Biashara ya kujiuza mwili yapewa nafasi kubwa Tanzania

duh safi sana wacha na serikali ipate hela maana hawa wadada make alot of money balaa. plus hamna jipya hapo maana kama watu kukosa maadili tayari imeshaenea.
 
Kwa wahafidhina lazima msimame na kucha kupinga tulizeni mpira haya ndiyo manufaa ya biashara hii
1.Kipato kwa mhusika hujipatia kipato cha kumwezesha kumudu maisha na chanzo kwa mapato ya serikali kwa kodi itakayokusanywa USA inaongoza kwa kukusanya kodi kupitia biashara hii
2.Husaidia sana watu walioko bussy kutokana na majukumu yao kuwanyima muda wa kutafuta wapenzi kutokana na mlolongo wa vijimambo katika kumfuatilia mara maua meetings zaidi ya mia na mapozi juu hadi afanikiwe kwa biashara hii inaondoa usumbufu wote ni cash yake tuu
3.Inasaidia wanaume madomo zege wale ambao hawajiamini hawawezi kutongoza midomo imekula zege hawa wanakuwa wepesi kupitia biashara hii
4. Husaidia kupambana na umasikini
5.Husaidia mauzo ya condoms,nyumba za wageni,baa(eg.kona,maeda,night clubs zote) kuongeza kipato kupitia mauzo katika biashara hii.
6.Husaidia kuondokana na tatizo la wanaume kujichua kwakuwa huduma itapatikana kirahisi bila vikwazo. Ni wakati sasa wa kuachana na tamaduni za kale za mwaka 40 kuona hii kitu mbaya



:boxing: :boxing:
 
Kwa wahafidhina lazima msimame na kucha kupinga tulizeni mpira haya ndiyo manufaa ya biashara hii
1.Kipato kwa mhusika hujipatia kipato cha kumwezesha kumudu maisha na chanzo kwa mapato ya serikali kwa kodi itakayokusanywa USA inaongoza kwa kukusanya kodi kupitia biashara hii
2.Husaidia sana watu walioko bussy kutokana na majukumu yao kuwanyima muda wa kutafuta wapenzi kutokana na mlolongo wa vijimambo katika kumfuatilia mara maua meetings zaidi ya mia na mapozi juu hadi afanikiwe kwa biashara hii inaondoa usumbufu wote ni cash yake tuu
3.Inasaidia wanaume madomo zege wale ambao hawajiamini hawawezi kutongoza midomo imekula zege hawa wanakuwa wepesi kupitia biashara hii
4. Husaidia kupambana na umasikini
5.Husaidia mauzo ya condoms,nyumba za wageni,baa(eg.kona,maeda,night clubs zote) kuongeza kipato kupitia mauzo katika biashara hii.
6.Husaidia kuondokana na tatizo la wanaume kujichua kwakuwa huduma itapatikana kirahisi bila vikwazo. Ni wakati sasa wa kuachana na tamaduni za kale za mwaka 40 kuona hii kitu mbaya
Natumaini utakuwa wa kwanza kuonyesha mfano kwa kuwashauri dada zako wajiunge na biashara hii!! Au siyo!!!!!
 
inatungwa sheria ya kulinda haki zao mmezidi kudhulumu sana kwa kupenda kitonga
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom