Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Kweli..Ps hawajui kama kuna nchi inaitwa tz...watz weng wanafungua akaunt kwa kutumia nchi kama south afrika n.k ila kwa mie for the sake of having access to services ambazo ni exclusive to 18 countries...nimeopen akaunt ya psn ya marekan, uk na canada
Ninayo ps store ila nilifungua nikiwa nje ya TZ so sikujua kama kuna changamoto hiyo
 
Kwa mwanamke changamoto zipo nyingi...wateja wako wote wanaume...wote mashabiki wa mpira au games...inabidi uwe mpenzi wa mpira au games au vyote.. Unatakiwa ujue games wazipendazo na uziweke available, uwe na diploma ya babysitting maana vitoto kama vyote.. Ukiona mambo mengi weka kijana ingawa anaweza kukupiga panga..minimum mtaji itategemea..

Ps 4 ni laki 6 na nusu
Ps 3 ni laki 3 na 20
Padi og za ps 4 ni laki mpka 70(used)
Padi mchina za ps4 ni 70 mpka 50
Padi za ps3 ni 35k mpka 20k
Tv inch 32 ni laki 3 na nusu hadi laki 4 na nusu

Nimeanza na tv 2..padi 2 ps 4..padi 3 za ps 3..ps4 moja na ps3 moja..viti vinne na benchi moja..Mola akijali rizki na uhai ntaongeza tv ya inch 43 na ps 4 nyingine maana naona madogo washaanza kuambizana soon watajaa kipind cha likizo..nimefungua sehemu ambayo nko mwenyewe within maeneo ya jiran...

Naomba kuuliza kwa mnaofanya hii biashara, minimum mtaji ni kama sh ngap? Je kwa mwanamke anaweza kuifanya? Au inafaa kwa wanaume tu kwa kuwa wengi ni mashabiki wa mpira? Naomba msaadak
 
Kwa mwanamke changamoto zipo nyingi...wateja wako wote wanaume...wote mashabiki wa mpira au games...inabid uwe mpenz wa mpira au games au vyote..unatakiwa ujue games wazipendazo na uziweke available .uwe na diploma ya babysitting maana vitoto kama vyote..ukiona mambo meng weka kijana ingawa anaweza kukupiga panga..minimum mtaji itategemea..

Ps 4 ni laki 6 na nusu
Ps 3 ni laki 3 na 20
Padi og za ps 4 ni laki mpka 70(used)
Padi mchina za ps4 ni 70 mpka 50
Padi za ps3 ni 35k mpka 20k
Tv inch 32 ni laki 3 na nusu hadi laki 4 na nusu


Nimeanza na tv 2..padi 2 ps 4..padi 3 za ps 3..ps4 moja na ps3 moja..viti vinne na benchi moja..Mola akijali rizki na uhai ntaongeza tv ya inch 43 na ps 4 nyingine maana naona madogo washaanza kuambizana soon watajaa kipind cha likizo..nimefungua sehemu ambayo nko mwenyewe within maeneo ya jiran...
Frem unalipia tsh ngapi boss kwa mwezi?
 
Naomba kuuliza kwa mnaofanya hii biashara, minimum mtaji ni kama sh ngap? Je kwa mwanamke anaweza kuifanya? Au inafaa kwa wanaume tu kwa kuwa wengi ni mashabiki wa mpira? Naomba msaada
Kama we ni mwanmke wachezaj wengi wataleta makuzi sana kwako japo watakuja wengi maan wanaume wengi watataka kuja kwako.

Kuhusu mtaji inategemea na unataka uanze na ps gan 2,3,4au 5 MCHANGANUO wa gharama zake juu huko wameelezea
 
Kwa mwanamke changamoto zipo nyingi...wateja wako wote wanaume...wote mashabiki wa mpira au games...inabid uwe mpenz wa mpira au games au vyote..unatakiwa ujue games wazipendazo na uziweke available .uwe na diploma ya babysitting maana vitoto kama vyote..ukiona mambo meng weka kijana ingawa anaweza kukupiga panga..minimum mtaji itategemea..

Ps 4 ni laki 6 na nusu
Ps 3 ni laki 3 na 20
Padi og za ps 4 ni laki mpka 70(used)
Padi mchina za ps4 ni 70 mpka 50
Padi za ps3 ni 35k mpka 20k
Tv inch 32 ni laki 3 na nusu hadi laki 4 na nusu


Nimeanza na tv 2..padi 2 ps 4..padi 3 za ps 3..ps4 moja na ps3 moja..viti vinne na benchi moja..Mola akijali rizki na uhai ntaongeza tv ya inch 43 na ps 4 nyingine maana naona madogo washaanza kuambizana soon watajaa kipind cha likizo..nimefungua sehemu ambayo nko mwenyewe within maeneo ya jiran...
Shukran ndugu yangu, nitakutafuta unisaidie mawili matatu nikishafanikisha mtaji! Barikiwa
 
Naomba kuuliza kwa mnaofanya hii biashara, minimum mtaji ni kama sh ngap? Je kwa mwanamke anaweza kuifanya? Au inafaa kwa wanaume tu kwa kuwa wengi ni mashabiki wa mpira? Naomba msaada
Anza na million 4 au 5
 
Mkuu umeanza na Ps 3 ngapi ? Na je una ps 2?

Unaweza kunitajia capital uliyo anza nayo?
Yeah..nimeanza na wateja watano siku ya kwanza...just imagine..halafu ni uswaz vitoto kama vyote...nataka ikikaribia likizo niwaongezee ps 4 na tv kubwa ya inch 43 maana najua watajaa balaa
 
Okay
Kwa mwanamke changamoto zipo nyingi...wateja wako wote wanaume...wote mashabiki wa mpira au games...inabid uwe mpenz wa mpira au games au vyote..unatakiwa ujue games wazipendazo na uziweke available .uwe na diploma ya babysitting maana vitoto kama vyote..ukiona mambo meng weka kijana ingawa anaweza kukupiga panga..minimum mtaji itategemea..

Ps 4 ni laki 6 na nusu
Ps 3 ni laki 3 na 20
Padi og za ps 4 ni laki mpka 70(used)
Padi mchina za ps4 ni 70 mpka 50
Padi za ps3 ni 35k mpka 20k
Tv inch 32 ni laki 3 na nusu hadi laki 4 na nusu


Nimeanza na tv 2..padi 2 ps 4..padi 3 za ps 3..ps4 moja na ps3 moja..viti vinne na benchi moja..Mola akijali rizki na uhai ntaongeza tv ya inch 43 na ps 4 nyingine maana naona madogo washaanza kuambizana soon watajaa kipind cha likizo..nimefungua sehemu ambayo nko mwenyewe within maeneo ya jiran...
 
Mdogo wangu anafanya hii biashara Ana TV mbili na PS 4 mbili kwakweli anapiga hela sana siku akiingiza hela mdogo Hadi analalamika ni 15,000/=.ameanza mwaka Jana November kuna kipindi alienda shule akaweka mtu na alikuwa anatumiwa hela zake vizuri tu.Dogo ni mcheza Mpira pia na anajua kucheza hizo PS haikua ngumu kwake kupata wateja maana marafiki zake na team mates ndo walianza kumsupport.
Pia fremu ipo barabarani na inaonekana sana mtu akipita hata kwenye daladala anapaona na anaweza kufika kirahisi.
Haruhusiwi kufungua asubuhi kwa ajili ya wanafunzi huwa anafungua kuanzia saa Saba mchana Hadi saa tano usiku,wikiendi anafungua kuanzia asubuhi.
Alifuata kibali Cha kuchezesha game kwa mwenyekiti wa mtaa akapata so hasumbuliwi sana.
Biashara inaenda vizuri anataka kuongeza screen na PS nyingine moja aweke na vinywaji na bites anawauzia wanaokuja kucheza Ni biashara nzuri sana kwake kwasababu anaipenda na anajua so hakosi hela ya vocha na vitu vingine.
Biashara ukiipenda tu lazima utoboe chapu!
 
Habari mkuu, nimeanzisha game center nina ps2 na ps3 mbili hapo baadae nina mpango wa kuongeza ps4 ila nasikia ili usisumbuliwe na polisi lazima uende bodi ya game ili upate kibali je kuna ukweli juu ya hili jambo frem nimechukua uswahilini
 
Back
Top Bottom