K tea shop
Member
- Feb 19, 2012
- 60
- 41
Nina order kupeleka Zambia.
Tani elf 10 na itaendelea kukua kardri muda unavyozidi kwenda
Mazungumzo yanelekea Ukingoni sasa je ni yema kuagiza toka Dubai, Pakistan, India, au Kununua tanzania kisha kuwapelekea?
Tatizo la Tanzania naamini importers nao watakuwa wameongeza cha juu cha kwao
Tatizo lingine la TZ ni kama nitanunua toka kwenye viwanda vyetu hapa itakuwa ni tatizo kwa sababu naamini itakuwa ghali kuliko kuagiza toka nje
Ushauri wenu please
Tani elf 10 na itaendelea kukua kardri muda unavyozidi kwenda
Mazungumzo yanelekea Ukingoni sasa je ni yema kuagiza toka Dubai, Pakistan, India, au Kununua tanzania kisha kuwapelekea?
Tatizo la Tanzania naamini importers nao watakuwa wameongeza cha juu cha kwao
Tatizo lingine la TZ ni kama nitanunua toka kwenye viwanda vyetu hapa itakuwa ni tatizo kwa sababu naamini itakuwa ghali kuliko kuagiza toka nje
Ushauri wenu please