Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,953
- 2,166
Bado hajafika PufguBado gharama za pugu kulaza charge, malisho charge per day
500 kwa 580 mbona kama faida ni ndogo sana na hii ni kwa aehemu zote za manunuzi au kuna mikoa mingine bei ya kununua huwa chini kiongozi...?
Na pia, hii bei inakuwa ni kwa siku zote au ni miezi mingine bei huwa nzuri...?