Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,600
- 20,913
kuna MDONDO ugonjwa ambao sidhani kama una tiba ya uhakika!
Pole sana mie ni heri nifuge nile lakini sio kwa mipango ya kuuza......sitaki kupagawaNikikumbuka kuku wangu walivyokufa sitaki hata kukumbuka
Banda la kuku unatugaia? Kuweni serious basi
😂😂😂inaumiza sana sana...Kuna jamaa yangu aliambiwa singida kuku bei rahisi na dar bar zinatoa pesa nzuri...akajichukulia mkopo ka milioni 3 akaleta kuku wa kutosha....kabla akawa ashapanga bar zote za mjini kuanzia la chaaz 40-40 hadi micasa...***** mbaya zaidi meneja jikp lachaaz akamwambia nachukua woote chinja kabisa...mi mwenyewe ofisa mzima nkamsaidia...siku ya siku tunafika la chaaz meneja anwaangalia kuku anakwambia dah vikuku vidogo labda nkupe nusu.....nakumbuka ilibidi tuuziane kisela angalau kufidia alichopoteza,....nlichojifunza katika maisha usifanye chochote kwa stori za mtandao au kusimuliwa kijiweni...ingiza miguu pima maji ndo utaujua mchezo....
READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
😂😂😂Mie dec mwishon na jan ilikuja mvua..ikaja na ule ugonjwa wao..wakafa kuki km 23...tulikinaiwa kuku😏😏😏😩😩😩😩😩Nikikumbuka kuku wangu walivyokufa sitaki hata kukumbuka
Changamoto ni nyingi, sio rahisi kihivyomie nidanganywe kwenye mengine lakini sio ufugaji wa kuku wa kienyeji..thys y najifugia wakula tu
Hii nlishangaa sana maana kama kulima tikitiki nmelima sana hko mwarusembe
Angewawekea na changamoto zake pia,garama za kuwalisha,garama ya bandayaan tulivyowaona wanasinzia pitisha kisu..arghhh inakera sana sana unakaanga..mara sup
Asante ze dudu kuku wamekua ukiingia bandani unakuta watatu wamekufa hii biashara inaleta stress sanaPole sana mie ni heri nifuge nile lakini sio kwa mipango ya kuuza......sitaki kupagawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kufuga mbuzi wanafaida sanaAsante ze dudu kuku wamekua ukiingia bandani unakuta watatu wamekufa hii biashara inaleta stress sana
Mbuzi si mpaka uwatoe mkoani halafu nimekumiss upooJaribu kufuga mbuzi wanafaida sana
Mi nilikua likizo kidogo natafakari neno la BwanaMbuzi si mpaka uwatoe mkoani halafu nimekumiss upoo
Usiniambie umeokokaMi nilikua likizo kidogo natafakari neno la Bwana
Nineamua kuacha uovu bwanaUsiniambie umeokoka