Dee david
Member
- Aug 30, 2018
- 35
- 17
Kama kuna kaka . Dada . Mjomba . Mdogo . Binamu. Ukimuunganisha itapendezaMfanyakazi wa mabanda ya kuku anaweza kweli kuwa JF embu kuwa serious kidogo
Kama kuna kaka . Dada . Mjomba . Mdogo . Binamu. Ukimuunganisha itapendezaMfanyakazi wa mabanda ya kuku anaweza kweli kuwa JF embu kuwa serious kidogo
Arushaaaaaa NGARAMTONIUnapatikana wapi Mkuu
Big up kaka uko njemaArushaaaaaa NGARAMTONI View attachment 872881
Wa kienyeji au kisasa mkuuArushaaaaaa NGARAMTONI View attachment 872881
Usmcheke mwenzako bt nimempenda bure coz ako na idea kama yanguMkuu ushauri mzuri natumaini atauzingatia,ila nimecheka sanaaaaa
Sorry for late reply Mkuu Njoo pm tuongee vizuriUnauzaje mayai na unapatikana wapi Mkuu
Pm yako inakataa ndgSorry for late reply Mkuu Njoo pm tuongee vizuri
Mambo ndgArushaaaaaa NGARAMTONI View attachment 872881
Chakula unanua au unatengeneza mwenyewe MkuuPm yako inakataa ndg
Ok.New mzalendo Nitafute nikupe ushauri mambo ni mengi pia mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji soko lipo kubwa sana unatakiwa tu kujua undani wake. But it seems you are not serious hako kajogoo kamoja utafika nako weapi au unaogopa risk? nipigie 0755394701 tuongee mkuu
Gharama za uendeshaji vp#Hata Mimi nilianza na Laki moja tu kama wewe lakini huwez amini kwa sasa Nina kuku wa kutosha na bado nishakula faida ya kutosha cha kufanya Fanya hivi kama una banda tayari nunua kuku 10 kisha wakitaga kusanya mayai uweze kukuzia kipato au kama hauna banda tumia elfu 40 kutengeneza banda afu nunua kuku 6 au 8 kwa iyo elf 60 ilobakia kisha wakitaga vya kutosha wape mayai kumi kumi kuku zako utajikuta katika hao kuku 8 washaaongezeka kufikia kuku 80 na ukiwapa tena mayai hata tano tano utajikuta kwa hao kuku 80 washafika 400 je ukianza ata kuwauza nusu yao kwa elf nane nane si tayari una 1,600,000 maamuzi yako tu ndugu kama vipi nicheki wasap
+255769010712
+255655010712
Lucas Kitashu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman natafuta ushauri juu ya ufugaji wa kuku wa kienyeji na biashara yake kwa ujumla
HHAHAHAHAMzalendo unachekesha eh! Hivi ulishawahi kufuga tena ? Maana watu hawaanzagi hivyo!!!!!!!! Siku zote watu wanaanza na Majike! maana utaazima mbegu hata kwa jirani lakini wewe umeanza na jogoo! Anyway Mwanzo mgumu sasa wewe fuga soko no kubwa sana tu. Kwa kuanzia unapeleka tu madukani watanunua. maana hayo mayai ya kienyeji yanatafutwa sana!