marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,199
- 435
Habari wakuu:
Sijajua mikoa mingine, lakini kwa ninachokiona dar es salaam kinatia kichefuchefu,imekuwa kama kazi nyingine za kuingiza kipato hazipo kwa mabinti zetu lakini sio tu mabinti wadogo lakini majimama mazima hayaoni haya kujidharirisha..
Unakuta katoto kadogo ka miaka 15 kanaenda na jamama la miaka arobaini na kitu ili mradi bwana mdogo awe na 2000/=
mida ya saa 2 usiku utakuta sehemu nyingi za vichochoroni hasa karibu na nyumba za wageni wadaDa wamejianika kujiuza..
Jamani jamii tunaridhika na hili,,hivi tunapambana na ushezi na ukimwi au ndio umetushinda nguvu na kutulazimisha tuukumbatie..
Na serikali iko wapi katika hili,,,ooh mungu wangu unakuta mama anauza mihogo au mahindi ya kuchemsha anapigwa virungu eti anauzia barabani,,lakini machangudoa hawa wanaOdharirisha ubinadamu,wanaosambaza ukimwi kana kwamba ni kitu cha thamani sana katika jamii na wanaoharibu maadili ya watoto ambao ni taifa letu la kesho wanaachwa wajinafasi kwa raha zao...
Aisee huwa napata hasira sana,,mama anajiuzia karanga anavyonyanyaswa,,unataka akale nini??? Unataka awasomeshe vipi watoto??? Unataka afanye kazi gani??? AU UNATAKA AKAJIUZE???Jamani watanzania kama hatutaamua kubadirika,mabadiriko hayawezi kuja....maadili yanapolomoka kwa kasi kupita kiasi,,,jamani viongozi wetu ni vipofu au??? Hawayaoni haya???? Najua penye nia pana njia...LAKINI PASIPO NA NIA PANA GIZA..
Nawasilisha masikitiko yangu,,,naomba mawazo yenu pia wakuu,,,natanguliza shukurani zangu wakubwa..
Sijajua mikoa mingine, lakini kwa ninachokiona dar es salaam kinatia kichefuchefu,imekuwa kama kazi nyingine za kuingiza kipato hazipo kwa mabinti zetu lakini sio tu mabinti wadogo lakini majimama mazima hayaoni haya kujidharirisha..
Unakuta katoto kadogo ka miaka 15 kanaenda na jamama la miaka arobaini na kitu ili mradi bwana mdogo awe na 2000/=
mida ya saa 2 usiku utakuta sehemu nyingi za vichochoroni hasa karibu na nyumba za wageni wadaDa wamejianika kujiuza..
Jamani jamii tunaridhika na hili,,hivi tunapambana na ushezi na ukimwi au ndio umetushinda nguvu na kutulazimisha tuukumbatie..
Na serikali iko wapi katika hili,,,ooh mungu wangu unakuta mama anauza mihogo au mahindi ya kuchemsha anapigwa virungu eti anauzia barabani,,lakini machangudoa hawa wanaOdharirisha ubinadamu,wanaosambaza ukimwi kana kwamba ni kitu cha thamani sana katika jamii na wanaoharibu maadili ya watoto ambao ni taifa letu la kesho wanaachwa wajinafasi kwa raha zao...
Aisee huwa napata hasira sana,,mama anajiuzia karanga anavyonyanyaswa,,unataka akale nini??? Unataka awasomeshe vipi watoto??? Unataka afanye kazi gani??? AU UNATAKA AKAJIUZE???Jamani watanzania kama hatutaamua kubadirika,mabadiriko hayawezi kuja....maadili yanapolomoka kwa kasi kupita kiasi,,,jamani viongozi wetu ni vipofu au??? Hawayaoni haya???? Najua penye nia pana njia...LAKINI PASIPO NA NIA PANA GIZA..
Nawasilisha masikitiko yangu,,,naomba mawazo yenu pia wakuu,,,natanguliza shukurani zangu wakubwa..