alifanya.

Hadith nyingine👇

Narrated Anas bin Malik:

Allah's Apostle (Muhammad S.A.W) was on a journey and he had a black slave called Anjasha, and he was driving the camels (very fast, and there were women riding on those camels). Allah's Apostle said, "Waihaka (May Allah be merciful to you), O Anjasha! Drive slowly (the camels) with the glass vessels (women)!"
— Sahih al-Bukhari, 8:73:182 see also Sahih al-Bukhari, 8:73:229 Sahih al-Bukhari, 8:73:221

Hadith nyingine👇

Narrated Jabir bin Abdullah: A man decided that a SLAVE of his would be manumitted after his death and later on he was in need of money, so the Prophet (Muhammad S.A.W) took the SLAVE and said, "Who will buy this SLAVE from me?" Nu'aim bin 'Abdullah bought him for such and such price and the Prophet (Muhammad S.A.W) gave him the SLAVE.


— Sahih al-Bukhari, 3:34:351 see also Sahih al-Bukhari, 3:51:598 Sahih al-Bukhari, 8:79:707 Sahih al-Bukhari, 9:85:80 Sahih al-Bukhari, 3:51:588 Sahih al-Bukhari, 3:46:711 Sahih al-Bukhari, 9:89:296

Na zipo Hadith nyingi tu zinazoonyesha Muhammad aliuza na kununua watumwa na ndiyo sababu mpaka Leo hakuna taifa lolote la kidini la kiislamu linaloweza kusema kuwa utumwa ni biashara ya kikatili na it was evil business maana hapo watakuwa wanamkosoa hata mtume pia.Si hilo tu wao waarabu pia walichelewa kustopisha na kupitisha Sheria za kupinga utumwa mfano;

SAUDI ARABIAilipinga biashara ya utumwa mwaka 1962 yaani mwaka mmoja baada ya sisi kupata uhuru, na walikuwa wakiifanya hiyo biashara huko nyuma huku Bado wakiwa ni taifa la kidini

ISLAMIC REPUBLIC OF MAURITANIA wao walistopisha kufanya biashara ya utumwa mwaka 1981 na ndo walipitisha Sheria ya kupinga utumwa mwaka huo na huko nyuma kite walikuwa wakiifanya huku Bado wakiwa taifa linaloongozwa kwa misingi ya kidini.

OMAN waliabolish slave trade mwaka 1970 na hao pia ni taifa la kiislamu na huko nyuma kote walikuwa wanafanya biashara ya utumwa maana waliona kuwa Iko sawa kiimani.

YEMEN waliabolish slave trade 1962 mwaka mmoja baada ya sisi kupata uhuru remind you kuwa Hawa pia ni tifa lenye waislamu wengi na walikuwa wakiifanya biashara kwa kuamini hakuna tatizo kiiimani.


QATAR waliabolish slave trade 1952 na hili pia ni taifa la kidini na lilikuwa linafanya slave trade kwakuwa walikuwa wanaona hii biashara haipingani na mambo Yao ya kiiimani.

Sasa baada ya haya yote kama Kuna mtu bado haamini kuwa waarabu walifanya biashara ya utumwa tena wa kununua watu wesi huyo atahitaji msaada special wa kisaikolojia and unfortunately I'm not a physiatrist.

My point is: Wazungu walifanya biashara ya utumwa na Waarabu pia walifanya biashara ya utumwa.

SO PLEASE GUYS, MSITUMIE IMANI ZENU KUJARIBU KUPINDISHA AU KUKATAA HISTORIA YENU ILI KUWASAFISHA WALIOWALETEA DINI ILIHALI USHAHIDI UPO TENA UPO BAGAMOYO HUKO UNGUJA E.T.C. KATI YA MZUNGU NA MWARABU ALIYEKUWA WA KWANZA KUJA AFRIKA MASHARIKI ANAJULIKAMA NA HISTORIA YAKE IPO, NA ALIKUWA ANAFANYA NINI NA ALIYEFUATA PIA ANAJULIKANA NAYEYE ALIYOYAFANYA YANAJULIKANA. PIA NA MABABU ZETU PIA WALITUUZA KWA WAARABU NA PIA WAKATUUZA NA KWA WAZUNGU PIA AND THAT IS OUR HISTORY, SO LET'S ACCEPT IT.✌️
 
Back
Top Bottom