Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

Biashara nzur.sana hyo mkuu..na muda mzur wa kununua mahindi ni kuanzia mwez wa 5mpaka wa 7..hiki nikipind cha wakulima weng wanavuna shamban na bei inakua cheap kidogo kwa mbeya lakn sijuh mikoa mingine..japo kuwa inaonekana kwa huu utawala wa baba ***** anataka kuweka usawa kwa mkulima siyo kama utawala uliopita, mkulima alikua ananyonywa sana..point yangu ni kwamba kipind hiki cha mavuno mahind yapo juu sana. Kilo 1 sh 450...wakat huko nyuma kipind cha mavuno kama hiki kilo 1 inakuaga sh 150
Kuna njaa kali sana miaka hii miwili ndo maana.
 
Wakati tunasubiri wataalamu wa hiyo kada, mimi ningependa nikupongeze kwa hiyo hatua uliyofikia. HONGERA SANA.

Katika biashara chache ambazo ni very promosing for the future mart demands ni 'food processing'. There's hopes in this enterprise.

Kuna makala flani nilisoma, huko Mwanza kuna kampuni flani ya kupack na kusambaza unga, ilianza na capital ya almost 1.5M lkn ndani ya miaka mi5 ilikua na turnover ya around 8 bn. Nahisi hiyo kampuni ilikua 1st runner ktk shindano la best mid-sized companies in Tz 2014.
Cha msingi ujue demand ya wateja wako, ujue jinsi gani utaweza kupata resouces za kurun biashara yako non-stop, biashara yako ijitangaze, produce more than the needs of your consumers ili uwe aggresive kupanua biashara yako zaidi na zaidi.

Just a few....
Safi sana, ushauri murua kabisaaaaa.
 
Sasa hivi biashara hii siyo kama zamani.Sasa hivi watu wamegeukia dona baada ya kupata elimu kuwa sembe haina faida mwilini na hivyo haifai kwa afya ya binadamu.
Hahahaha, unaishi wapi wewe?
 
Nikweli kwenye Kilimo kuna fulsa nyingi lkn Kwenye kilimo km huna mtaji nikujilisha Upepo juzi nilikuwa 88 Moro,na Dodoma,Nilikuta waTHAILAND wanawataka wakulima watakaoweza kulima Mahindi yale zamani yaliitwa YANGA kwaajili yakutengenezea Chakula cha mifugo...wanasema wanamahitaji makubwa ya hiyo kitu lkn km uko peke yako angalau uanzie Eka 30 vinginevyo muwe km kikundi so unaweza kuona Bila mtaji ni Shidaaaaa.
Mkuu naona huu uzi wa kitambo lkn jee hao wathailand vipi wapo this year ili tuangalie tunapataje hyo chance?
 
Na kwa yeyote atakayehitaji nembo au 'label' kwa ajili ya bidhaa zake za Unga tafadhali wasiliana nami.

Pia utapata offer ya bure ya:
1. Proforma Invoice Template
2. Tax Invoice Template
3. Delivery note template
4. Headed Paper Template
5. Biz Card Template
6. Payment Receipt Template

Aidha ili kujiridhisha juu ya uwezo wangu tafadhali tembelea:

Blog: http://logorid dims.blogspot.com

My Facebook page:https.facebook.com/mylogoriddim

Karibuni sana tuyajenge.
Hebu fafanua hizo issue hapo zinaumuhimu gani ili tuangalie tunakutafutaje chief.
 
Wadau. Nimeisha anza mchakato wa hiyo kitu kwa maana ya jengo ambayo mi nimeiita phase one sasa ndo najipanga kuezeka.

Phase two ni kununua machines ambazo ni full set kusaga na kukoboa pamoja na mizani mikubwa na midogo na packaging materials bila kusahau mahindi ambayo mdo mtaji.

Phase three ni kuanza kazi.

Naomba muongozo au ushauri kwa ambaye either anafanya au anauzoefu na hii biashara japo kwa reaserch ndogo niliyofanya inalipa na nimeamua kuanza at a medium level scale walau nipate market share kias fulan lakin naona changamoto ni nyingi mf kupata mahindi fake, unga au mahindi kuharibika ama kuoza, n.k nk.

Hizo picha ndo mjengo wa kiwanda na bahati nzuri nina eneo kubwa hapa kwangu so nimeona bora nijenge hapa kupunguza gharama na iwe rahisi kusimamia.

Ntashukuru kwa ushauri.
View attachment 174571
View attachment 174572
View attachment 174573
Nikipata fursa nitakupa ushauri zaidi ila kwa sasa naomba nijue site yako iko wapi na unalenga watea gani.Kama upo mini tafakari kwa kina kama una strategy ya kushindana na Bakhresa na Nyati pamoja na Azania ambao ni wafanya biashara wakubwa.
 
Safi sana Lutifya.

Hawa wanapatikana wapi mi niko temeke? Na je nikinunua lazima niwapelekee au watakuja kiwandani? Na je hii biashara inanilazima kusajiri TFDA na TBS?
Si lazima,maana naona pale TANDALE wanapaki tu kwa majina yao basi.
Aunt yangu nae anafanya hii biashara nae huwa anapaki tu wala hakuna ishu za tbs na TFDA labda zije awamu hii ya LISSU
 
okey i got u,so ur a logo rid dim?
Hapana,ila kuna kazi huwa nafanya natumia hivyo vitu kama proforma, receipt, delivery notice.
Mfano mteja anapotaka mlinganisho wa bei wa muuzaji A na B atahitaji proforma, kama muuzaji au mtoa huduma hana na bei yake reasonable itakuaje?

Na sio lazima awe LOGORIDDIM, waweza kusaka mwenyewe mtu mwingine akuandalie ni muhim kuwa navyo.
 
Wadau bado naendelea na hii project yangu na niliona nikamilishe jengo kwanza, ndo hilo liko ukingoni na baadhi ya mashine tayari ila bado kuzifunga tu
Factory 1.jpg
Factory 2.jpg
Factory 3.jpg
Factory 4.jpg
Factory 5.jpg
Factory 5.jpg
Factory 6.jpg
Factory 6.jpg
Factory 7.jpg
Factory 8.jpg
Milling Machine 1 set.jpg
Milling Machine 2.jpg
Milling Machine 3.jpg
 
Watakuwa si wanaenda kula? Haya mahindi ndo yenye virutubisho vingi sana kuliko haya meupe na ukiweza kuwa na unga wake wa Dona ukawa unatumia inakuwa vizuri sana. Hata kwenye kutengeneza unga wa uji inashauliwa kutumia haya mahindi.
Yaah, ni kweli Mkuu haya Mahindi yana virutubisho sana..Wenyewe wanasema wananunua kwa wakulima wanapeleka kwao. Mwaka wa jana walinunua kwa 1kg 550 Bei zao wananunua kwa Kilo sio kwa Gunia.
 
Back
Top Bottom