nyigo Jn.
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 269
- 94
mkuu mahindi huko ni bei gani mimi nipo mafinga nafanya biashara ya mahindiIngekua mahindi ningeungana naww kijijini kwetu mahindi bei rahisi sana !! Ila n njombe sasa njombe had dar mtaji itaishia kwenye nauli but sjajua wanaonunuaga wanapelekaga dar au WAP?