Asante, ngoja tusikie pia maoni ya wadau wengine.Ushauri wangu hyo biashara sio nzuri kwa sasa hasahasa hapa dar, na kwa uchunguz wangu wa harakaharaka imeathiriwa na uanzishwaji wa mfumo wa usafiri wa bodaboda ambao umeajiri vijana wengi sana, tena wale wacheza kamari a.k.a kamongo
kwani hapa Dar kuna sehemu wanatengeneza hizi pooltable?
Sehemu nyingi tu hizi pooltables zinatenezwa hapa dar...
Kuna sehemu takikati ya riverside na mabibo hostel, pia maeneo flani karibu na ubungo kibangu...
Niliulizia bei wakaanza na 1.2 M lkn kuna maelewano...
ahsante mkuu nilikuwa sijui
sasa kwa wazoefu wa hii biashara minimum ya mauzo kwao ni bei gani
Nipigie Bo's tuongee nikueleweshe vizuri