Hivi hao wanaouza 500 kwa mfuko, huwa wana import kutoka njee au kuna viwanda hapa nchin wanauza rahisi zaidMkuu mbona Arusha wanauza mia tano mfuko mmoja,inamaana kwa hiyo bei uliyotaja mfuko mmoja ni 560/ kiwandani
Hivi hao wanaouza 500 kwa mfuko ,huwa wana import kutoka njee au kuna viwanda hapa nchin wanauza rahisi zaid
500/=naweza kukutafutia mkuu. Pia hii inatofautiana kwa ubora, useme ni ubora upi.Nahitaj mifuko hii ya debe 6 kwa bei ya jumla kama 5,000 pieces. Anayejua napoeza kupata kwa 380,000/mifuko 1000 naomba msaada
Mkuu nipe jina la campuni ya nje inayozalisha malola hayo nishone mwenyewe nilijaribu kupata taharifa hizi nikakosa nafikiri utakuwa msaada kwanguShekh kama unataka kujikita kwenye iyo biashara na namna naweza kuwa na msaada lakini sio wa ndani ya nchi.
Kama utaweza tafuta mashine ya kushonea iyo mifuko naweza kuongea na manufacturer tuletee roller kwa bei ya 2100 Usd uzito wa ton 1.
Au
Tulete kama mifuko kamili kwa kiasi cha 0.130 Usd kwa mmoja.
View attachment 1791605View attachment 1791606
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Mlandizi Kibaha wanauza 400 kuna kiwanda pia.Hivi hao wanaouza 500 kwa mfuko, huwa wana import kutoka njee au kuna viwanda hapa nchin wanauza rahisi zaid
Umeongea kitu sahihi kabisa...Sasa mkuu ulivopiga chini ukaingia kwenye ishu zipiBiashara za bongo pasua kichwa sanaa...nishafatilia products nyingi tu kwenye viwanda tofauti tofauti unakuta bei ya kiwanda na retail price au wholesale price mtaani uta note zimepishana 1000 au 1,500 tu
Cha kushangaza utashangaa wholesalers wengi wana hela balaa sasa unawaza wanafanyaje hawa ??? Nikachunguza sana wapi.
Nikaachana na hzo mambo...yani maana yake unaweza fanya turnovers za 10M au 15 M kwa faida ya laki 1 au 2 na hapo una expenses kibao za biashara.
Nikaona biashara kichaa hii. Nika Bwaga.
Umeongea kitu sahihi kabisa...Sasa mkuu ulivopiga chini ukaingia kwenye ishu zipi
Mashine za kushonea zinapatikana wapi?! Mi niko interested...Shekh kama unataka kujikita kwenye iyo biashara na namna naweza kuwa na msaada lakini sio wa ndani ya nchi.
Kama utaweza tafuta mashine ya kushonea iyo mifuko naweza kuongea na manufacturer tuletee roller kwa bei ya 2100 Usd uzito wa ton 1.
Au
Tulete kama mifuko kamili kwa kiasi cha 0.130 Usd kwa mmoja.
View attachment 1791605View attachment 1791606
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Unaweza ongea na mafundi chereani maana utakuja kama roller wewe ndio utabidi ushone sasa au ongea na mtu wa china uoneMashine za kushonea zinapatikana wapi?! Mi niko interested...
Hiii Bei ya mikoani kabisa mkuuDar Karikoo 500 kwa mfuko