NG'ADA
Senior Member
- Sep 2, 2011
- 152
- 15
ni kwamba maisha yamekua busy saaana, watu wanashindwa kunawa nyumbani...ni kwamba uchafu wa cku hizi ni mgumu sana hauwezi kuondoka kwa njia ya kunawa kawaida home!!?cjui!!!
...lakini hilo dogo...njia ya kusafisha hizo nyayo na kucha ndo balaaa!!!kwanza ni mkaka anaefanya hiyo kazi...na sharti dada aweke miguu juu ya mapaja ya msafishaji(MKAKA)...
ile miguu inakaa karibu kabisa na nyeti...duh!!mtego wa kwanza...
kama kavaa sket ndef shariti aipandishe juu kidogo ila asuguliwe fresh....mtego wa pili
kule kusuguliwa ni sawa na kutekenywa, ambako husisimua mwili, haswa kama ni jinsia tofauti...mtego wa tatu...
niseme yote, najua mna yenu pia...
...lakini hilo dogo...njia ya kusafisha hizo nyayo na kucha ndo balaaa!!!kwanza ni mkaka anaefanya hiyo kazi...na sharti dada aweke miguu juu ya mapaja ya msafishaji(MKAKA)...
ile miguu inakaa karibu kabisa na nyeti...duh!!mtego wa kwanza...
kama kavaa sket ndef shariti aipandishe juu kidogo ila asuguliwe fresh....mtego wa pili
kule kusuguliwa ni sawa na kutekenywa, ambako husisimua mwili, haswa kama ni jinsia tofauti...mtego wa tatu...
niseme yote, najua mna yenu pia...