Disaba
Member
- Jun 16, 2015
- 34
- 17
Habari za humu ndani ndugu zangu.
Katika hali ya kuchakarika na kutafuta maisha hatimaye leo nimekuja na wazo langu ambalo nahitaji msaada toka kwenu wadau au kama kuna wazo zuri zaidi ya hili unaweza pia nishauri.
Nilikuwa na wazo la kufanya biashara ya nguo za wadada na watoto, kwa mzoefu au mwenye uono zaidi. Je mtaji wa Tsh. milioni 1 unatosha? Kama unatosha nini kifanyike hadi kufikia step ya kuweka mzigo sokoni?
Location niliiona iwe Mbagala Rangi 3 (ila Rangi 3 na huu ujenzi wa barabara panachangamoto sana) au hata K\Koo.
NAOMBA KUWASILISHA
Katika hali ya kuchakarika na kutafuta maisha hatimaye leo nimekuja na wazo langu ambalo nahitaji msaada toka kwenu wadau au kama kuna wazo zuri zaidi ya hili unaweza pia nishauri.
Nilikuwa na wazo la kufanya biashara ya nguo za wadada na watoto, kwa mzoefu au mwenye uono zaidi. Je mtaji wa Tsh. milioni 1 unatosha? Kama unatosha nini kifanyike hadi kufikia step ya kuweka mzigo sokoni?
Location niliiona iwe Mbagala Rangi 3 (ila Rangi 3 na huu ujenzi wa barabara panachangamoto sana) au hata K\Koo.
NAOMBA KUWASILISHA