Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 2,956
- 5,243
Kwann mkuu?
Guys mie kila nikijaribu naishia kuwala mwenyewe tu
Guys mie kila nikijaribu naishia kuwala mwenyewe tu
mkuu help me with this thing you call database. please!Nakushauri ufuge wa kisasa - Layers. wa kienyeji it takes time na faida si kubwa vile unavyodhani - nitafute nikupe ushauri wa bure - meanwhile angalia kazi hii hapa
Hawa wako 900, wanatoa Tray 24 kila siku kila Tray 5000- Chakula chao ni kilo 125 approx Tshs 55,000/-
Mtaji wa kuanzia unahitaji kuwa na not less than 6m before you start production. Kama unataka mchakato mzima sema nitakutumia database yangu.
Kama vile rahisiMbona hata 1000 (buku) unatajirika? Ingia sokoni majira ya jioni au alfajiri bei ya bidhaa iko chini.
DAY1
Nunua Tikiti zima la 1000 ( buku), nenda sehemu yenye uhitaji katakata pata vipande 5. Jero isevu.
500× 5= 2500
DAY2
Nunua matikiti 2 kwa 2000 na mia tano itumie tu.
Katakata tena safari hii utakuwa na vipande 10.
500× 10 = Sh. 5000
DAY3
Nenda nunua tikiti 5.
Hapa kila tikiti 1 vipande 5 ×5 = 25
500×25 =7,500
DAY 4
Tikiti 8 kwa nikimaanisha 7500 + 500 uliyosevu DAY1 = 8000.
This time tikiti 8 utapata vipande 40
40 × 500 = 20,000
DAY 5
Tikiti 20
Utapata vipande 100
100×500= 50,000
DAY6
Tikiti 50
Utapata vipande 5 × tikiti 50= 250
Vipande 250 × 500 = 75,000
DAY 7
Nenda kachukue tikiti 75 na fungua kijiwe kingine weka kijana afanye internship.
Hapo utakuwa na vipande 375 ukiuza kwa bei yetu 500 unapata Sh. 187500/=
Wiki inayofuata kuwa constant tu kwamba
Kila siku unachukua tikiti 100 za bukubuku kwa Sh. 100,000. Ile 87,500 isevu.
Tikiti 100 kwa wastani wetu wa kila tikiti moja vipande 5 na unauza kwa 500.
Kila siku utakuwa unauza vipande 500 unapata Sh. 250,000/=.
250,000 × siku 30 (mwezi1) = 7,500,000
7,500,000 × mara miezi 12= 90,000,000
Kipato chako kwa mwaka kitakuwa Sh. 90,000,0000.
Huna mtaji wa 1000 (Buku!) Unasubiri nini kuanza.
Mtafute SHAS KUKUFARM anapatikana Mbezi beach. 0656083300WANA JF NAOMBA DESIGN YA BANDA LA CAGE ZURI LINALOWEZA BEBA KUKU 500
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahn mkuu nahtaj kufaham dawa ya ndui
Mkuu ushauri mzuri natumaini atauzingatia,ila nimecheka sanaaaaa
Samahn mkuu nahtaji kufaham dawa ya ndui maan kuku wang wanasumbuliwMtafute SHAS KUKUFARM anapatikana Mbezi beach. 0656083300
Na Mimi naitaji kujua hiloNami nina hitaji hilo hilo. Ngoja tuwasubiri wataalamu.
Mm pia npo kweny hatua nimeanza na kuku sita Mitetea watano na jogoo moja naomba mungu anisaidieMimi nipo kwenye hatua nimetafuta mitetea 20 na majogoo 3.Mungu anisaidie
Naomba kuunganishwa kweny grup la ufugaj wa kuku w kienyejiUfugaji ya kuku wa kienyeji njooni tupeane uzoefu na ujuzi pamoja na changamoto.. Karibuni wakuu .. Wenye aidia hii tupeane namba za simu tukwamuane kiuchumi..
Beinina kuku wakienyeji wa asili kabisa wanakaribia 20 nawauza.karibuni location tabata mawenzi no 0715715385
13000 na wako kuku 21
wanafika 1.5kg or 2kg13000 na wako kuku 21
AMEN!Mpendwa msomaji wetu, yawezekana umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini. Kulalamika tu vyuma vimekaza haitakusaidia kitu kama hutaki kujiongeza ili uongeze kipato chako.
Yako mambo mengi ya kufanya ili kujikwamua kiuchumi. Usitegemee mshahara wako tu. Mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena kwa uchache. Jambo hili anaweza kulifanya mwenye mtaji mkubwa au mdogo.
Somo ni dogo tu lakini naamini wapo watakaopata mafanikio makubwa sana.
Unaweza kuanza kwa mtaji wa Mil.1 mpaka laki tano au hata chini ya hapo.
Mfano. Unaweza kutumia Tsh 250,000 kununua kuku 25 kwa bei ya Tsh 10,000 kwa kuku mmoja (kadirio la juu) Majogoo watakuwa 5 kwa uwiano wa 1:4.
Hii ina maana kuwa wakishaanza kutaga utakuwa na vifaranga 20 x 10 = 200 Watunze vizuri. Wale vifaranga tunakadiria kuwa majike watakuwa 150 ambao ndani ya miezi 3 au zaidi nao wataanza kutaga.
Utakuwa na kuku 200 + 25( ulioanza nao) =225 ndani ya miezi 6. Miezi 6 inayofuata 225 - (majogoo 55) = 170 Hii ina maana kuwa 170 x 10= 1,700.
Ndugu msomaji, hayo niliyotoa ni makadirio ya chini sana hivyo mpaka mwisho wa mwaka utakuwa na kuku zaidi ya 2000.
Mwaka utakaofuata utakuwa na kuku wangapi baada ya kuuza kuku baadhi ili upate fedha ya kuwalisha ????
Ukiuza kuku 1000, utabaki na kuku 1000, kati yao tuseme majike ni 750. Ndani ya Miaka 2 maanake ni 750(majike) x 10 = kuku 7500 (uza wengine upate pesa ya kutumia kuwalisha) .
Tuseme sasa utabakiwa na kuku jike 3000 x 10( jike moja ni mayai 10) = kuku 30,000.
Hao kuku 30,000 ukiwauza wote utapata; 30,000x 13000( bei ya kawaida kbsa)= 390,000,000. Je, bado utakuwa masikini? Bado vyuma vitakuwa vimekaza?
Nina uhakika, mpaka mwisho wa mwaka huo wa pili utakuwa umefanikiwa sana kuukimbia UMASIKINI.
Kwenye hayo mamilioni, hata ukitoa milioni 100 kwamba tuseme ndo zimetuka kuendeshea mradi wako, bado utakuwa ni milionea tu. Kumbuka huu ni mwongozo tu, fanya utafiti na ufuatilie zaidi.
NB: Ukiyapata hayo mamilioni ya pesa, kumbuka kutoa Zaka, sadaka na kusaidia masikini wasiojiweza ili ubarikiwe zaidi
Yeye katoa the positive side of it! Sasa the negative side ISIKUZUIE KUINGIA MZIGONI. Na zaidi ya yote, ukifikiria KUSHINDWA, MAGONJWA, SIJUI NINI HUWEZI KUFANYA LOLOTE. Yule bwana aliyegundua hii "bulb" iwakayo hapo kwenu sasa hivi, alijaribu mara 1999 bila kufanikiwa. Ile ya 2000 ndiyo ikaleta hiyo bulb; lakini yeye hasemi alishindwa mara 1999, anasema alifanikiwa kidogo mara 1999!. Hiyo ndiyo spirit ya wajasiriamali! Usiogope failures, see them as opportunities ili usonge mbele hadi mafanikio AU SIYO!?Kama kuna concept wajasiriamali wengi wana overate ni hii hapa, hayo mahesabu yanavutia kuangalia lkn ukiingia kwenye practice utaambulia hasra moja takatifu.
From experience kuna vitu kma magonjwa, chakula, security na mengine. Nilijidanganya Just like mtoa mada, i lost pesa nyingi sana mainly because hatuna experts wa kutosha linapokuja kwa kuku wa kienyeji. Inshort never buy the dogma
Sent using Jamii Forums mobile app