Biashara ya ukahaba ni kaa la moto Dar

Biashara hii KONGWE Tangu vizazi vya agano la kale.

Biashara hii imesaidia sana ustawi wa Ndoa na Mahusiano mengi sana yenye Changamoto hApa Mjini.
Nafikiri kuonesha maeneo au kuwasema watu wanaofanya biashara kama hii bila kutoa njia mbadala ya kuwasaidia haina maana nikupteza muda tu.
Hata kama serikali ingewakamata au kuwafukuza bado sio suluhisho.
Kwa kuwa tabia na mazoea yako ya watu wanaofanya hivyo yako maishani , hayaondoki kwa kulazimisha.

Napendekeza iunde kamati ya watafiti maalum ya kukaa na watu hawa wawahoji na kuja na mapendekezo ambayo yametoka kwao na hao watafiti na kutoa mapendekezo ya kusaidia.
Ukiangalia hawa wanawake hafanyi peke yao. Kwanini kuwaonea wanawake waliokaa nyumbani kwao na kuwaacha watu wanaowafuata huko.
Malaya hasa ni yupi, yule anayrfuata na kwenda kununua au yule anayeuza.
Mbona pombe mlevi ni yule anayenunua na siyo anauza?
Malaya mkubwa ni mwanaume anayefuata kununua.
Bila wanaume hao ukahaba ungetoka wapi
 
.Ubungo hadi urafiki kuna rombo bar,mikasa riverside
.Manzese kuna matanki bar,friends corner,shakurbae,uwanja wa fisi
.sinza kuna hongera bar,ambiance,maeda,africanasana
.kinondoni kuna kinondoni studio,merdian,maisha,4npub
.masaki kuna next door,polo,4ways
.buguruni kuna kimboka,shell,benpub
.temeke kuna sudan,sokota,liquid,masakuri
MSAADA HUO NENDENI MKAENDELEE KUTAFUTA........
Asante kutupa Location!
 
Biashara hii KONGWE Tangu vizazi vya agano la kale.

Biashara hii imesaidia sana ustawi wa Ndoa na Mahusiano mengi sana yenye Changamoto hApa Mjini.
Biashara hii pia imefanikisha mambo mengi sana hapa mjini, Kazi , safari za ughaibuni na imebabadilisha maisha ya watu wengi, wengine wako ulaya na hawataki kurudi kamwe.
 
Nendeni LILONGWE mkajionee maajabu watoto miaka 12 wanauza NYAP na serikali imehalarisha kabisa
 
  • Kicheko
Reactions: _ID
Kwa vijana wanaoanza kujua madem hii inakuwaga ngumu sana ku ignore au wale wasioweza kuongea sana au kupoteza muda kufuatilia madem, sema ukizoea sana ndio majanga ya kupata magonjwa bore iwe gono au nini ila ukimpata bwana mkubwa majanga na aibu nyumbani
 
Hii biashara ni biashara kongwe zaidi duniani,na ukahaba ni proffesion kongwe zaidi duniani,hakuna aliewahi kupambana nayo akaweza kwa 100% .
Sasa hivi wanawake wamekuwa pasua kichwa sana,angalia pia jinsi kila mmoja anavyoichukulia mbususu yake kama mtaji wa kuchotea hela kutoka kwa wanaume.Hii ina maana kuwa hata mademu zetu kitaa ni makahaba ambao hawajajipanga bara barani.
 
Back
Top Bottom