OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
1. Mashine ya kusaga unga wako wewe ili uweke kwenye mifuko uuze au unasagia watu wanalipia huduma hiyo?!!
2. Angalia soko na wanunuzi endelevu au hapo unapoiweka tabia ya watu unaoishi nao je ni wa kipato cha kati au vipi, watu wengi kwa sasa wananunua unga dukani kuliko kubeba mahindi kwenda kusaga,angalia sehemu unayokaa na wateja unaowalenga.
3. Kukutoa au kutokukutoa inategemea na malengo yako, mtaji, mipango kazi, uelewa wako wa soko, timu yako utayofanya nayo kazi, aina za mashine utazotumia, usimamizi wako n.k. . . .Biashara inataka nidhamu ya hali ya juu sana nabkubadilika kutokana na soko na washindani wako.
4. Umeamua kuweka chumba katika nyumba hiyo hiyo au unapoishi umejenga vhumba pembeni maalum kwa kazi hiyo??!!. Kusaga ni kazi ya vumbi na ina kelele, sio salama sana kuweka katika nyumba hiyohiyo nadhani hata maandalizi ya msingi wa mashine ni tofauti na nyumba ya kuishi
Kila la kheri. . .
2. Angalia soko na wanunuzi endelevu au hapo unapoiweka tabia ya watu unaoishi nao je ni wa kipato cha kati au vipi, watu wengi kwa sasa wananunua unga dukani kuliko kubeba mahindi kwenda kusaga,angalia sehemu unayokaa na wateja unaowalenga.
3. Kukutoa au kutokukutoa inategemea na malengo yako, mtaji, mipango kazi, uelewa wako wa soko, timu yako utayofanya nayo kazi, aina za mashine utazotumia, usimamizi wako n.k. . . .Biashara inataka nidhamu ya hali ya juu sana nabkubadilika kutokana na soko na washindani wako.
4. Umeamua kuweka chumba katika nyumba hiyo hiyo au unapoishi umejenga vhumba pembeni maalum kwa kazi hiyo??!!. Kusaga ni kazi ya vumbi na ina kelele, sio salama sana kuweka katika nyumba hiyohiyo nadhani hata maandalizi ya msingi wa mashine ni tofauti na nyumba ya kuishi
Kila la kheri. . .