TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,417
Habari wana JF.
Nimekuja mbele yenu nikiamini kwenye jukwaa hili nitapata msaada wa biashara hizi mbili kati ya ufugaji wa kuku au biashara ya mbao ipi the best kuanzia kwenye changamoto za soko na utendaji wake usimamizi nk.
Nimekua na sinto fahamu juu ya hizi fursa 2 ipi yenye good future malengo ni kufanya big project.
Ila bado sijapata mwangaza niifanye ipi?
--Kama ufugaji malengo nifuge kuku chotara aina ya Kroilers niwazalishe mwenyewe then wakikua baada ya miezi 5 niwauze I mean vifaranga nitazalisha mwenyewe.
--Kama biashara ya mbao nitanunua chensor nitawaajiri vijana tutakata vibali tutaingia msituni nakuanza kukata mbao.
Nahitaji neno kutoka kwenye wana JF.
Nimekuja mbele yenu nikiamini kwenye jukwaa hili nitapata msaada wa biashara hizi mbili kati ya ufugaji wa kuku au biashara ya mbao ipi the best kuanzia kwenye changamoto za soko na utendaji wake usimamizi nk.
Nimekua na sinto fahamu juu ya hizi fursa 2 ipi yenye good future malengo ni kufanya big project.
Ila bado sijapata mwangaza niifanye ipi?
--Kama ufugaji malengo nifuge kuku chotara aina ya Kroilers niwazalishe mwenyewe then wakikua baada ya miezi 5 niwauze I mean vifaranga nitazalisha mwenyewe.
--Kama biashara ya mbao nitanunua chensor nitawaajiri vijana tutakata vibali tutaingia msituni nakuanza kukata mbao.
Nahitaji neno kutoka kwenye wana JF.