Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,466
Sijui nyie hii biashara mnaifanyaje,,, kama mnunuaji lazima kila leo uwe na update ya bei ya siku kila leo isipokuwa jumapili lazima ujue bei sokoni ikoje, na uweze kulisoma soko linaenda kupanda ama kushuka, we utanunuaje bila kujua unaenda kuuzaje???
Dhahabu kupungua uzito inategemeana mfano hizi za kukamatisha na mercury unapaswa uichome haswaa tena kwa mkaa wenye nguvu uhakikishe mercury yote imeisha ukiitoa dhahabu ikiwa njano iliyokolea ile kama inaenda kuwa red ama brown hivi hiyo imeiva vzr japo wachimbaji wanakuwa wakali ila inabidi ukomae nao mana wao wanataka ubabue ili mercury iwabebe ila ukichoma vzr hata kama ni dungu la gram 40 halitopungua zaidi ya point 5 au chini zaidi, zile zisizokamatishwa zinapungua kama mtu hukupuliza vzr yaan umenunua zikiwa na uchafu mwingi hivyo zikichomwa ule uchafu ukitoka ndio zinapungua kulingana na uchafu uliokuwepo au kuzidi hapo ila ukizipuliza vzr huwa hazipungui sana
Hahaah tunaandika tunachopractc dogo. Unanunua Leo mzigo tuseme mwingi wa 2m! Umebakiza tuseme laki7 tu, kesho kitu unaona kimedrop. Kesho yake Tena kimedrop, wanauza kwa faida ndogo mradi aende Tena kukusanyia mzigo eish bye! Nini apps!tajiri anapanha Bei hutak kwenda.