Biashara ya mtandaoni

Dec 1, 2010
68
4

Naomba nitangaze biashara yangu humu JAMVINI ili iwafikie wale wenye mahitaji.
Kama unatafuta au una shida na kitu, kifaa au chombo chochote kipya au kilichotumika, tena genuine, au unatafuta spea ya aina yoyote ya gari, pikipiki kubwa au vitu vya electronics, batteries, vitabu , computer softwares, laptops, camera parts, music system parts, information, au kifaa kingine chochote ambacho huwezi kukipata hapo Tanzania, basi ijaribu PACIFICA MARINE LLC ambayo inafanya shughuli hizi tangu 2005.
Sisi tumesajiriwa hapa Washington DC nchini Marekani na tunao mtandao mkubwa sana wa kukuwezesha kupata kitu unachohitaji tena kwa bei inayoeleweka. Unachotakiwa kufanya ni:-
1. Kuwasiliana nasi kwa e-mail: pacificamarine@yahoo.com na kisha utueleze hitaji lako. Tutaanza mawasiliano nawe kwa kukupigia simu au e-mail ili utupe details za kitu unachotafuta.
2. Tutakutafutia na kukupa bei ya kununulia kifaa hicho pamoja na gharama ya kukisafirisha.
3. Tukikubaliana, tutakinunua popote kilipo ( hasa USA, Canada, Australia, Japan au UK) China haimo kwenye uwakala wetu.
4. Tutakituma kwa agent wetu ambaye yupo hapo Haidery Plaza karibu na Posta Mpya, Dare s Salaam, Tanzania. Pia tutakupa contact zake za simu ili uanze kuwasiliana naye.
5. Kikishafika Dar es Salaam, utakwenda ofisini kulipia na kisha kuchukua kifaa chako.
Pamoja na shughuli hizi, tunasafirisha mizigo kwa njia ya meli kutoka USA kwenda kwenye bandari zote zilizoko Pwani ya Bahari ya Hindi, kama Djibouti, Mogadishu, Mombasa, Tanga, Dar es Salaam, Beira na Durban huko Afrika Kusini. Tunasafirisha kwa njia ya makontena na loose cargo vile vile.
Pia kunauza tiketi za ndege kupitia kwa wakala wetu walioko Florida, USA. Hata kama unasafiri toka Mwanza kwenda Dar es salaam, unaweza kuulizia ni kiasi gani kwa return ticket nasi tutakukatia hiyo tiketi. Bei zetu ni very competitive .
Hivi karibuni tumeanza kuuza magari toka USA na biashara inaendelea vizuri. Tunazo reference nzuri kwa watakaohitaji.
KARIBUNI
 
Hawa jamaa mimi nimewanyoshea mikono. Wanafanya biashara ya uhakika ile mbaya. Niliwaagiza wanitafutie Peachtree by Sage Accounting Software 2010.
Huwezi kuamini, nilitafutwa kwa E-mail na baada ya mazungumzo package mpya ikatumwa hapa Dar tena kwa bei ya kutupa ya $250.00. Nikaipokea kwa agent wao aliyeko hspo Haidery Plaza. Hakuna ubabaishaji, biashara wanaijua.
Nilitafuta Tanzania nzima, pistons za pikipiki yangu, Honda VF750 Sabre ya mwaka 1982 mpaka nikabwaga manyanga. Nilipowaagiza wao wakazitafuta na tayari wameshazituma tokea Japan tena kwa bei nzuri ya $ 95 tu.
Siyo kwamba nawapigia debe ila penye ukweli uongo hujificha hawa pacifia kazi wanaijua.:target:
 

Naomba nitangaze biashara yangu humu JAMVINI ili iwafikie wale wenye mahitaji.
Kama unatafuta au una shida na kitu, kifaa au chombo chochote kipya au kilichotumika, tena genuine, au unatafuta spea ya aina yoyote ya gari, pikipiki kubwa au vitu vya electronics, batteries, vitabu , computer softwares, laptops, camera parts, music system parts, information, au kifaa kingine chochote ambacho huwezi kukipata hapo Tanzania, basi ijaribu PACIFICA MARINE LLC ambayo inafanya shughuli hizi tangu 2005.
Sisi tumesajiriwa hapa Washington DC nchini Marekani na tunao mtandao mkubwa sana wa kukuwezesha kupata kitu unachohitaji tena kwa bei inayoeleweka. Unachotakiwa kufanya ni:-
1. Kuwasiliana nasi kwa e-mail: pacificamarine@yahoo.com na kisha utueleze hitaji lako. Tutaanza mawasiliano nawe kwa kukupigia simu au e-mail ili utupe details za kitu unachotafuta.
2. Tutakutafutia na kukupa bei ya kununulia kifaa hicho pamoja na gharama ya kukisafirisha.
3. Tukikubaliana, tutakinunua popote kilipo ( hasa USA, Canada, Australia, Japan au UK) China haimo kwenye uwakala wetu.
4. Tutakituma kwa agent wetu ambaye yupo hapo Haidery Plaza karibu na Posta Mpya, Dare s Salaam, Tanzania. Pia tutakupa contact zake za simu ili uanze kuwasiliana naye.
5. Kikishafika Dar es Salaam, utakwenda ofisini kulipia na kisha kuchukua kifaa chako.
Pamoja na shughuli hizi, tunasafirisha mizigo kwa njia ya meli kutoka USA kwenda kwenye bandari zote zilizoko Pwani ya Bahari ya Hindi, kama Djibouti, Mogadishu, Mombasa, Tanga, Dar es Salaam, Beira na Durban huko Afrika Kusini. Tunasafirisha kwa njia ya makontena na loose cargo vile vile.
Pia kunauza tiketi za ndege kupitia kwa wakala wetu walioko Florida, USA. Hata kama unasafiri toka Mwanza kwenda Dar es salaam, unaweza kuulizia ni kiasi gani kwa return ticket nasi tutakukatia hiyo tiketi. Bei zetu ni very competitive .
Hivi karibuni tumeanza kuuza magari toka USA na biashara inaendelea vizuri. Tunazo reference nzuri kwa watakaohitaji.
KARIBUNI

Ok mkuu ngoja nijipange,mnaweza safirisha tipper trucks nikaja kulipia hapa?
 
Nataka kuagiza viatu vya kike kama pea hamsini hivi. Sandalz na high hills kwa ajili ya kuuza. Viwe vya mtumba. Mnaweza kunipa gharama zake?
 
Mkuu naomba utuandikie kwenye e-mail ya kampuni kisha utueleze design yake. Tutakupigia simu kisha tutaona kama inawezekana. Umesema viatu vya kuuza tena vya mtumba, high hills na sandals. Tuandikie tafadhali.
 
Manyusi, tipper hatuwezi kusafirisha ila tunaweza kukuunga na wauzaji ili uongee nao kama wanaweza kufanya hivyo.
 
Mkuu naomba utuandikie kwenye e-mail ya kampuni kisha utueleze design yake. Tutakupigia simu kisha tutaona kama inawezekana. Umesema viatu vya kuuza tena vya mtumba, high hills na sandals. Tuandikie tafadhali.

poa.
 

Naomba nitangaze biashara yangu humu JAMVINI ili iwafikie wale wenye mahitaji.
Kama unatafuta au una shida na kitu, kifaa au chombo chochote kipya au kilichotumika, tena genuine, au unatafuta spea ya aina yoyote ya gari, pikipiki kubwa au vitu vya electronics, batteries, vitabu , computer softwares, laptops, camera parts, music system parts, information, au kifaa kingine chochote ambacho huwezi kukipata hapo Tanzania, basi ijaribu PACIFICA MARINE LLC ambayo inafanya shughuli hizi tangu 2005.
Sisi tumesajiriwa hapa Washington DC nchini Marekani na tunao mtandao mkubwa sana wa kukuwezesha kupata kitu unachohitaji tena kwa bei inayoeleweka. Unachotakiwa kufanya ni:-
1. Kuwasiliana nasi kwa e-mail: pacificamarine@yahoo.com na kisha utueleze hitaji lako. Tutaanza mawasiliano nawe kwa kukupigia simu au e-mail ili utupe details za kitu unachotafuta.
2. Tutakutafutia na kukupa bei ya kununulia kifaa hicho pamoja na gharama ya kukisafirisha.
3. Tukikubaliana, tutakinunua popote kilipo ( hasa USA, Canada, Australia, Japan au UK) China haimo kwenye uwakala wetu.
4. Tutakituma kwa agent wetu ambaye yupo hapo Haidery Plaza karibu na Posta Mpya, Dare s Salaam, Tanzania. Pia tutakupa contact zake za simu ili uanze kuwasiliana naye.
5. Kikishafika Dar es Salaam, utakwenda ofisini kulipia na kisha kuchukua kifaa chako.
Pamoja na shughuli hizi, tunasafirisha mizigo kwa njia ya meli kutoka USA kwenda kwenye bandari zote zilizoko Pwani ya Bahari ya Hindi, kama Djibouti, Mogadishu, Mombasa, Tanga, Dar es Salaam, Beira na Durban huko Afrika Kusini. Tunasafirisha kwa njia ya makontena na loose cargo vile vile.
Pia kunauza tiketi za ndege kupitia kwa wakala wetu walioko Florida, USA. Hata kama unasafiri toka Mwanza kwenda Dar es salaam, unaweza kuulizia ni kiasi gani kwa return ticket nasi tutakukatia hiyo tiketi. Bei zetu ni very competitive .
Hivi karibuni tumeanza kuuza magari toka USA na biashara inaendelea vizuri. Tunazo reference nzuri kwa watakaohitaji.
KARIBUNI
Saafi sana nitaanza kuwasiliana nanyi ngonja nianze kudunduliza vijisenti vyangu angalau nipate vitu vilivyo boraa kabisa bila zengwe,huku bongo mchina katuletea balaa
 
Karibu sana Rusesabagina, tunazo DVDs zako kibao hapa za Hotel Rwanda (originals) kwa bei nzuri tu. Nikuletee moja?
 
Mimi ni mkulima mnaweza kuniletea water pump ya kimarekani kwa ajili ya umwagiliaji wa bustani nataka used
 
Good move. Ngoja tujikusanye tutawasiliana.
Kwa ushauri zaidi mngesajili domain name yenu badala ya kutumia yahoo.com ingekuwa powa zaidi .
Unajua kampuni nyingi magumashi zinapenda kutumia yahoo au nyingine maarufu
 
Tuko kwenye mchakato wa kuwa na website yetu ambapo wateja wetu hawatakuwa na taabu ya kuangalia mambo yetu. Kwa wale wooote walioomba kufanya biashara nasi hata kutokea humu jamvini tunawasiliana nao vizuri tena bila shida. Sasa kwa huyu mkuu aliyeomba kutafutiwa water pump, sijui anataka water pump ya aina gani? Namwomba atuandike kwenye mtandao wetu wa pacificamarine@yahoo.com na akiweza atupe namba za simu ili tuzungumze naye.
 
Tuko kwenye mchakato wa kuwa na website yetu ambapo wateja wetu hawatakuwa na taabu ya kuangalia mambo yetu. Kwa wale wooote walioomba kufanya biashara nasi hata kutokea humu jamvini tunawasiliana nao vizuri tena bila shida. Sasa kwa huyu mkuu aliyeomba kutafutiwa water pump, sijui anataka water pump ya aina gani? Namwomba atuandike kwenye mtandao wetu wa pacificamarine@yahoo.com na akiweza atupe namba za simu ili tuzungumze naye.

Mkuu kama mchakato wa web ni mrefu. Weka mambo ktk FB na Twitter. Me pia naomba kama una skype nirushie tuchat kuna vitabu flani navitaka huko, amazon bei yake c ya faida.
 

Naomba nitangaze biashara yangu humu JAMVINI ili iwafikie wale wenye mahitaji.
Kama unatafuta au una shida na kitu, kifaa au chombo chochote kipya au kilichotumika, tena genuine, au unatafuta spea ya aina yoyote ya gari, pikipiki kubwa au vitu vya electronics, batteries, vitabu , computer softwares, laptops, camera parts, music system parts, information, au kifaa kingine chochote ambacho huwezi kukipata hapo Tanzania, basi ijaribu PACIFICA MARINE LLC ambayo inafanya shughuli hizi tangu 2005.
Sisi tumesajiriwa hapa Washington DC nchini Marekani na tunao mtandao mkubwa sana wa kukuwezesha kupata kitu unachohitaji tena kwa bei inayoeleweka. Unachotakiwa kufanya ni:-
1. Kuwasiliana nasi kwa e-mail: pacificamarine@yahoo.com na kisha utueleze hitaji lako. Tutaanza mawasiliano nawe kwa kukupigia simu au e-mail ili utupe details za kitu unachotafuta.
2. Tutakutafutia na kukupa bei ya kununulia kifaa hicho pamoja na gharama ya kukisafirisha.
3. Tukikubaliana, tutakinunua popote kilipo ( hasa USA, Canada, Australia, Japan au UK) China haimo kwenye uwakala wetu.
4. Tutakituma kwa agent wetu ambaye yupo hapo Haidery Plaza karibu na Posta Mpya, Dare s Salaam, Tanzania. Pia tutakupa contact zake za simu ili uanze kuwasiliana naye.
5. Kikishafika Dar es Salaam, utakwenda ofisini kulipia na kisha kuchukua kifaa chako.
Pamoja na shughuli hizi, tunasafirisha mizigo kwa njia ya meli kutoka USA kwenda kwenye bandari zote zilizoko Pwani ya Bahari ya Hindi, kama Djibouti, Mogadishu, Mombasa, Tanga, Dar es Salaam, Beira na Durban huko Afrika Kusini. Tunasafirisha kwa njia ya makontena na loose cargo vile vile.
Pia kunauza tiketi za ndege kupitia kwa wakala wetu walioko Florida, USA. Hata kama unasafiri toka Mwanza kwenda Dar es salaam, unaweza kuulizia ni kiasi gani kwa return ticket nasi tutakukatia hiyo tiketi. Bei zetu ni very competitive .
Hivi karibuni tumeanza kuuza magari toka USA na biashara inaendelea vizuri. Tunazo reference nzuri kwa watakaohitaji.
KARIBUNI



Hapo nilipopigia mstari panatia shaka. Kampuni imesajiliwa unatumia email ya yahoo??
 
Naomba uwaeleze wana jamii shaka yao ni nini? Ni email address au ni products zetu au ni services zetu? Kama una shaka na services zetu tuambie tujirekebishe lakini kama shaka ni yahoo.com, nilishaeleza tangu mwanzo kwamba tunakua kwa kasi ya taratibu, siyo muda mrefu tutakuwa na website yetu.
 
Maadam kifaa kinaletwa Tanzania ndio unapokwenda kukichukua unalipia, sio kulipia kabla nadhani yahoo.com hainisumbui. Asante, natafuta spare ya Honda Civic VTi, nitawatafuta.
 
Mi natafuta used laptop ambayo ni nzuri na bei nafuu je inaweza kuwa bei gani huko?
 
Ebwana hawa jamaa mimi nimekwisha fanya noa kazi,hakuna zengwe wala hata hivyo pesa unalipa baada ya mzigo wako kufika kwa hiyo mimi binafsi sioni risk yeyote ya tu trade na hawa jamaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom