Fursa ya biashara kwenye mafuta ya alizeti

Tricker

Member
Nov 26, 2010
95
25
Wadau naomba wenye data kuhusu biashara ya mafuta ya alizeti wanijuze.
The following should b included.
1.upatikanaji wake i.e location
2.Market yake kwa hapa Dar
3.Profit margin ikoje
Thanx waheshimiwa
==========================================

Maswali mengine kutoka kwa wadau

Habari zenu wanaJF!
Ninataka kuanza kufanya biashara ya mafuta ya alizeti, niwe nnatoa mafuta mkoani napeleka mijini, mfano Dar, sasa shida yangu ni kuwa bado sina link na wanunuzi wa hayo mafuta!

Naomba yeyote ambaye anaweza akanipatia link au akaniunganisha na watu wanaonunua haya mafuta ili iniwezeshe kuanza hii biashara.
Mtaji ni mdogo ila kama ntapata wanunuzi wengi ntakusanya nguvu na kuongeza mtaji kukuza biashara.

Natanguliza shukrani.

Habari wadau..nataka kuanza biashara ya kuuza mafuta ya alizeti, mpango wangu ni kuchukua mafuta kwenye viwanda vidogo vidogo singida au dodoma...na kuyapeleka mwanza na dar, ambapo nitakuwa nauza kwa jumla na rejareja....

naombeni msaada wenu kwa anayejua bei ya mafuta kwenye viwanda hivyo kwa 1lt, 3lt, 5lt au 10 lt na pia kwa atayenielekeza mahali viwanda vilipo atanisaidia sana...mbali na hayo nakaribisha wazoefu wa hii biashara kwa ushauri....mimi ni mlw nayesubiri ajira ambazo hazieleweki hivyo nimeamua kuwa na mawazo ya kujiajiri
natanguliza shukrani
 
Wadau naomba wenye data kuhusu biashara ya mafuta ya alizeti wanijuze.
The following should b included.
1.upatikanaji wake i.e location
2.Market yake kwa hapa Dar
3.Profit margin ikoje
Thanx waheshimiwa

Kwa mara ya mwisho bei ya lita 20 pale Mtinko Singida ilikuwa Tsh 31,000/ na wakati huo huo pale Tabata Shule walikuwa wanauza bei ya jumla Tsh 38,000/ kwa lita 20. Sijui usafiri ni kiasi gani.

Kama unajua hesabu za biashara basi kuanzia hapo unaweza kupiga mwenyewe, hiyo ilikuwa august mwaka huu.
 
Mafuta ya alizeti toka singida mtinko, ilongero, iguguno na hata hapa mjini ni Ths. 60,000 kwa lita 20 sawa na 3000 @ lita. kama vipi nicheki
 
Mimi nataka kuanza biashara ya kuuza mafuta ya alizeti hapa dar natafuta wateja nani ataitaji, lita tano (5) ni shilingi elfu kumi na saba na mia tano, bei ya mwisho ni shilingi elfu kumi na saba,(17500-17000 Tshs)
 
Kwakuwa ndo ninaanza hii biashara ninaweza ku supply lita 250 kwa mwenzi, kwani ulikuwa unaitaji lita ngapi? na kama utojali tumia mawasiliano yangu hapo juu ili tuweze kuwasiliana kwa wakati@ mutesa
 
Habari zenu wanaJF!

Ninataka kuanza kufanya biashara ya mafuta ya alizeti, niwe nnatoa mafuta mkoani napeleka mijini, mfano Dar, sasa shida yangu ni kuwa bado sina link na wanunuzi wa hayo mafuta!

Naomba yeyote ambaye anaweza akanipatia link au akaniunganisha na watu wanaonunua haya mafuta ili iniwezeshe kuanza hii biashara.

Mtaji ni mdogo ila kama ntapata wanunuzi wengi ntakusanya nguvu na kuongeza mtaji kukuza biashara.

Natanguliza shukrani.
 
Katika hali halisi bei itategemea na mahali nnapopeleka mafuta, kwa maana ya kwamba kuna some slight amount inayoongezeka au kupungua kutokana mahali husika, kwa mfano Morogoro, Dar, Arusha etc...

Mimi ntayaleta kutoka Dodoma au Singida.
Sasa nnachoomba kufahamiana na wanunuzi au wauzaji wengine ili nijue soko lake likoje mahali walipo na bei yake, baada ya hapo nnaweza nikaanza kuwapelekea mafuta.
 
Tunatafuta wasambazaji ambao wana deal na mafuta ya kupikia ambayo yako packed kwenye chupa za lita 1,2 na 5 tunaweza kutengeneza kwa brand ya mteja.Uwezo wetu wa unaanzia chupa 26 985 kwa lita moja ndani ya container la futi 40,chupa

12 520 za lita 2 na chupa
5 160 za lita 5.Mafuta yetu yapo kwenye standadi za umoja wa Ulaya na vigezo vyote vya usalama.Bei zetu ni rahisi kufanya biashara manake ni chini kwa asilimia 40 kwa bei ya Tanzania kama upo serious unataka kuanzisha brand yako na ukaikuza basi tuwasiliane kwa pm

specification

Product Type: Nut & Seed Oil Type: Sunflower Oil Processing Type: Refined
Certification: HACCP,
Form A or EUR1 Packaging: Plastic Bottle Purity (%): 100
Brand Name: private
Grade: First Place of Origin: Ukraine
Packaging & Delivery
Packaging Detail: PET bottles: 0.92L; 1L; 2L; 5L

Physical and chemical indicators:

Coloured number mg to the iodine,no more 2
Acid number mg KOH,no more 0.14
Peroxide value ½ 0 meq/kg, no more < 0.5
Moisture and
volatile matters %, no more 0.035

Degree of transparency FEM, no more 2
Mass stake of 3,4
benzo(a)pyren &#956;g/kg wet weight < 1.0

Mass stake of dioxins
(WHO-PCDD/F-TEQ) pg/g fat < 0,25
 
Hlo container la 40feet mnauza dola ngap?
weka na full bei ili tuangalie itatulipaje kama wafanya bisness
 
Back
Top Bottom