Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Pia Banda Liwe linapigwa Dawa Kuku wana Urafiki sana na Viroboto na Utitiri. Viroboto wakizidi sana Hushambulia Watoto hadi kwenye Machovidonda huo ni ugonjwa unaitwa ndui na una chanjo yake unatakiwa kuwachanja hao kuku kabla hawaugua na wakiugua tumia iodine kuwapaka baada ya kuwasafisha vidonda, kwa sasa kuna dawa ya tiba pia hebu muone mtaalam alie karibu nawe. Kwa upande wa kuku chanjo ni muhimu sana na pia usikose kufanya kazi kwa karibu na wataalam wa mifugo.