Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,382
- 26,724
yachunguzwe wengine wanawakamua mbwa kujazia ndoo zao pia nguruwe
Maziwa ya nguruwe huna pesa ya kununua wewe.
yachunguzwe wengine wanawakamua mbwa kujazia ndoo zao pia nguruwe
Wewe umeshindwa kujiajiri? Lione!Kuna wimbi kubwa sana la wauza maziwa mtindi na fresh limezukia maeneo ya ubungo river side (mandela road) wale wafanya biashara yale maziwa ni mengi sana na kila siku yapo sijui yanatolewa wapi.
Kinachoniumiza ninefanya resech hao jamaa yale maziwa wanaletewa kutoka vijijini na hawa wanaoleta hayo maziwa hawataki hao wanunuzi wajue soko (huko yanakotolewa) wao wanaleta maziwa na ndoo na ( hapa inategemea wewe mteja unataka ndoo ngapi)wanakuachia ndoo au wanakumiminia wanadudi na ndoo zao wee unatoa hela.
Ndoo kubwa mtindi ni 38 hadi 40 elfu ndoo ndogo ni 18 hadi 22 elfu.hao wauzaji hawana cha kibali cha afya wala leseni mamlaka ya dawa na chakula (TFDA) wa leseni ya serikali ya kulioa kodi TRA hapa sijui siku itatokea maafa au watu kuumwa matumbo serikali sijui itaanzia wapi na serikali yenyewe inakosa maoato maana hii biashara mzigo unaoshushwa pale ni zaidi ya ndoo 2000 kwa siku na ndani ya masaa 4 mzigo umeisha maana hawa wanunuzi wadogo wadogo wanatoka sehemu mbali mbali.
Maziwa yanaletwa alfajiri saa tisa mpaka saa moja kasoro maziwa yameisha.
Mamlaka husika fuatilieni hili hiki ni chanzo kingine cha mapato mnakipoteza.
Nina biashara 4 tofauti nina wafanyakazi jumla 23 na wote nawalipa na mimi najilipa ndugu na serikali nailipa pia na biashara zangu wala haziusiani na chakula.Wewe umeshindwa kujiajiri? Lione!
Basi waache raia wapige hela! Serikali hii haina Shukrani, tunakusanya kodi wanaishia kutumia na mahawara zao!Nina biashara 4 tofauti nina wafanyakazi jumla 23 na wote nawalipa na mimi najilipa ndugu na serikali nailipa pia na biashara zangu wala haziusiani na chakula.
Sent using Jamii Forums mobile app
juice unazokunywa, maji ya chupa, soda ushawahi kwenda vinakoandaliwa? ushaingia majiko ya hoteli hata zile kubwa? walipe kodi ili maziwa yapande bei?Sijanyimwa shida ni huko yanakotolewa kuna usalama gani kwa afya za binadamu mpaka wa wafe ndio serikali ianze kuumiza kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
vingi tu tunavyokula hata majumbani weka camera uone mtu katoka toilet hajanawa anashika nyanya kukata kachumbari au anachuja nazi... Ukiwaza sana huli chochote.Maziwa mengi ni Uchafu
kwan ww usha shuhudia maitii ngapi zilikufa kwa kunywa hayo maziwa.Sijanyimwa shida ni huko yanakotolewa kuna usalama gani kwa afya za binadamu mpaka wa wafe ndio serikali ianze kuumiza kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida mazingira huko yanakotoka je ni rafiki kwa matumizi?ili siku ya siku tusije ilaumu serikali hapakwan ww usha shuhudia maitii ngapi zilikufa kwa kunywa hayo maziwa.
Acha wivu Mkuu kodi kitu gani unalipa kodi inaenda kwenye matumbo ya watu
wadau wale wana tbs za matumbo.safarin ukavamie mtindi aisee.au pale ruafe ukiwa unatoboa mpanda.au pale lyazumbi kuna mishkakKuna miaka nilikua nasafiri kigoma-Dar, Dar-Kigoma. Pale Uvinza stand wanamama wanauza maziwa mgando kwenye chupa ya maji. Ni biashara ila binafsi hata kama nina njaa kiasi gani kunywa mtindi, juice blended kwenye machupa nk nk vimenipita kushoto
acha uchawi wewe fuga na wewe ng'ombe.Serikali haijafikia hatua ya wakulima na wafugaji kutozwa kodiKuna wimbi kubwa sana la wauza maziwa mtindi na fresh limezukia maeneo ya ubungo river side (mandela road) wale wafanya biashara yale maziwa ni mengi sana na kila siku yapo sijui yanatolewa wapi.
Kinachoniumiza ninefanya resech hao jamaa yale maziwa wanaletewa kutoka vijijini na hawa wanaoleta hayo maziwa hawataki hao wanunuzi wajue soko (huko yanakotolewa) wao wanaleta maziwa na ndoo na ( hapa inategemea wewe mteja unataka ndoo ngapi)wanakuachia ndoo au wanakumiminia wanadudi na ndoo zao wee unatoa hela.
Ndoo kubwa mtindi ni 38 hadi 40 elfu ndoo ndogo ni 18 hadi 22 elfu.hao wauzaji hawana cha kibali cha afya wala leseni mamlaka ya dawa na chakula (TFDA) wa leseni ya serikali ya kulioa kodi TRA hapa sijui siku itatokea maafa au watu kuumwa matumbo serikali sijui itaanzia wapi na serikali yenyewe inakosa maoato maana hii biashara mzigo unaoshushwa pale ni zaidi ya ndoo 2000 kwa siku na ndani ya masaa 4 mzigo umeisha maana hawa wanunuzi wadogo wadogo wanatoka sehemu mbali mbali.
Maziwa yanaletwa alfajiri saa tisa mpaka saa moja kasoro maziwa yameisha.
Mamlaka husika fuatilieni hili hiki ni chanzo kingine cha mapato mnakipoteza.