Saatatu Member May 31, 2013 83 28 Jun 17, 2017 #1 Kwa mud mwingi sana watu wanatengeneza blogu na applications kwenye Playstore ili ziwaingizie kipato. Je, ni kwa namna gani nitafidika na bligu au kutengeneza application kwenye G/Playsore?? Naomba kutoa hoja.
Kwa mud mwingi sana watu wanatengeneza blogu na applications kwenye Playstore ili ziwaingizie kipato. Je, ni kwa namna gani nitafidika na bligu au kutengeneza application kwenye G/Playsore?? Naomba kutoa hoja.
MZEE MSASAMBEGU JF-Expert Member Apr 19, 2013 2,780 2,547 Jun 18, 2017 #2 sanjally1 said: Ninaweza kukupa msaada kwenye blog,call me or whatsapp kupitia 0719568369 Click to expand... Acha utapeli kijana...unataka aje huko uanze kumdanganya danganya..kwanini usimpe msaada hapahapa ili watu wenye maswali kama yake waweze kufaidika
sanjally1 said: Ninaweza kukupa msaada kwenye blog,call me or whatsapp kupitia 0719568369 Click to expand... Acha utapeli kijana...unataka aje huko uanze kumdanganya danganya..kwanini usimpe msaada hapahapa ili watu wenye maswali kama yake waweze kufaidika
warlord Member Dec 27, 2013 84 80 Jun 18, 2017 #3 Duh... Nimependa uandishi wako tuu!!! .. Nikipata muda narejea na najibu kwa kina. Inshort: faida utaipata kupitia Ads (Matangazo)
Duh... Nimependa uandishi wako tuu!!! .. Nikipata muda narejea na najibu kwa kina. Inshort: faida utaipata kupitia Ads (Matangazo)