Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,309
Ngoja nitafute wadau wa hii tasnia ,alafu nitawatafuta ,nataka kuingia katika hii productionNdugu ni mashine za hapa hapa angalia na mota inayowekwa mkuu
kuipata complete unit 2.4m Kusaga na 2.5m kukoboa vyote vimekamilika ni kuchangamka kweli mkuu?
Bila hivyo unatengenezewa kitu kibovu hata mwaka hakifikishi unatafuta mafundi PATA HIZI MASHINE HADI WATOTO WAZIKUTE
Sent using Jamii Forums mobile app