Ukitaka kufungua ‘bakery’ ya mikate , fuata hatua hizi rahisi

Hata mimi nina family member anaimiliki hiyo bakery. Ameniambia inalipa kiasi chake. Bajeti anasema siyo chini ya milioni 30 na kuendelea kwa bakery yenye vifaa vya kisasa.
Kuna mdau mmoja ni member humu akifahamika kwa jina la Aljeciras amejinasibu kuuza vifaa vyote vya bakery. Namba yake ya simu aliweka hapa jukwaani 0713 66 26. 55. Anasema yupo Kariakoo. Mtafute, huenda akakupa na ushauri kabisa wa vifaa vilivyo bora. Kila la heri Sheikh wetu.
 
Nenda kwa Ontario akufundishe namna ya kupiga promo..kuna makosa mengi ya kiufundi umefanya...tayar watu wamejua hili ni tangazo la biashara...ila umeanza vizur..tangazo ungeweka mwishoni
 
flyer21-1024x727.jpg




Tanzania ya Viwanda kama anavyosema Rais Dk John Pombe Magufuli, inawezekana na hata wewe unaweza kumiliki kiwanda kwa kuanza na mtaji mdogo kabisa! Hebu tuzungumzie hatua unazopaswa kuzifuata unapotaka kufungua biashara ya kuoka mikate (bakery).



Habari njema ni kwamba unapofikiria kuanzia biashara hii, tambua kwamba kampuni ya uuzaji wa vifaa mbalimbali vya mahotelini, majumbani na viwanda vidogo ya Uni Industries, itakuwa nawe bega kwa bega kukurahisishia upatikanaji wa vifaa vyote vinavyotakiwa katika biashara ya bakery.



“Vifaa vya muhimu vinavyotakiwa kuwa navyo, kwanza unatakiwa kuwa na jiko la kuokea mikate (oven), prover kwa ajili ya kuumulia unga wa ngano, mixer ya kuchanganyia mahitaji yote ya mkate, slicer kwa ajili ya kukatia mkate kupata, meza pamoja na mikebe ya kuhifadhia mikate kwenye oven.



“Hapa Uni Industries, tunavyo vifaa vyote hivi, na tunaweza kuwahudumia kuanzia wajasiriamali wadogo mpaka wale wakubwa kabisa. Kwa mfano, kwenye majiko ya kuokea mikate, kuna hili jiko linaitwa Rottery Oven, yapo ya single deck kwa ajili ya wajasiriamali wadogo, lakini kuna double deck na triple deck kulingana na mahitaji ya mteja,” alisema Roscoe Bremer, Meneja wa Kanda wa Uni Industries na kuongeza:



“Majiko haya yanatumia zaidi diesel kuliko umeme, umeme unahitajika kidogo tu wakati wa kuwasha, na kama unavyojua umeme ni ghali kuliko mafuta, kwa hiyo mtu akinunua majiko haya, atakuwa na uhakika wa kupata faida kubwa kwa sababu jiko halitumii umeme mwingi.



Rotary-Oven.jpg




“Pia bidhaa zetu zote zinatengenezwa kwa ubora wa kimataifa, tunavyo vifaa kutoka kwa washirika wetu, MacAdams, IPSO, Fooderv Solutions na kadhalika, yanayosifika kwa kutengeneza bidhaa zenye ubora wa hali ya juu duniani kote.



“Maduka ya Uni Industries pia yamesambaa kuanzia hapa jijini Dar es Salaam, Zanzibar, Kenya, Uganda na Rwanda na hii ni uthibitisho mwingine kwamba ubora wetu ni wa kimataifa.



“Mbali na vifaa vinavyotakiwa ukitaka kuanzisha biashara ya kuoka mikate, pia tunavyo vifaa vingi kwa ajili ya mahitaji kuanzia ya jikoni, mahotelini, supermarket na mashine za kufulia, majiko ya kupikia keki, kukata mbogamboga na matunda, kutengenezea juisi na kadhalika. Bidhaa zetu zina kiwango cha kimataifa na mteja anaponunua, anakuwa na uhakika wa fedha zake kwa kipindi kirefu.



“Lakini pia tunavyo vifaa vingine kama majokofu ya kisasa ya ukubwa tofautitofauti, vifaa vya kusambazia vyakula kwenye sherehe na shughuli mbalimbali (catering services), mashine za kufulia, vifaa vya supermarket kama ‘shelves’ za kisasa, samani za ndani na vingine vingi.”



Kwa mahitaji ya vifaa vingine vingi vya kisasa, tembelea maduka ya Uni Industries yaliyopo Staywell Complex, plot 1720, Haile Sellasie Road, mkabala na Marrybrown, Namanga jijini Dar es Salaam na Forodhani, Zanzibar.



Pia unaweza kuwasiliana nao kwa simu namba 0681 111 999 au 0766 075 031 au kwa barua pepe adil@uni-tanzania.com. Pia unaweza kutembea website yao kwa kubofya www.uni-eastafrica.com. Wahi sasa ili uwe miongoni mwa watu wanaokwenda na wakati kwa kumiliki vifaa vya kisasa vyenye teknolojia ya hali ya juu.
kwa faida ya wote iyo oven ni kiasi gani mkuu
 
Samahani wadau naomba kuuliza mwenye ujuzi na bakery nahitaji nifungue lakini sifahamu chochote pa kuanzia,ila eneo ninalo la kwangu.
 
Back
Top Bottom