kiri12
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 637
- 555
Habari wapendwa, nilikuwa nahitaji msaada mwenye kujua hii biashara ya kuuza pumba na chakula cha kuku imekaaje faida zake na mtu anatakiwa awe na mtaji wa kuanzia ngapi, na gharama zake gunia la pumba kwa bei ya jumla ni kiasi gani, mi nipo Dar maeneo ya Mbezi Louis.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app