Ndugu zangu nakuja kwenu nikiamini humu tupo watu wengi wenye uzoefu tofauti tofauti na uzoefu huo utatujenga wote.
Lengo langu n kufanya biashara ya mitumba, na lengo langu n kuwa nanunua belo na kuuza. Nahitaji kujua Kati ya kuwa na flemu au kuzunguka minadani bora nini?
Belo zuri ambalo nguo zake n rahisi kuuzika n kuanzia tsh ngapi na ni nguo za aina gani?
Pia mwenye uzoefu wa kutoa mzigo Uganda anambie, na vipi kuhusu wale wanaochanaga mzigo asubuhi Sana pale karume na kuuza faida yao ipoje? Na mzigo wanatoa wapi? Je unaweza kuwa unamaliza belo moja kila asubuhi na faida hela ngap?
Natanguliza shukraniiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo langu n kufanya biashara ya mitumba, na lengo langu n kuwa nanunua belo na kuuza. Nahitaji kujua Kati ya kuwa na flemu au kuzunguka minadani bora nini?
Belo zuri ambalo nguo zake n rahisi kuuzika n kuanzia tsh ngapi na ni nguo za aina gani?
Pia mwenye uzoefu wa kutoa mzigo Uganda anambie, na vipi kuhusu wale wanaochanaga mzigo asubuhi Sana pale karume na kuuza faida yao ipoje? Na mzigo wanatoa wapi? Je unaweza kuwa unamaliza belo moja kila asubuhi na faida hela ngap?
Natanguliza shukraniiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app