Unafikiri Nasisi Tunawaza Kwani? Akileta Tozo Nasisi Tunapandisha BeiHuu uzi mwigulu nchemba anawaangalia ngoja aje na makadirio ya kodi
Wazo zuri mkuu kam vp unda alaf tuma link broMimi Nipo Kwenye Hii Biashara For Years.....Nilikua Nawaza Tunaweza Unda Group La WhatsApp Kwaajili YaKuepeana Updates Pamoja Na Changamoto Za Hapa Na Pale
Natamani unitajie hizo projector model/brand zake.Projector ina resolution za namna mbili, native resolution na ile resolution ya kuproject.
Kama umewahi kwenda ukumbi wa cinema ule ni mfano wa projector nzuri, quality yake ni kubwa sana mpaka unasahau wazo la kua ile ni projector.
Wewe unaona mbaya hizo projector sababu native resolution ni ndogo nyingi ni 240p mpaka 480p, ila ukipata projector yenye native resolution ya Hd ama Full HD Quality inakuwa kubwa sana.
SEma na bei pia inakuwa ndefu 1m+
Zipo nyingi sana mkuu tunaongelea maelfu toka kina Ben Q, Anker, Sony, LG, Samsung, Epson, Optoma, Acer etc.Natamani unitajie hizo projector model/brand zake.
Mkuu upo mkoa gani na mie nataka anzisha hii....mtaji kiasi gani unahitajika?Mimi Nipo Kwenye Hii Biashara For Years.....Nilikua Nawaza Tunaweza Unda Group La WhatsApp Kwaajili YaKuepeana Updates Pamoja Na Changamoto Za Hapa Na Pale
Inadumu kwa mda ganiKwanini ulipie pesa nyingi kwaajili ya kuangalia ligi pendwa duniani?
Misimu ya ligi za soka ndio inaendelea
Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1 pamoja na mashindano makubwa duniani kama UEFA, FA, Capital One, International Champion,Super Cup na Olympic
Pia utaweza kuangalia mashindano mengine ya tennis, golf, mbio za magari, ngumi nk
Huhitaji kulipia kwa mwezi hata thumuni ya pesa yako, gharama itahitajika mwanzoni tu kwaajili ya vifaa na ufundi
Mahitaji;
-Dish kubwa (ft 6 au ft 8)
-Satellite receiver(yenye mfumo wa pv)
-C band LNB
-LNB cable(wire)
-Diseqc switch
Vifaa hivi vyote vinapatikana kwangu pamoja na ufundi
Pia utapata channel zinaonyesha movies,series, mieleka, wanyama, utafiti na sayansi
Mfumo huu una stability 90% reliability 90%, usihofu kukatiwa matangazo au utapeli
Mawasiliano(Call or text/whatsapp)
-0686811173
-0764453848
Iyo android tv box n sh ngap na 4g router sh ngapKwa nini hamtumii ANDROID TV BOX? kupitia Android TV Box utapata Mobdro. Ndani ya Mobdro mechi karibu zote zinapatikana.Internet yako tu ya 4G itahusika. Nunua Android TV Box, nunua 4G router. Kazi imeisha
Kuongea ni rahisi lakini kimbembe ni pale network inapozingua alafu ushakusanya pesa ya wadau. Ni dhahiri utakuwa umepoteza wateja.Iyo android tv box n sh ngap na 4g router sh ngap
Hizo projector ni low quality, jaribu za Epson zenye kwanzia lumens 3800 utaenjoy sana.Mi natatizwa sana na kuangalia mpira kupitia projector, nyingi resolution yake inakua sio nzury, picha inakua blur , vipi kuna faida gani ya kutumia projector badala ya tv inch 55?
Unapatikana wap mkuuPicha hizi hapa bei ni 400,000/-View attachment 2460149View attachment 2460150
Sent using Jamii Forums mobile app