Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Ingekua mahindi ningeungana naww kijijini kwetu mahindi bei rahisi sana !! Ila n njombe sasa njombe had dar mtaji itaishia kwenye nauli but sjajua wanaonunuaga wanapelekaga dar au WAP?
mkuu mahindi huko ni bei gani mimi nipo mafinga nafanya biashara ya mahindi
 
Ingekua mahindi ningeungana naww kijijini kwetu mahindi bei rahisi sana !! Ila n njombe sasa njombe had dar mtaji itaishia kwenye nauli but sjajua wanaonunuaga wanapelekaga dar au WAP?
kama inawezekana nicheki mkuu 0719114466
 
mkuu usiwe mwoga kwe biashara na ujue ukitaka kufanikiwa kwe biashara lazima uwe risk taker otherwise huwezi fanya kitu kwa kuwa mwoga mm nimetoka chuo mwezi wa saba mkuu na ninafanya biashara ya mazao ingawa mm natafuta mahindi vijijini then nayaleta mjini nayakoboa na kusaga then nayafunga kwe viroba vya kg 25 naviuzwa kwa bei ya jumla then narudi zang vijijini kutafuta mahindi mengine just try mkuu ajira za makufuri mguu ndani mguu nje

wish u all the best
 
Kuanzisha biashara yeyote ina changamoto zake mpaka uweze kusimama vizuri. Na wakati unaendelea kufanya biashara ujue kwamba uko darasani ni kujifunza kila siku uwapo kazini kwa vitendo. Hivyo basi unapokuwa na mtaji lets say 1m na unalenga kununua mazao kwanza angali mali utakayoleta wateja wake wapo ? na mzigo utakaoleta mzunguko wenyewe uko je. Je kuna wengine wanaoleta mzigo kama huo ili kuingia kwenye ushindani,,na je ubora wa mzigo wako uko kiushindani zaidi na je wateja wako wako vipi yaani ni wa mkopo au cash. Utakapofanya utafiti huo nenda chukua mzigo jitahidi kupata mzigo safi ili uweze kuvuta wateja kwa haraka na unaweze punguza bei kidogo kama haitakuathiri. Ni mengi ya kuelimisha kwa leo naomba kuwasilisha.
 
Habarini wakuu, naombeni msaada kwa mwenye uzoefu, nataka nianze hii biashara ila sina baadhi ya taarifa hope wapo wenye uzoefu watanijuza, kama mlivoelezea juu hapo kuwa miezi ya mwanzo wa mwaka bei ya mahindi huwa inapanda kidogo, Taarifa kubwa ninayotaka kujua ni muda wa mavuno sababu mara nyingi bei ndio huwa inashuka, Naombeni mnijuze misimu ya mavuno au upatikanaji wa mahindi kulingana na mikoa kwa mfano kama sasa nikitaka mahindi nikachukue mkoa gani? maana nimejaribu kufuatilia bei wilaya kama ya sumbawanga naona wao mahindi yapo juu kidogo nadhani waliwahi kuvuna, nisaidieni kwenye hili jamani wenye uzoefu kwenye biashara hii. Yani kwa kifupi nataka nijue kwa kuanzia kama sahivi mkoa gani mahindi yanapatikana kwa wingi na mnijuze kila mkoa na miezi yake ya mavuno. Nitashukuru nikipata majibu ya hayo maswali yangu kwa haraka.

Natanguliza shukrani, Ahsanteni.

Wadau hili lipoje ebu mtujuze me mwenyewe hii biashara naipenda sana ila sijajua pa kuanzia anaejua atumwagie maujuzi hapa au kama kuna thread imewahi ongelea hii biashara tuwekeeni link hapa. "Kizuri kula na mwenzio"
 
Kuanzisha biashara yeyote ina changamoto zake mpaka uweze kusimama vizuri. Na wakati unaendelea kufanya biashara ujue kwamba uko darasani ni kujifunza kila siku uwapo kazini kwa vitendo. Hivyo basi unapokuwa na mtaji lets say 1m na unalenga kununua mazao kwanza angali mali utakayoleta wateja wake wapo ? na mzigo utakaoleta mzunguko wenyewe uko je. Je kuna wengine wanaoleta mzigo kama huo ili kuingia kwenye ushindani,,na je ubora wa mzigo wako uko kiushindani zaidi na je wateja wako wako vipi yaani ni wa mkopo au cash. Utakapofanya utafiti huo nenda chukua mzigo jitahidi kupata mzigo safi ili uweze kuvuta wateja kwa haraka na unaweze punguza bei kidogo kama haitakuathiri. Ni mengi ya kuelimisha kwa leo naomba kuwasilisha.
Kweli mkuu, shukrani.
 
mkuu usiwe mwoga kwe biashara na ujue ukitaka kufanikiwa kwe biashara lazima uwe risk taker otherwise huwezi fanya kitu kwa kuwa mwoga mm nimetoka chuo mwezi wa saba mkuu na ninafanya biashara ya mazao ingawa mm natafuta mahindi vijijini then nayaleta mjini nayakoboa na kusaga then nayafunga kwe viroba vya kg 25 naviuzwa kwa bei ya jumla then narudi zang vijijini kutafuta mahindi mengine just try mkuu ajira za makufuri mguu ndani mguu nje

wish u all the best
Congratulations mkuu, umenipa motivation.
 
Mkuu ni vyema kweli kujifunza hata mimi hapa najifunza kutoka kwa walionitangulia na kunishawishi niingie huku kwa kweli kuna watu wako juu kiasi kwamba wao mchele wao ni wa kimataifa simu wanazopokea ili wapeleke mzigo ni kutoka Rwanda, Kenya na wanapeleka kweli ila nasi ndo tunawapatia mzigo na tunapata faida ya kutosha.

Kizuri zaidi ni kupiga zote mchele mpunga vyote nunua kama una nafasi na una sehem nzur ya kuhifadhi kwani kuna wakati mpunga unakuwa chini sana kati ya 35 000/- na 55,000/- tu katika mikoa ya Katavi na shinyanga respectively lakini baada ya muda fulani unauza kwa 85000/- hadi 100,000/ - na ukikoboa inakuw zaidi ya hapo.

Hapa mwenzako ni kuzunguka tu mikoani kama mtalii wa ndani ila watu wanakusanya punga na hata shambani naingia.
Hakuna kitu kitamu kama hii game mkuu vigari vya M20 kwako itkuwa kawaida tu hadi natamani serikali iache amsha amsha inayofanya kwa vijana kuhimiza wajiajiri-waachwe waendelee kusubiri ajira za kuagizwa maana wao waziona hizi kazi ni kizamani. Kusema kweli namuona mbunge mmoja yuko kwenye kilimo na anapiga gunia 5, 000/- na anapeleka sijui nje na ana trecta zake kwa kweli hata wananchi wakimpiga chini ubunge hana njaa kabisa.
Mkuuu umeniconvise sanaaa....mtaji unaweza kuanza na bei gan
 
Kipi bora,kununua mchele ama mpunga?sababu utajuaje mpunga unaonunua utatoa mchele mzuri unaotaka kwa ajili ya biashara..kipi bora kwa ajilimya biashara mpunga au mchele?
Kununua mchele ni nia bora zaidi, na hasa kama huna utaalamu wa kukagua mpunga.
 
Habari njema hizi.
Mimi nina gunia 200 za mpunga huko Tabora (Ndala, Wilaya ya Igunga).
Nauza gunia 165 kwa 10,000,000 cash.
 
Ingekua mahindi ningeungana naww kijijini kwetu mahindi bei rahisi sana !! Ila n njombe sasa njombe had dar mtaji itaishia kwenye nauli but sjajua wanaonunuaga wanapelekaga dar au WAP?
Muheshi miwa njombe sehemu gan mm pia nko njombe na Nina taka kuanza biashara ya mahindi kwa hyo niombee ufafanuz wako kidogo
 
MM niko njombe sasa niombe ushaur kwa wananjombe wenzangu kuhusu biashara ya mahindi kutoa vijijini na kuleta mjini njombe na mikoa mingine jiran na njombe na Nina mtaji million 1. 5 vp naweza kufanisha biashara hii na kutoka kimaisha??
 
Back
Top Bottom