JOSEPHAT_07
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 290
- 162
Jamani kwa wale wazoefu mtaji unahitajika kuanzia shilingi ngapi naweza kufanya?
Mbona kimya JamaniWanakuja
Nimekucheki naona kimyaNitafute mi nipo jikoni
Njoo dm tuyajengeNimekucheki naona kimya
Tren ndo rahisi sanaKuna jamaa aliniambia huwa shirika la posta huwa linasafirisha mchele kea bei rahisi sana