Biashara ya hisa za kigeni imekuwa na ukakasi kwa Watanzania

The_vision

Member
Feb 9, 2022
13
63
Habari wanajamvi,

Ningependa leo niongelee kidogo kuhusu changamoto zinazotukabili watanzania kuwekeza katika hisa za nje ya nchi (foreign stocks) sijajua kama na mataifa sijajua kama na mataifa mengine ya kiafrika yanakutana na changamoto hizi katika kuwekeza kwenye masoko hayo

Changamoto zinazotukabili kwa hapa Tanzania kuwekeza DSE na kuamua kutafuta njia ya kuwekeza kwenye hisa za nje ya nchi ni mlolongo mrefu mpaka kuja kununua, brokers wa Tanzania wanachapa commissions kubwa ukilinganisha na wa mataifa ya nje pia ni ngumu kwa watu wa mikoani kuwekeza sehemu walipo mpaka kufika DSE na baadhi ya changamoto nyingine kwa wengine watataja tu

Changamoto zinazotukabili za nje ya nchi ni kua baadhi ya brokers wa nje hawaluhusu wa Tanzania kununua hisa za US na UK na mataifa ya ulaya hata kama una NIDA na Passpot baadhi ya brokers hao ni Fidelity, TD Ameritrade, Robinhood Etoro nk

Umuhimu wa hisa za nje ni kua makampuni ya nje mengi yanakua haraka kulinga na uchumi wa mataifa hayo kua mkubwa hivyo inapelekea kupata gawio nono na hisa kupanda thamani kwa haraka ukilinganisha na uchumi wa Tanzania

Hivyo basi kama kuna anahejua jinsi mbadala ya kununua hisa za nje ya nchi kama Tesla, apple, cocacola nk atueleze sababu hisa zina faida sana kwa ambao sisi vijana ambazo zitatusaidia kwenye maisha yetu ya mbeleni huko.
 
Habari wanajamvi,

Ningependa leo niongelee kidogo kuhusu changamoto zinazotukabili watanzania kuwekeza katika hisa za nje ya nchi (foreign stocks) sijajua kama na mataifa sijajua kama na mataifa mengine ya kiafrika yanakutana na changamoto hizi katika kuwekeza kwenye masoko hayo

Changamoto zinazotukabili kwa hapa Tanzania kuwekeza DSE na kuamua kutafuta njia ya kuwekeza kwenye hisa za nje ya nchi ni mlolongo mrefu mpaka kuja kununua, brokers wa Tanzania wanachapa commissions kubwa ukilinganisha na wa mataifa ya nje pia ni ngumu kwa watu wa mikoani kuwekeza sehemu walipo mpaka kufika DSE na baadhi ya changamoto nyingine kwa wengine watataja tu

Changamoto zinazotukabili za nje ya nchi ni kua baadhi ya brokers wa nje hawaluhusu wa Tanzania kununua hisa za US na UK na mataifa ya ulaya hata kama una NIDA na Passpot baadhi ya brokers hao ni Fidelity, TD Ameritrade, Robinhood Etoro nk

Umuhimu wa hisa za nje ni kua makampuni ya nje mengi yanakua haraka kulinga na uchumi wa mataifa hayo kua mkubwa hivyo inapelekea kupata gawio nono na hisa kupanda thamani kwa haraka ukilinganisha na uchumi wa Tanzania

Hivyo basi kama kuna anahejua jinsi mbadala ya kununua hisa za nje ya nchi kama Tesla,apple,cocacola nk atueleze sababu hisa zina faida sana kwa ambao sisi vijana ambazo zitatusaidia kwenye maisha yetu ya mbeleni huko.

Hata mimi nasubiria majibu juu ya hili

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Habari wanajamvi,

Ningependa leo niongelee kidogo kuhusu changamoto zinazotukabili watanzania kuwekeza katika hisa za nje ya nchi (foreign stocks) sijajua kama na mataifa sijajua kama na mataifa mengine ya kiafrika yanakutana na changamoto hizi katika kuwekeza kwenye masoko hayo

Changamoto zinazotukabili kwa hapa Tanzania kuwekeza DSE na kuamua kutafuta njia ya kuwekeza kwenye hisa za nje ya nchi ni mlolongo mrefu mpaka kuja kununua, brokers wa Tanzania wanachapa commissions kubwa ukilinganisha na wa mataifa ya nje pia ni ngumu kwa watu wa mikoani kuwekeza sehemu walipo mpaka kufika DSE na baadhi ya changamoto nyingine kwa wengine watataja tu

Changamoto zinazotukabili za nje ya nchi ni kua baadhi ya brokers wa nje hawaluhusu wa Tanzania kununua hisa za US na UK na mataifa ya ulaya hata kama una NIDA na Passpot baadhi ya brokers hao ni Fidelity, TD Ameritrade, Robinhood Etoro nk

Umuhimu wa hisa za nje ni kua makampuni ya nje mengi yanakua haraka kulinga na uchumi wa mataifa hayo kua mkubwa hivyo inapelekea kupata gawio nono na hisa kupanda thamani kwa haraka ukilinganisha na uchumi wa Tanzania

Hivyo basi kama kuna anahejua jinsi mbadala ya kununua hisa za nje ya nchi kama Tesla,apple,cocacola nk atueleze sababu hisa zina faida sana kwa ambao sisi vijana ambazo zitatusaidia kwenye maisha yetu ya mbeleni huko.

Wasubiri Bamboo app ya Nigeria, nadhani sasa wamefika Kenya, na next stop watakua hapa pia .. kupitia app yao unaweza kununua shares kwenye kampuni yoyote Ile ya US
 
Nlishaga MD kuhus stocks hajibu hata Leo twitter nmemuomba atuambie broker gan an a support Tanzania trader kununua stocks hajb
Yule huwa anakushirikisha kitu ambacho anataka KUKUPIGA.

Usitegemee kupata chochote Cha MANUFAA kutoka kwake.

Alikuwa mwanzoni anajifanya bingwa wa mashambani na kufuga Kuku, lakini hakuwahi kufundisha watu kutengeneza chakula Cha Kuku hata kupitia hizo seminar zake.
 
Mada nzurii kama hii wachangiaji wachache tena ila ingekuwa mapenzi sasa wachangiaje wangekuwa wengi hatari halafu bado vijana tunailamu serikali yani mtazidi kuburuzwa haswa
 
Nchi imejaa vijana wapenda ngono na ujinga..huoni insta walivyojazana.

#MaendeleoHayanaChama
Yani chifu nimejitaidi kusoma maoni ya watu nipate cha kujifunza ila cha ajabu wachangiaji ni wachache sana yani mpaka nimekataa tamaa na vijana wa sasa ambao kazi yao ni kuilamu serikali tuu
 
Habari wanajamvi,

Ningependa leo niongelee kidogo kuhusu changamoto zinazotukabili watanzania kuwekeza katika hisa za nje ya nchi (foreign stocks) sijajua kama na mataifa sijajua kama na mataifa mengine ya kiafrika yanakutana na changamoto hizi katika kuwekeza kwenye masoko hayo

Changamoto zinazotukabili kwa hapa Tanzania kuwekeza DSE na kuamua kutafuta njia ya kuwekeza kwenye hisa za nje ya nchi ni mlolongo mrefu mpaka kuja kununua, brokers wa Tanzania wanachapa commissions kubwa ukilinganisha na wa mataifa ya nje pia ni ngumu kwa watu wa mikoani kuwekeza sehemu walipo mpaka kufika DSE na baadhi ya changamoto nyingine kwa wengine watataja tu

Changamoto zinazotukabili za nje ya nchi ni kua baadhi ya brokers wa nje hawaluhusu wa Tanzania kununua hisa za US na UK na mataifa ya ulaya hata kama una NIDA na Passpot baadhi ya brokers hao ni Fidelity, TD Ameritrade, Robinhood Etoro nk

Umuhimu wa hisa za nje ni kua makampuni ya nje mengi yanakua haraka kulinga na uchumi wa mataifa hayo kua mkubwa hivyo inapelekea kupata gawio nono na hisa kupanda thamani kwa haraka ukilinganisha na uchumi wa Tanzania

Hivyo basi kama kuna anahejua jinsi mbadala ya kununua hisa za nje ya nchi kama Tesla,apple,cocacola nk atueleze sababu hisa zina faida sana kwa ambao sisi vijana ambazo zitatusaidia kwenye maisha yetu ya mbeleni huko.


Nisikie vizuri sana sasa hapa. cha kufanya ukane uraia wa Tanzania ukisha kaa miaka mitano nje ya nchi unaweza pewa uraia wa nchi nyingine yeyote unayoishi humo!! ukitaka kwa Mfano ni hapo Kenya wala usiende mbali!

Kuwa mkenya kabisaa na kadi ya nyayo beba!! ukisafiri weye ni mkenya, ukija Bongo weye ni mkenya!...bsi ukisha fanya hayo!! nunua hisa zinazo ruhusu wakenya kuzinunua kama Colgate pamolive!! Agip. British Petroleumnk!

ukija Bongo ni km mgeni mwekezaji kutoka Kenya, kwa kuwa mitaa yote unaijua hakuna wakukubabaisha sawa ndg! ila kwenu/kwako itakuwa Kenya! Brazil, australia huko wewe utapeta tu km Mkenya mbeba hisa!
 
Back
Top Bottom