Naomba msaada kuhusu biashara ya kuuza na Kubadilisha gesi

serio

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
7,306
4,681
ndugu wana jf,
nataka kuanzisha biashara ya kuuza gesi ya kupikia na accessory zake.,naomba msaada kuhusu procedure zinazotakiwa ili niweze kufanikisha ndoto yangu.
pia mwenye idea na strategic business proposal naomba anisaidie.
natanguliza shukrani.
 
ndugu wana jf,
nataka kuanzisha biashara ya kuuza gesi ya kupikia na accessory zake.,naomba msaada kuhusu procedure zinazotakiwa ili niweze kufanikisha ndoto yangu.
pia mwenye idea na strategic business proposal naomba anisaidie.
natanguliza shukrani.
Kama uko serious piga simu hapa saa za kazi +255222120584 hawa watakupa kila kitu bila longo longo.
 
Wanajamii, naomba msaada kwa mtu yoyote anaijua kwa undani biashara ya kuuza gesi ya kupikia kama vile Oryx anieleze kuhusu faida au asara yake na ni makadirio ya mtaji wa kiasi gani unahitajika, mategemeo ya return ni muda gani. Asante ya awali.
 
Wanajamii, naomba msaada kwa mtu yoyote anaijua kwa undani biashara ya kuuza gesi ya kupikia kama vile Oryx anieleze kuhusu faida au asara yake na ni makadirio ya mtaji wa kiasi gani unahitajika, mategemeo ya return ni muda gani. Asante ya awali.
Piga kwa 0754502007 utapata majibu ya maswali yako yote.
 
huo ni uchoyo!

Hapo nilipomwelekeza ni kwa mtu anayejua biashara hiyo na anaifanya kwa muda sasa, kwa hiyo isingekuwa busara kutoa maelezo yasiyojitosheleza wakati kuna mtu anaweza kutoa majibu na uzoefu wa kazi hiyo bure, sasa uchoyo hapo uko wapi? Ningesema anipe PM ingekuwa sawa kuita uchoyo, lakini nimeweka simu wazi kwa ye yote anayetaka apige na apate jibu.

Kama nimekosea nisamehe bure.
 
Hapo nilipomwelekeza ni kwa mtu anayejua biashara hiyo na anaifanya kwa muda sasa, kwa hiyo isingekuwa busara kutoa maelezo yasiyojitosheleza wakati kuna mtu anaweza kutoa majibu na uzoefu wa kazi hiyo bure, sasa uchoyo hapo uko wapi? Ningesema anipe PM ingekuwa sawa kuita uchoyo, lakini nimeweka simu wazi kwa ye yote anayetaka apige na apate jibu.

Kama nimekosea nisamehe bure.

very gentle ... i love this type of attitude

ulitakiwa kuwa muuguzi
 
Hapo nilipomwelekeza ni kwa mtu anayejua biashara hiyo na anaifanya kwa muda sasa, kwa hiyo isingekuwa busara kutoa maelezo yasiyojitosheleza wakati kuna mtu anaweza kutoa majibu na uzoefu wa kazi hiyo bure, sasa uchoyo hapo uko wapi? Ningesema anipe PM ingekuwa sawa kuita uchoyo, lakini nimeweka simu wazi kwa ye yote anayetaka apige na apate jibu.

Kama nimekosea nisamehe bure.

kaka nimekupata vema!
 
Asante mkuu, nimeipata hiyo namba na nitawasiliana nae na nitafanya research zaidi. Na ninahaidi kuwa chochote nitakchukipata kuhusu hili nitawasilisha kwa wanajamii.
 
Asante mkuu, nimeipata hiyo namba na nitawasiliana nae na nitafanya research zaidi. Na ninahaidi kuwa chochote nitakchukipata kuhusu hili nitawasilisha kwa wanajamii.

tunaomba feedback
 
Ni biashara nzuri ila kama una mtaji mdogo na huna biashara nyingine sikushauri kuifanya!

Kwasababu' mzunguko wake ni kawaida sana, hata ukawa sehem ambayo ni hot sana huwezi kufanya maajabu ukamaintain kuuza wastani wa mitungi kumi kila siku!

Unavyoanza unatakiwa kununua mitungi tupu' hivyo unatakiwa utenge pesa mara mbili yaani ya mitungi na ya gasi. Na bei ya mitungi tupu inakaribiana na bei ya gesi kwa kiasi fulani.

Faida zake ni ndogo ukilinganisha na mtaji unaoweka katika kila mtungi' kama sijakosea faida zake zinarange 2000~ 6000 kutegemeana na size ya mtungi' hivyo ili kupata faida ya kutosha inahitaji mzunguko mkubwa na uwe na mitungi ya kila size ili usimkose mteja yeyote.
 
Ni biashara nzuri ila kama una mtaji mdogo na huna biashara nyingine sikushauri kuifanya!

Kwasababu' mzunguko wake ni kawaida sana, hata ukawa sehem ambayo ni hot sana huwezi kufanya maajabu ukamaintain kuuza wastani wa mitungi kumi kila siku!

Unavyoanza unatakiwa kununua mitungi tupu' hivyo unatakiwa utenge pesa mara mbili yaani ya mitungi na ya gasi. Na bei ya mitungi tupu inakaribiana na bei ya gesi kwa kiasi fulani.

Faida zake ni ndogo ukilinganisha na mtaji unaoweka katika kila mtungi' kama sijakosea faida zake zinarange 2000~ 6000 kutegemeana na size ya mtungi' hivyo ili kupata faida ya kutosha inahitaji mzunguko mkubwa na uwe na mitungi ya kila size ili usimkose mteja yeyote.
noted with thanks
 
Habari wadau!

Naomba kujua wenye uelewa kuhusu hii biashara.

Je Biashara hii inafanyikaje hasa upatikanaji wa hiyo mitungi, gesi ya kampuni gani ndo nzuri? ukubwa wa mitungi ambayo wateja wanapendelea zaidi, vibali vya kibiashara tofauti na leseni ya biashara, uwezekano wa faida nk.

 
Back
Top Bottom