C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
WAKUU HABARI ZENU NAPENDA KUJA NA IDEA YA BIASHARA YA INTERNET PROVIDING SERVICE KWA NCHI ZA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA....
HII NI IDEA AMBAYO NINA iDEVELOPE NOW BAADA YA KUONA KUWA INTERNET BUSINESS BADO INASUA SUA NATAKA KUJA NA KU STICK KATIKA IDEA WHICH WILL It provides fourth generation or 4G wireless broadband internet Targeting yetu ni nchi 16 za Kusini mwa jangwa la sahara na Tanzania ikiwa kama HQ yetu mpango wa kampuni ni kuwa private kwa 10 years ya operation then itakwenda na kuwa public...
tutatumia technolojia ya OFDM NA MIMO katika kuendesha biashara yetu hii.. nimeshafanya reseach kwa afrika na nimepata kuwa kuna market share ya kutosha katika ku dominate hii biashara ...
baada ya one and half year of operation kwa dar es salaam tutaanza kuwa multnational company kwa kuanza na south africa, kenya na kumaliza nchi zote 16 zilizoplaniwa kutoa huduma yetu tuna mpango mpaka kufikia 2024 tuwe na subscribers 20 millions kwa Afrika business plan imeshaandikwa tunachotaka ni kuanza process za kutafuta ANGELS INVESTORS then baada ya miaka 5 tutaanza kutafuta VENTURES INVESTORS
kama ujuavyo kila kitu kinahitaji ushauri na maoni nilikuwa ninaomba ushauri chochote kuhusu biashara hii na toa maoni yeyote kuhusu biashara hii na
NITAJITAHIDI KUKUJIBU....
TELL ME ANYTHING + CHALLENGE.....
HII NI IDEA AMBAYO NINA iDEVELOPE NOW BAADA YA KUONA KUWA INTERNET BUSINESS BADO INASUA SUA NATAKA KUJA NA KU STICK KATIKA IDEA WHICH WILL It provides fourth generation or 4G wireless broadband internet Targeting yetu ni nchi 16 za Kusini mwa jangwa la sahara na Tanzania ikiwa kama HQ yetu mpango wa kampuni ni kuwa private kwa 10 years ya operation then itakwenda na kuwa public...
tutatumia technolojia ya OFDM NA MIMO katika kuendesha biashara yetu hii.. nimeshafanya reseach kwa afrika na nimepata kuwa kuna market share ya kutosha katika ku dominate hii biashara ...
baada ya one and half year of operation kwa dar es salaam tutaanza kuwa multnational company kwa kuanza na south africa, kenya na kumaliza nchi zote 16 zilizoplaniwa kutoa huduma yetu tuna mpango mpaka kufikia 2024 tuwe na subscribers 20 millions kwa Afrika business plan imeshaandikwa tunachotaka ni kuanza process za kutafuta ANGELS INVESTORS then baada ya miaka 5 tutaanza kutafuta VENTURES INVESTORS
kama ujuavyo kila kitu kinahitaji ushauri na maoni nilikuwa ninaomba ushauri chochote kuhusu biashara hii na toa maoni yeyote kuhusu biashara hii na
NITAJITAHIDI KUKUJIBU....
TELL ME ANYTHING + CHALLENGE.....