x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 915
- 598
nitafanya hivyo hadi kuku wafikishe miezi miwili ambapo nitawatoa kwenye hilo banda na kama kuna vifaranga wengine nimezalisha basi wanakuwa wanaachiana mabanda .
sasa hapo kuku wangu wanakuwa na umri wa miezi miwili wenye afya nzuri na ukuaji mzuri.Hapo huwa na machaguo miwili kuna wakati huwa naamua kuwaachia wajitafutie chakula na kuku wazazi isipokuwa watakula chakula cha ziada na kuku wazazi ambacho ni pumba tu.kuku hawa naweza kuwauza wakiwa na umri wa miezi 5 na kuendelea
Lakini kunawakati nawafungia kwenye uzio nilio eleza awali.kwenye huo uzio watashinda mchana usiku wataingia kwenye banda, ili asubuhi iwe rahisi kuku kuingia kwenye uzio bila kuku wengine kuingia nao. nilicho fanya kwenye Banda la kuku nimeweka mpaka ambao hauruhusu kuku kuchanganyika pia kuku hawa wanakuwa wa mwisho kuingia na wa kwanza kufunguliwa.
humo ndani ya uzio naweka vyombo vya maji na chakula,chakula hapa huwa nawapa kwa utaratibu na formula kama awali kule bandani lakini nitaongeza kipimo kwa siku, kuku mmoja atakula gm 6 kwa wiki tatu za mwanzo wiki ya nne gm 7 kwa siku.kuku hawa ninaweza nikawauza baada ya kutimiza miezi 3 hadi 3.5.
chanjo ya ndui inatolewa baada ya kuku kutimiza miezi miwili.mimi ninacho fanya kama nitakuwa na lengo la kuwauza kuanzia miezi mitatu basi siwachanji ili kupinguza gharama na kama nitawaacha hadi miezi mitano wajitafutie chakula hapo huwa nawachanja.
sasa hapo kuku wangu wanakuwa na umri wa miezi miwili wenye afya nzuri na ukuaji mzuri.Hapo huwa na machaguo miwili kuna wakati huwa naamua kuwaachia wajitafutie chakula na kuku wazazi isipokuwa watakula chakula cha ziada na kuku wazazi ambacho ni pumba tu.kuku hawa naweza kuwauza wakiwa na umri wa miezi 5 na kuendelea
Lakini kunawakati nawafungia kwenye uzio nilio eleza awali.kwenye huo uzio watashinda mchana usiku wataingia kwenye banda, ili asubuhi iwe rahisi kuku kuingia kwenye uzio bila kuku wengine kuingia nao. nilicho fanya kwenye Banda la kuku nimeweka mpaka ambao hauruhusu kuku kuchanganyika pia kuku hawa wanakuwa wa mwisho kuingia na wa kwanza kufunguliwa.
humo ndani ya uzio naweka vyombo vya maji na chakula,chakula hapa huwa nawapa kwa utaratibu na formula kama awali kule bandani lakini nitaongeza kipimo kwa siku, kuku mmoja atakula gm 6 kwa wiki tatu za mwanzo wiki ya nne gm 7 kwa siku.kuku hawa ninaweza nikawauza baada ya kutimiza miezi 3 hadi 3.5.
chanjo ya ndui inatolewa baada ya kuku kutimiza miezi miwili.mimi ninacho fanya kama nitakuwa na lengo la kuwauza kuanzia miezi mitatu basi siwachanji ili kupinguza gharama na kama nitawaacha hadi miezi mitano wajitafutie chakula hapo huwa nawachanja.