x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 915
- 598
hangera kwa hapo ulipofika.....pole kwa kupoteza kuku 80.
ndui ya kuku ni miongoni mwamagonjwa yanayo sababishwa na viruses na huwa hayana tiba ili kuepuka ndui nakushauri uwape chanjo ya ndui kuku wako Mara tu wanapo timiza miezi miwili,hakikisha chanjo unanunua kwa wauzaji wanao aminika ili usije uziwa chanjo fake au iliyokwisha muda wake.
pia uwe makini kuna ugonjwa unafanana na ndui kiasi fulani na wengi wanachanganya na ndui,ugonjwa huo ubasababishwa na kuku kukosa vitamini A huu ugonjwa unatibika kwa kuwapa kuku vitamini A pia na kutibu vidonda na macho kwa kutumia ayodini,maji ya vuguvugu yaliyochanganywa na chumvi pamoja na mafuta ya alizeti.
kuhusu mbegu kubwa ya kienyeji pure unaweza kufuga kuchi.
kama kuku wako unawaachia wajitafutie chakula wenyewe kuhusu fomula ya chakula isikuumize kichwa sana pumba inatosha kwa kuku wakubwa ila sivibaya kama utawapa dagaa n.k kama vinapatikana kwa unafuu lakini kwa kuku wadogo kilicho changanywa ni muhimu sana hasa cha kununua ni vizuri kama utapata cha kiwaandani kama utanunua tofauti na cha kiwandani basi ununue kwa mtu ambae anaaminika na yuko competitive .
ndui ya kuku ni miongoni mwamagonjwa yanayo sababishwa na viruses na huwa hayana tiba ili kuepuka ndui nakushauri uwape chanjo ya ndui kuku wako Mara tu wanapo timiza miezi miwili,hakikisha chanjo unanunua kwa wauzaji wanao aminika ili usije uziwa chanjo fake au iliyokwisha muda wake.
pia uwe makini kuna ugonjwa unafanana na ndui kiasi fulani na wengi wanachanganya na ndui,ugonjwa huo ubasababishwa na kuku kukosa vitamini A huu ugonjwa unatibika kwa kuwapa kuku vitamini A pia na kutibu vidonda na macho kwa kutumia ayodini,maji ya vuguvugu yaliyochanganywa na chumvi pamoja na mafuta ya alizeti.
kuhusu mbegu kubwa ya kienyeji pure unaweza kufuga kuchi.
kama kuku wako unawaachia wajitafutie chakula wenyewe kuhusu fomula ya chakula isikuumize kichwa sana pumba inatosha kwa kuku wakubwa ila sivibaya kama utawapa dagaa n.k kama vinapatikana kwa unafuu lakini kwa kuku wadogo kilicho changanywa ni muhimu sana hasa cha kununua ni vizuri kama utapata cha kiwaandani kama utanunua tofauti na cha kiwandani basi ununue kwa mtu ambae anaaminika na yuko competitive .