Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
mmmh! majibu!
Eeh! Jamaa mkali kwa majibu utafikri katoka kumfumania mkewe!
Hivi nini inakuwa ngumu kuweka mambo wazi mpaka ulazimishie watu waingie kwenye internet? Kwa nini usitoe tu hata namba ya simu? Wa-TZ kila kitu ni kigumu sana sijui tutafika lini wachovu sisi?