Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

Ni biashara nzuri sema watu wengi washagundua hivyo kuna competition kubwa
 
Wakuu nimevutiwa na kufanya hii biashara ya kutengeneza keki na kuuza kwa watu binafsi, taasisi na sherehe za hapa na pale.
Kwa wale wazoefu naombeni msaada kujua.
Mtaji wake kiasi gani
Gharama za uendeshaji zipoje
Faida yake je inalipa haraka au la
Changamoto zake kubwa ni nini.

Nitashukuru sana Nikipata maoni yenu, maana sehemu nayotaka kufanyia biashara naona kuna opportunity kubwa maana wafanya biashara hii wachache.
 
Wakuu nimevutiwa na kufanya hii biashara ya kutengeneza keki na kuuza kwa watu binafsi, taasisi na sherehe za hapa na pale.
Kwa wale wazoefu naombeni msaada kujua.
Mtaji wake kiasi gani
Gharama za uendeshaji zipoje
Faida yake je inalipa haraka au la
Changamoto zake kubwa ni nini.

Nitashukuru sana Nikipata maoni yenu, maana sehemu nayotaka kufanyia biashara naona kuna opportunity kubwa maana wafanya biashara hii wachache.



kikawaida tunafeli biashara maana tunataka biashara za kulipa HARAKA km ulivyosema ,biashara haiend hvyo mamy kuwa na subra ,nakutakia kila la heri
 
kikawaida tunafeli biashara maana tunataka biashara za kulipa HARAKA km ulivyosema ,biashara haiend hvyo mamy kuwa na subra ,nakutakia kila la heri
Ahsante nimeuliza mapema ili nijipange chanzo cha mapato, unaweza kopa ukashindwa rudisha marejesho kwa wakati kutokana na aina ya biashara.

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nauza vifaa vyote vya bakery kwa bei nafuu kama bread slicers,spiral mixers,speed mixers pamoja na oven za gas na umeme.
IMG-20170618-WA0001.jpg
Hii ni oven ya gas ina 3 layers pamoja na 9 trays,nauza 4 millions.
 
Habari zenu,

mimi ni graduate Kutoka chuo kikuu hapa Tanzania,ninataka kujiajiri kwa kuanzisha kiwanda cha mikate,wazo hili limekuja kutokana na wilaya niliyopo kutokuwa na kiwanda hata kimoja cha mikate kwani hutegemea mikate kutoka nje ya wilaya.

Kutokana na masomo niliyosoma chuo kikuu,nikaona bora nijiajiri huku kwani ndio fani yangu kubwa.

Ninaomba ushauri na msaada wapi nianzie?
 
Habari zenu,

mimi ni graduate Kutoka chuo kikuu hapa Tanzania,ninataka kujiajiri kwa kuanzisha kiwanda cha mikate,wazo hili limekuja kutokana na wilaya niliyopo kutokuwa na kiwanda hata kimoja cha mikate kwani hutegemea mikate kutoka nje ya wilaya.

Kutokana na masomo niliyosoma chuo kikuu,nikaona bora nijiajiri huku kwani ndio fani yangu kubwa.

Ninaomba ushauri na msaada wapi nianzie?
kiwanda cha mkate hakina gharama we fungua tu unanunua oven unaanza kubake mikate kazi imeisha haina hata haja ya kuomba ushauri humu
 
Haya Ni Matumizi Mabaya Ya Neno "News Alert, Breaking News "

Habari Yako Ni Ya Kawaida Sana Mkuu Hukutakiwa Kuweka Hilo Neno Unashusha Hadhi Ya Jf Pia Kiwango Chako!!


Lakini Nakupongeza Sana Sana Kwa Wazo Lako Mikate Inalipa
 
Anzia wilaya uliyopo

Sent from my HUAWEI Y541-U02 using JamiiForums mobile app
 
Kila la kheri mkuu na ukifanikiwa njoo na mrejesho

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom