Biashara ya mitungi ya gesi na juis ya miwa

Blessed Son

Member
Apr 23, 2015
34
23
Habarini wakuu kati ya kuuza na kubadilisha mitungi ya gesi na kuwa na mashine ya kukamua juis ya miwa ipi iko poa kimaslahi?
 
Ninazo aina zote mkuu ya manual laki 900 umeme 2m umeme na manual 2.2m
20170217_075343.jpg
 
Habarini wakuu kati ya kuuza na kubadilisha mitungi ya gesi na kuwa na mashine ya kukamua juis ya miwa ipi iko poa kimaslahi?

Nyie watu ambao biashara haipo kwenye DNA zenu mna shida sana, business depend on:

- Location.
- Need.
- Capital.
- Knowledge & commitment.

Sasa wewe unauliza online ipi ni biashara nzuri kati ya gas na mitungi???? hili swali haliwezi kujibiwa vyema bila maelezo mengine.
 
Nyie watu ambao biashara haipo kwenye DNA zenu mna shida sana, business depend on:

- Location.
- Need.
- Capital.
- Knowledge & commitment.

Sasa wewe unauliza online ipi ni biashara nzuri kati ya gas na mitungi???? hili swali haliwezi kujibiwa vyema bila maelezo mengine.
Ndio maana huwa tunapiga kelele za majungu mara biashara zetu zinapogoma kusimama huku tukiona wahindi, wachaga, wakinga, wachina, waha,wakurya, etc wakifanikiwa kwenye business zao. Kumbe tatizo ni kuibuka tu bila research
 
Nyie watu ambao biashara haipo kwenye DNA zenu mna shida sana, business depend on:

- Location.
- Need.
- Capital.
- Knowledge & commitment.

Sasa wewe unauliza online ipi ni biashara nzuri kati ya gas na mitungi???? hili swali haliwezi kujibiwa vyema bila maelezo mengine.
Bwana ahsante sana kuambia wana niudhi sana. hata kufanya maamuzi ya biashara(simple bussiness decission) anashidwa duh. eti mwanaumme mzima na mke anae!!!!!!!
 
Back
Top Bottom