Biashara ya kuni/mkaa kurudi kwa nguvu: Gesi imepanda maradufu ndani ya wiki moja!

Saaaaaaaaaaaaafi saaaaaaaaaaaaaaaaaana huo mwanzo na baaaado Tutashika adabu! Si tunajifanya...Tunaipenda sana ARI ZAIDI<NGUVU ZAIDI,NA KASI ZAIDI....Ndo hiyo sasa. Si tuliitaka wenyewe......jamani au nasingizia ??????????? Slaa akaonekana mwenda wazimu?!!! Na kuna wengine wakisoma hii thread yangu wataniona kama na mimi ni mwenda wazimu..!!!!!!!!!!!!! yaani kunawatu wanafikiri Watanganyika tumeumbwa tupate shida...na yakuwa maisha yetu hakuna anaye weza kuyabadilisha labda MUNGU!!!!!!!!!!!!!!!!!..Ngoja MAISHA YATUKONG"OLI tushike adabu kwanza ndo tutajifunza 2015!!!......Chama Chetu cha KUpindua Daima ...ndio kimetufikisha hapa..!!!!!!!!!! BIG UP SANA Mzee wa kaya kaza buti ili watanzania wafumbuke vichwa!!! Wanyonye kabisa wabakie mbavu tu....
SI wanapenda Maisha duni au sio?
Si wanafaagilia chama chako au sio?
Si walisema hakuna chama kingine ila chama chetu au sio?
Si walikuwa wanaselebuka pamoja na wewe au sio?
Si wengine walisema wewe mteule wa Mungu au sio?
Si wengine Walikesha kwenye jua ili wakuone mkombozi au sio?
Waminye baba waminye ili wakufahamu vizuri au sio?
Wakamue baba wakamue ili vichwa vyao vifumbuke au sio?
Si ulisema hutaki kura zao lakini wakakupa au sio?
HIYO NDIO DAWA YAO SASA. KAZA BUTI KAKA KAZA KABISA

hii nimeipenda,japo inanuhuzunisha!
 
Back
Top Bottom