Biashara ya Utumwa ililetwa na nani hapa kwetu?

unauhakika na unalolisema?

Sasa unachotaka kusema ni kuwa soko la watumwa halikuwepo? Kanisa ndiyo lilikuwa soko la watumwa? Kanisa lilijengwa kabla ya biashara ya utumwa kupigwa marufuku? kama ni hivyo, basi wewe uliye msomi8 unajua lugha takriban saba na dialect kibao) tufahamishe kuhusu yafuatayo:
a) je biashara ya utumwa ilikuwepo unguja?
b) Je soko la watumwa lilikuwepo unguja?
c) Kama lilikuwepo, lilikuwa eneo gano pale unguja?
d) kanisa la kianglikana lilijengwa lini?
e) Je lilipokamilika biashara ya utumwa ilikuwa bado inaendelea?
f) Kama ilikuwepo ilipigwa marufuku lini na nani?
 
Huu ni upuuzi, kwani mtu mweusi hajafanya biashara ya kuuza na kununuwa watumwa? wanaotufanya watu weusi tujione kuwa ni inferior ni historians wenye imani ya u"white supremacy" NA HAKUNA JEMA WATALOLIANDIKA KWA WATU WEUSI. Inabidi sisi wenyewe tufanye researches zetu ambazo haziko biased na tunazo sources nyingi sana, kwa mfano mafirauni walizagaa, na historical remains zipo mpaka leo, kwenye fukwe nzima za mto nile na hawa walijenga majumba na mahekalu na mapyramids ambayo mpaka leo ni gumzo la dunia na hawa ni watu weusi na historical facts zinaonyesha walichukuwa watumwa kutoka sehemu mbali-mbali na hata wayahudi walishakuwa watumwa wa hawa watu. Jee, huoni kuwa walioandika historia wako biased? na jee huoni mpaka hii leo akichorwa shetani anakuwa mweusi, akichorwa yesu anakuwa mweupe, blonde with blue eyes, yaani ni mzungu? Jee, hawa mayahudi wa wakati wa yesu walikuwa wazungu? na hawa mashetani ni weusi kweli? jaribu kujiiuliza hayo kabla hujakurupuka na kuanza kuwa na inferiority complex za kupandikizwa na mabwana wa dunia (lords of the world).

Nitakuongezea. Ku Klux Klan inaongozwa na wazungu na itikadi yao kubwa ni chuki dhidi ya watu weusi. Huko urusi kuna watu weupe bado wanaua watu walio na rangi nyeusi. Stephen Lawrence aliuawa na watu weupe. Kitabu 'the Bell Curve' kili'imply' kuwa the black race ni inherently intellectually inferior to the other races. Kitabu hiki kiliandikwa na Richard Hernstein na Charles Murray mwaka 1994. Bendera ya kivita ya the Confederate States of America ( waliokuwa wakitetea utumwa katika civil war ya Marekani) ilikuwa bado ikipepea kwenye state Capitol ya South Carolina hadi mwaka 2000. Bendera hii imejumuishwa kwenye bendera ya jimbo la Mississippi na ile ya CSA kwenye ile ya Georgia. Dr Watson ambaye alishutumiwa kusema kuwa waatu weusi hasa wale wa Afrika ni intellectually inferior kwa wengine ni mzungu na pengine mkristu. Adolf Hitler alikuwa mzungu. Hendrik Frensch Verwoerd anyetambulika kuwa ndiye principal architect wa aprtheid alikuwa mzungu na mkristu. Hakuna anayepinga kuwa wote hawa walichangia kwa kiasi kikubwa katika kumdhalilisha mwaafrika. Tofauti ni kuwa jamii zao zimekiri hivyo na pale panapotokea shutuma kama hizo, hazikawii kuwachukulia hatua wahusika. Dr. Watson alifutiwa ziara yake na kibarua kikaota nyasi. Marais wa marekani wanaotembelea Senegal hawakosi kutembelea Goree Island na kukiri kuhusika kwa mababu zao katika biashara hii haramu.

Kwa waarabu na watetezi wao hatujasikia kitu kama hicho. Ni nchi ngapi za kiarabu ( na kiafrika) ambazo zimekemea udhalimu unaofanywa na serikali ya Sudan huko Darfur? Zomba naye hivyo hivyo. Katika quote yake hapa chini anashindwa kabisa kumtaja muuarabu katika waliohusika na biashara hii haramu. Anakimbilia kwenye platitudes. Utumwa umepigwa marufuku Saudi Arabia mwaka 1962, Yemen na Oman mwaka 1970 na the Islamic Republic of Mauritania mwaka 1984. Hizi zote ni nchi za kiisalamu sasa itakuwaje utumwa uliruhusiwa kuendelea mpaka hivi karibuni kama Uislamu pekee yake ndiyo uliweka mikakati ya makusudi kuupiga vita?

Biashara ya utumwa Zanzibar na dunia nzima, haikuwa ya kabila fulani au dini fulani au taifa fulani. Kuna historical writings zinzoonyesha kuwa in one way or the other hakuna wa kukwepa hilo. Iwe ni MwaAfrika, Mzungu, Mchina, Mhindi awe ni mkristo muislam au hana dini, wote walikuwa involved na ilikuwa ni biashara halali kwa wakati huo. ukiichukulia kidini. Swali la kujiuliza jee ni dini gani, iliyoweka mikakati ya makusudi kabisa kuumaliza utumwa? Jibu utakuta ni Uislamu tu. Na hilo lina proof za wazi kabisa.
 
sijui kama kuna waarabu waliokuja afrika kufanya biashara bila kuwa waisilamu. siamini kabisaa. hawa jamaa walikuwa waisilamu hata kama walikuwa hawajaanza kueneza na kusambaza dini.
walikuja kugundua baadaye umuhimu wa kuzitawala roho zetu kwa njia ya dini ili waweze kuendeleza biashara ya utumwa vizuri kwa visingizio kwamba wametumwa na mungu wao ALlah!
 
sijui kama kuna waarabu waliokuja afrika kufanya biashara bila kuwa waisilamu. siamini kabisaa. hawa jamaa walikuwa waisilamu hata kama walikuwa hawajaanza kueneza na kusambaza dini.
walikuja kugundua baadaye umuhimu wa kuzitawala roho zetu kwa njia ya dini ili waweze kuendeleza biashara ya utumwa vizuri kwa visingizio kwamba wametumwa na mungu wao ALlah!

Na wale wazungu waliwaletea nini, mungu mtu?
 
Sasa unachotaka kusema ni kuwa soko la watumwa halikuwepo? Kanisa ndiyo lilikuwa soko la watumwa? Kanisa lilijengwa kabla ya biashara ya utumwa kupigwa marufuku? kama ni hivyo, basi wewe uliye msomi8 unajua lugha takriban saba na dialect kibao) tufahamishe kuhusu yafuatayo:
a) je biashara ya utumwa ilikuwepo unguja?
b) Je soko la watumwa lilikuwepo unguja?
c) Kama lilikuwepo, lilikuwa eneo gano pale unguja?
d) kanisa la kianglikana lilijengwa lini?
e) Je lilipokamilika biashara ya utumwa ilikuwa bado inaendelea?
f) Kama ilikuwepo ilipigwa marufuku lini na nani?

mimi nakushangaa, sijui hujui kusoma au vipi? nimekwambia hakuna taifa ambalo halikufanya biashara ya utumwa. Wewe umekazana kulitetea kanisa anglikana wakati lenyewe linakiri au na hilo hutaki vilevile.

SOKO LA WATUMWA LILIKUWEPO SI ZANZIBAR TUU, hata Bagamoyo, Dar Es Salaam, au la Dar hulijuwi lilikuwa wapi? lakini la zanzibar unalolitaja una uhakika ndio hilo pekee lililopo ndani ya kanisa la anglikana? na kama lipo ndani ya kanisa anglikana limefata nini? wewe makanisa mangapi duniani unayuyajuwa yanayojengwa kwenye soko la watumwa? au hulioni hilo? waanglikana walikuwa wapo pale kwa kufanya biashar ya utumwa na soko lile lipo ndani ya kanisa ni ushahidi tosha. usisikie wanapobadili historia na ukadanganyika kuwa lipo pale kwa ajili ya historia. Jee masoko yote ya watumwa yaliyohifadhiwa historically yapo ndani ya makanisa?
 
Kumbuka biashara ya utumwa mpaka leo inaendelea duniani na references nilikupa.Na nani wanaofanya hizo biashara kwa wingi leo duniani? tafuta data halafu utaja mwenyewe.
 
Fundi Mchundo, Zomba and Inc:

Mbona mnaleta mambo ya dini katika ukumbi huu?

Nyie mliobakia Afrika babu zenu waliuza ndugu zao na ndio maana mmebaki Afrika.

Haiwezekani mwarabu mmoja atoke Bagamoyo akakamate watumwa pekee yake Kigoma kwa kutegemea gobore ambalo likinyeshewa mvua alifanyi kazi.

Na haiwezekani Mzungu kwenda ndani ya Afrika magharibi kukamata watumwa bila msaada wa mwafrika.
 
mimi nakushangaa, sijui hujui kusoma au vipi? nimekwambia hakuna taifa ambalo halikufanya biashara ya utumwa. Wewe umekazana kulitetea kanisa anglikana wakati lenyewe linakiri au na hilo hutaki vilevile.

SOKO LA WATUMWA LILIKUWEPO SI ZANZIBAR TUU, hata Bagamoyo, Dar Es Salaam, au la Dar hulijuwi lilikuwa wapi? lakini la zanzibar unalolitaja una uhakika ndio hilo pekee lililopo ndani ya kanisa la anglikana? na kama lipo ndani ya kanisa anglikana limefata nini? wewe makanisa mangapi duniani unayuyajuwa yanayojengwa kwenye soko la watumwa? au hulioni hilo? waanglikana walikuwa wapo pale kwa kufanya biashar ya utumwa na soko lile lipo ndani ya kanisa ni ushahidi tosha. usisikie wanapobadili historia na ukadanganyika kuwa lipo pale kwa ajili ya historia. Jee masoko yote ya watumwa yaliyohifadhiwa historically yapo ndani ya makanisa?

Unajua kwa nini mimi nakuona wewe ni mtu muovu? Watu kama nyinyi ndio mnawafundisha chuki vijana wenu na kuwaahidi kuwa watapata thawabu wakijitoa kafara! Watu kama nyinyi kazi yenu ni kuhalalisha uovu kwa utaalamu wenu mchovu juu ya historia! watu kama nyinyi, hata siku moja hamtatenda vitendo mnavyovishabikia bali mtawatumia wale ambao mnazidi kuwaweka gizani. Kibaya zaidi watu kama nyinyi mtajipenyeza katika jumuia uetu kwa sababu hakuna mtu ambaye yuko tayari kukemea uovu wenu kwa kuogopa kuambiwa ni mdini. Utawezaje leo, wewe unayejiita msomi ukasimama ukadai kuwa waanglikana walikuwa ndio wanaendesha biashara ya utumwa Zanziba kutoka ndani ya kanisa? Kanisa ambalo limejengwa baada ya utumwa kupigwa marufuku? Hilo soko la watumwa unalodai lilikuwa Dar na lenyewe liko ndani ya kanisa? Tuambie basi wewe msomi uliefundishwa na Mr. paul, hilo soko la watumwa Dar lilikuwa wapi? Na la Bagamoyo napo? Sisi wewe ndiye unayeijua historia halisi ya utumwa hapa kwetu? Kama nilivyokwambia kule kwingine chuki ya kidini imekutia upofu.Naomba urudi kwenye shimo ulilotoka na usitusambazie sumu yako.

Kwa taarifa yako, mimi sitetei kanisa la kianglikana kuhusika na biashara ya utumwa. Hilo liko wazi kihistoria. Ninachokataa ni wewe kupindisha historia na kudai kuwa biashara ya utumwa Zanziba iliendeshwa na waanglikana na sio hao ndugu zako waarabu kutoka Oman!
 
Fundi Mchundo, Zomba and Inc:

Mbona mnaleta mambo ya dini katika ukumbi huu?

Nyie mliobakia Afrika babu zenu waliuza ndugu zao na ndio maana mmebaki Afrika.

Haiwezekani mwarabu mmoja atoke Bagamoyo akakamate watumwa pekee yake Kigoma kwa kutegemea gobore ambalo likinyeshewa mvua alifanyi kazi.

Na haiwezekani Mzungu kwenda ndani ya Afrika magharibi kukamata watumwa bila msaada wa mwafrika.

hii thread mkuu ilikuwa kule kwenye mambo ya dini, ghafla huyu mkuu fundi mchundo kaileta huku, na mimi nikamsihi sana (tazama mwanzo mwanzo wa thread) aiondowe na airudishe kule kule kwenye dini, lakini all I got was a big NO.

Naomba muulize huyu mchundo nini kilimfanya aitowe kwenye dini na kuileta huku?
 
Unajua kwa nini mimi nakuona wewe ni mtu muovu? Watu kama nyinyi ndio mnawafundisha chuki vijana wenu na kuwaahidi kuwa watapata thawabu wakijitoa kafara! Watu kama nyinyi kazi yenu ni kuhalalisha uovu kwa utaalamu wenu mchovu juu ya historia! watu kama nyinyi, hata siku moja hamtatenda vitendo mnavyovishabikia bali mtawatumia wale ambao mnazidi kuwaweka gizani. Kibaya zaidi watu kama nyinyi mtajipenyeza katika jumuia uetu kwa sababu hakuna mtu ambaye yuko tayari kukemea uovu wenu kwa kuogopa kuambiwa ni mdini. Utawezaje leo, wewe unayejiita msomi ukasimama ukadai kuwa waanglikana walikuwa ndio wanaendesha biashara ya utumwa Zanziba kutoka ndani ya kanisa? Kanisa ambalo limejengwa baada ya utumwa kupigwa marufuku? Hilo soko la watumwa unalodai lilikuwa Dar na lenyewe liko ndani ya kanisa? Tuambie basi wewe msomi uliefundishwa na Mr. paul, hilo soko la watumwa Dar lilikuwa wapi? Na la Bagamoyo napo? Sisi wewe ndiye unayeijua historia halisi ya utumwa hapa kwetu? Kama nilivyokwambia kule kwingine chuki ya kidini imekutia upofu.Naomba urudi kwenye shimo ulilotoka na usitusambazie sumu yako.

Kwa taarifa yako, mimi sitetei kanisa la kianglikana kuhusika na biashara ya utumwa. Hilo liko wazi kihistoria. Ninachokataa ni wewe kupindisha historia na kudai kuwa biashara ya utumwa Zanziba iliendeshwa na waanglikana na sio hao ndugu zako waarabu kutoka Oman!

Wala usitake kutia maneno yako kwenye kinywa changu hakuna mahali nilipokataa kuwa waarabu zanzibar hawakufanya kazi ya utumwa na pia nikakwambia si waarabu tuu, bali wote, wazungu, waafrika wahindi, wachina, ma-persians walihusika na biashara ya utumwa in one way or another. Upo hapo ulipo? Na kanisa anglikana halikuwa na sababu yeyote ya kuwa na jela ya watumwa ndani ya kanisa, au wewe unayo sababu nzuri? nimekuuliza hapo juu, jee kuna kanisa lolote unalolijuwa wewe limejengwa kwenye jela ya watumwa? au makanisa ndio hujengwa kwenye jela za watumwa? huna jibu, wewe umekazana kutowa shutuma ambazo sijuwi zinahusu nini. Na pia nimekuuliza, ikiwa kanisa Anglikana lenyewe linakiri kufanya biashara ya utumwa, vipi wewe ukatae? mimi nashindwa kuelewa mantiki yako! Rudisha mada kwenye dini kule, tukakuchambulie biblia inavyohubiri kuhusu utumwa!
 
Fundi Mchundo, Zomba and Inc:

Mbona mnaleta mambo ya dini katika ukumbi huu?

Nyie mliobakia Afrika babu zenu waliuza ndugu zao na ndio maana mmebaki Afrika.

Haiwezekani mwarabu mmoja atoke Bagamoyo akakamate watumwa pekee yake Kigoma kwa kutegemea gobore ambalo likinyeshewa mvua alifanyi kazi.

Na haiwezekani Mzungu kwenda ndani ya Afrika magharibi kukamata watumwa bila msaada wa mwafrika.

Hii thread nimeianzisha mimi kwa makusudi. Suala la utumwa Afrika si suala la kidini bali ni la kihistoria. Watu kama wakina Zomba ndio wanaotaka kulifanya la kidini. Yeye na wenzie kama wao wanafanya kila jitihada ya kugeuza kila kitu kuwa cha kidini. Wamefikia mahali ambapo swala la kubaka na lenyewe limefanywa la kidini badala ya kisheria. Tunapofikia mahali ambapo tunakataa kuiangalia historia yetu kwa sababu waliohusika ni watu wa dini fulani ndio mwanzo wa kuporonyoka utaifa wetu. Anapoamka mtu kama Zomba na kudai mchana kweupe kuwa dini ya kikristu ina"support" ubakaji ndiyo dalili nyingine. Ni maneno kama haya kuhusu wengine ndiyo yanayojenga chuki katika jamii. Ni maneno kama haya ndiyo waliyokuwa wakinong'oneza wakina Hitler dhidi ya wayahudi na wote tunajua matokeo yake. Ni vijineno kama hivi ndivyo wakikuyu walikuwa wakinong'onezana dhidi ya wengine na wengine dhidi ya wakikuyu. Na wote tumeona matokeo yake. Maneno kama haya yanalenga ku'demonize' sehemu moja ya jamii ili baadaye iwe rahisi kuwashughulikia. Maneno kama haya wakina Zomba walikuwa wakiyazungumza mafichoni. leo wamepata kiburi ya kuyaleta hadharani wakijua kuwa wengi wenu mtakaa kimya kwa kukataa kuzungumzia mnachokiona ni masuala ya kidini. Uovu ni uovu na ni lazima ukemewe kabla haujaota mizizi. Hapana, hapa ni mahali pake ili wenye masikio wapate kusikia.
 
Hii thread nimeianzisha mimi kwa makusudi. Suala la utumwa Afrika si suala la kidini bali ni la kihistoria. Watu kama wakina Zomba ndio wanaotaka kulifanya la kidini. Yeye na wenzie kama wao wanafanya kila jitihada ya kugeuza kila kitu kuwa cha kidini. Wamefikia mahali ambapo swala la kubaka na lenyewe limefanywa la kidini badala ya kisheria. Tunapofikia mahali ambapo tunakataa kuiangalia historia yetu kwa sababu waliohusika ni watu wa dini fulani ndio mwanzo wa kuporonyoka utaifa wetu. Anapoamka mtu kama Zomba na kudai mchana kweupe kuwa dini ya kikristu ina"support" ubakaji ndiyo dalili nyingine. Ni maneno kama haya kuhusu wengine ndiyo yanayojenga chuki katika jamii. Ni maneno kama haya ndiyo waliyokuwa wakinong'oneza wakina Hitler dhidi ya wayahudi na wote tunajua matokeo yake. Ni vijineno kama hivi ndivyo wakikuyu walikuwa wakinong'onezana dhidi ya wengine na wengine dhidi ya wakikuyu. Na wote tumeona matokeo yake. Maneno kama haya yanalenga ku'demonize' sehemu moja ya jamii ili baadaye iwe rahisi kuwashughulikia. Maneno kama haya wakina Zomba walikuwa wakiyazungumza mafichoni. leo wamepata kiburi ya kuyaleta hadharani wakijua kuwa wengi wenu mtakaa kimya kwa kukataa kuzungumzia mnachokiona ni masuala ya kidini. Uovu ni uovu na ni lazima ukemewe kabla haujaota mizizi. Hapana, hapa ni mahali pake ili wenye masikio wapate kusikia.

Kuwa na jela ya watumwa ndani ya kanisa unakuitaje kama sio udini?
 
support ya maovu hakuna duniani labda ataeku-support ni muovu mwenzio.

Hakuna mantiki hata kidogo ya kuwa na jela ya watumwa ndani ya kanisa isipokuwa lazima liwe linahusika na hiyo biashara. simply.
 
Wala usitake kutia maneno yako kwenye kinywa changu hakuna mahali nilipokataa kuwa waarabu zanzibar hawakufanya kazi ya utumwa na pia nikakwambia si waarabu tuu, bali wote, wazungu, waafrika wahindi, wachina, ma-persians walihusika na biashara ya utumwa in one way or another. Upo hapo ulipo? Na kanisa anglikana halikuwa na sababu yeyote ya kuwa na jela ya watumwa ndani ya kanisa, au wewe unayo sababu nzuri? nimekuuliza hapo juu, jee kuna kanisa lolote unalolijuwa wewe limejengwa kwenye jela ya watumwa? au makanisa ndio hujengwa kwenye jela za watumwa? huna jibu, wewe umekazana kutowa shutuma ambazo sijuwi zinahusu nini. Na pia nimekuuliza, ikiwa kanisa Anglikana lenyewe linakiri kufanya biashara ya utumwa, vipi wewe ukatae? mimi nashindwa kuelewa mantiki yako! Rudisha mada kwenye dini kule, tukakuchambulie biblia inavyohubiri kuhusu utumwa!

Huko unakokazania kila ukiulizwa ulikuwa unadai " anzisha thread yako"! Nimeanzisha sasa kwa nini unapanic?

Iyo unayoiita kuwa ni jela ya watumwa ni mashimo yaliyopo Santa Monica ambayo ni sehemu ya kanisa. Mashimo hayo yalibakizwa kama kumbukumbu ya biashara ya utumwa iliyokuwa ikifanyika pale ili watu kama nyinyi msije mkakana kuwa haikufanyika. Kama wenzako ambao pamoja na mabaki ya matanuru ya Auschwitz II, Treblinka, Belzec, Chelmno, Jasenovac n.k, na maelezo ya wale walionusurika na wengine kufanya kazi humo bado wanakana Holocaust. Leo hii wewe unasimama na kuwakosha hao walioendesha hiyo biashara na kuwasingizia wale walioshinikiza isimamishwe.

Mimi sina haja kurudi kwenye mada ninayoiona haina maana kwangu. Wewe muislamu kwa nini ukazanie ku'chambua' biblia? Kwa nini usitumie Qur'an yako kunionyesha jinsi ilivyo dini ya haki? Nimejibu hoja zote ulizozileta hadi hapo nilipotambua kuwa huna nia ya mjadala bali ni kujaribu kueneza chuki. Sasa kwa nini nirudi kule? Nenda kaendeleze mada yako bila mchango wangu.
 
support ya maovu hakuna duniani labda ataeku-support ni muovu mwenzio.

Hakuna mantiki hata kidogo ya kuwa na jela ya watumwa ndani ya kanisa isipokuwa lazima liwe linahusika na hiyo biashara. simply.

Si ndiyo maana sitaki kujadiliana na mtu kama wewe! Nimekueleza hayo mashimo ni kumbukumbu lakini hutaki kusikia. Nimekuuliza, hilo kanisa limejengwa lini hutaki kunijibu! Kama sio uovu wa makusudi ni nini basi?
 
Huko unakokazania kila ukiulizwa ulikuwa unadai " anzisha thread yako"! Nimeanzisha sasa kwa nini unapanic?

Iyo unayoiita kuwa ni jela ya watumwa ni mashimo yaliyopo Santa Monica ambayo ni sehemu ya kanisa. Mashimo hayo yalibakizwa kama kumbukumbu ya biashara ya utumwa iliyokuwa ikifanyika pale ili watu kama nyinyi msije mkakana kuwa haikufanyika. Kama wenzako ambao pamoja na mabaki ya matanuru ya Auschwitz II, Treblinka, Belzec, Chelmno, Jasenovac n.k, na maelezo ya wale walionusurika na wengine kufanya kazi humo bado wanakana Holocaust. Leo hii wewe unasimama na kuwakosha hao walioendesha hiyo biashara na kuwasingizia wale walioshinikiza isimamishwe.

Mimi sina haja kurudi kwenye mada ninayoiona haina maana kwangu. Wewe muislamu kwa nini ukazanie ku'chambua' biblia? Kwa nini usitumie Qur'an yako kunionyesha jinsi ilivyo dini ya haki? Nimejibu hoja zote ulizozileta hadi hapo nilipotambua kuwa huna nia ya mjadala bali ni kujaribu kueneza chuki. Sasa kwa nini nirudi kule? Nenda kaendeleze mada yako bila mchango wangu.

Nime-panic nini? na facts zote nimekubainishia au huzioni,? huna hata moja ulilojibu. Umebaki sasa unajaribu kusema-sema hovyo, umeitowa mada kule kwenye dini kuleta huku ili upate sympathy, bahati mbaya mada uliyoichaguwa haina wa kukuonea huruma. Hata kanisa la kianglikana lenyewe ulilokuwa ukilitetea halikukuonea huruma, lime-admit kufanya biashara ya utumwa. sasa iliyobaki urudi kule ukatetee biblia. Kwani bado kuna verse za biblia zimetolewa kule hazijajibiwa.
 
Nime-panic nini? na facts zote nimekubainishia au huzioni,? huna hata moja ulilojibu. Umebaki sasa unajaribu kusema-sema hovyo, umeitowa mada kule kwenye dini kuleta huku ili upate sympathy, bahati mbaya mada uliyoichaguwa haina wa kukuonea huruma. Hata kanisa la kianglikana lenyewe ulilokuwa ukilitetea halikukuonea huruma, lime-admit kufanya biashara ya utumwa. sasa iliyobaki urudi kule ukatetee biblia. Kwani bado kuna verse za biblia zimetolewa kule hazijajibiwa.

Sasa kama hauja'panic' mbona unahanya hapa wakati kwenye thread uliyoianzisha kunadolola? Sijawahi kukana kuwa kanisa la kianglikana halikuwahi kuhusika katika biashara ya utumwa. Ninachokana ni kuwa watumwa walikuwa wanauzwa kwenye Kanisa la Kianglikana Zanziba. Nimekueleza hii haiwezekani kihistoria kwa sababu biashara ya utumwa ilipigwa marufuku mwaka 1873 na kanisa lilijengwa kati ya 1873 hadi 1880. Umepinga. Nimekuuliza sasa kanisa lilijengwa lini na biashara ya utumwa ilipigwa marufuku lini Zanziba umeshindwa kujibu.

Mimi sina haja ya kutetewa na mtu. Ninazungumza ninachokipenda. Nimeona mada yako imetekwa na chuki na ushabiki nikaona hainifai. Sasa unaning'ang'ania nini niende nikachangie? Sijakuomba uje kuchangia humu lakini bado ni king'ang'anizi! Si ungeniondolea kiwingu chako cha chuki na ufitini niendelee kujifurahisha mwenyewe?
 
Utumwa ndani ya Biblia au Quran?

Hii mada inahusiana nini na mada hii? Mada hiyo inazungumzia institution ya utumwa mimi nazungumzia biashara ya utumwa nchini kwetu! Kwa nini mnakazania kugeuza kitu cha kihistoria kuwa cha kidini? Hivi ningeuliza nani aliyeleta ukoloni nchini mwetu, na yenyewe mngeita ya kidini? Au kwa sababu waovu hapo ni mataifa ya kikristu basi ni halali kuwalaumu? Tuzungumzie mada na kwa wale wanaotaka malumbano ya kidini waende kwenye ukumbi wao!
 

Hii mada inahusiana nini na mada hii? Mada hiyo inazungumzia institution ya utumwa mimi nazungumzia biashara ya utumwa nchini kwetu! Kwa nini mnakazania kugeuza kitu cha kihistoria kuwa cha kidini? Hivi ningeuliza nani aliyeleta ukoloni nchini mwetu, na yenyewe mngeita ya kidini? Au kwa sababu waovu hapo ni mataifa ya kikristu basi ni halali kuwalaumu? Tuzungumzie mada na kwa wale wanaotaka malumbano ya kidini waende kwenye ukumbi wao!

wewe hii thread yako si ulichomoa post huko kwenye dini ukaja kuibandika bandika hapa na ndio umeanzishia thread hapa? au umesha sahau?
 
Quote:
Ingawa wazungu waliendeleza biashara hizo. Mfano mzuri ni Waafrica kuchukuliwa kwa nguvu kupelekwa America kuteswa na kuuzwa. Pia walituletea hata Africa. Kwa waliopata kutembelea Makanisa ya Mkunazini wataona athari zake hizo. Watumwa wakichukuliwa Bara na kuwekwa makanisani na kuuzwa. Hivyo ni kwa ufupi tuu. Ukitaka mengine Inshallah utapata majibu safi kabisa

Ndiyo hii inayokuzuzua? Angalia mkazo nimeuweka wapi! Ninachozungumzia hapa ni kile ninachoona ni upotoshwaji wa historia na si suala la utumwa kutajwa kwenye biblia au Qur'an. Huyu aliyechangia ndiye aliyepotosha mada iliyokuwa ya kidini akaingiza masuala ya historia! Lakini naona najihangaisha. Hauwezi kunielewa kwa sababu kwako wewe kila kitu ni dini tu. Vyote kwako ni mpambano kati ya uislamu na ukristu! hatuwezi kuelewana.
 
Back
Top Bottom