Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Msaada please!!!!
Majogoo wapo 10, ninawapatia kila siku mkuuKuna majogoo wangapi kati ya hao kuku 100?
Je umekua ukiwapa mboga/majani?
Mkubwaaa habari za asubuhi upo wapi unapayokana maana nilihitaji msaada wakomkuu mi naitaji sana kufuga kuku wa kizungu na mabanda nishajenga tatizo mpaka sasa sijajua naanzia wapi pia najrbu kupata ushauri kwa watalaam ila nahis bado kuna kitu natafuta naitaj unisaidie
Habari zaa asubuhi natafuta number ya mama joe miss monicaWao nimekupata
Mkuu ukipata mtu anaeuza hao kuku ni pm namb na mm coz naitaj sana pia kuku wa kufugahabar natafuta mtu anaeuza kuku wa kienyej naitaj matetea kama kumi kwe yoyote aliekua dar tuwasiliane 0712659807
Naomba kujua soko la kuku kipindi hiki kwa wajasiriamali wenzangu huko mliko,maana kwa upande wangu naona gharama kama chakula madawa,chakula kimepanda mno na vifaa vya chakula vimekuwa ghali mno na hivyo kufanya shughuli kuwa ngumu kwa upande wangu.
Nimebaki na kuku 233 tu, ninapouliza soko kwa wengine ni kutaka kujua hizi changamoto ninazokumbana nazo kipindi hiki ni kwa wote??? Na tunavuka vipi kwenye changamoto namna hii.?? Kwa kupunguza idadi zaidi kuendana na mahitaji au kuwapunguza na kuuwaacha kuku waishi mfumo huria kama ninavyofanya?(kumbuka madhara ya kuwaacha mfumo hurua)Unao Wangapi Mkuu
Nimebaki na kuku 233 tu, ninapouliza soko kwa wengine ni kutaka kujua hizi changamoto ninazokumbana nazo kipindi hiki ni kwa wote??? Na tunavuka vipi kwenye changamoto namna hii.?? Kwa kupunguza idadi zaidi kuendana na mahitaji au kuwapunguza na kuuwaacha kuku waishi mfumo huria kama ninavyofanya?(kumbuka madhara ya kuwaacha mfumo hurua)
mkuu wewe umekulia New york? au Michigani? kwa sababu kama umekulia kijijini basi unajua fika tabia za kuku wa kienyeji.Wakuu humu, heshima mbele. Nimefuga kuku kama 100 hivi wa kienyeji, na nawalisha pumba za mahindi mchanganyiko na mashudu, dagaa na madini. Wanaenda vizuri, ila shida ni kwenye utagaji, wanataga wachache na sio kila siku, anaweza kutaga leo, akaruka siku tatu ndio anataga tena. Nilikua naomba msaada humu, kwa wazoefu, namna ya kumfanya kuku wa kienyeji kutaga kwa mfululizo. Kuna majogoo 10 within.
Ahsante sana.
Watetea wengine watakuwa wana sura na maumbo mabaya hivyo majogoo wanawapotezea na kufuata wenue sura na mvuto!Majogoo wapo 10, ninawapatia kila siku mkuu