Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Wakuu msaada kidogo ninahitaji kununua Playstation 4...Nimefanya survey kwa sellers wengi kidogo(kwenye page za Instagram) na nimegundua kuna tofauti kubwa ya bei kati ya sellers wa Kenya na TZ kitu amnacho kinanipa wasiwasi kidogo...mfano; playstation 4 Pro sellers wengi wa tanzania wanauza kuanzia laki 8 na 50 na kuendelea ila kuna sellers wa kenya wawili mmoja laki 5 na 40 na mwingine laki 6: Sasa je hizi bei za wakenya ziko real kweli kwa PS 4 Pro tena unapewa 2 Pads na Parcel yako isafirishwe kwa DHL kwa gharama zao?? Hakuna utapeli kweli hapa? Maana this offer is too good to be true..Mwenye experience ya haya masoko ya Instagram hasa Kenya anisaidie
 
Wakuu msaada kidogo ninahitaji kununua Playstation 4...Nimefanya survey kwa sellers wengi kidogo(kwenye page za Instagram) na nimegundua kuna tofauti kubwa ya bei kati ya sellers wa Kenya na TZ kitu amnacho kinanipa wasiwasi kidogo...mfano; playstation 4 Pro sellers wengi wa tanzania wanauza kuanzia laki 8 na 50 na kuendelea ila kuna sellers wa kenya wawili mmoja laki 5 na 40 na mwingine laki 6: Sasa je hizi bei za wakenya ziko real kweli kwa PS 4 Pro tena unapewa 2 Pads na Parcel yako isafirishwe kwa DHL kwa gharama zao?? Hakuna utapeli kweli hapa? Maana this offer is too good to be true..Mwenye experience ya haya masoko ya Instagram hasa Kenya anisaidie

Kama unarafiki yupo kenya mwmabie akachukue akuagizie.
 
Wadau mtupe mrejesho...Ata mimi napenda sana magem na huwa nataman nije kufungua hii biashara
 
Wakuu msaada kidogo ninahitaji kununua Playstation 4...Nimefanya survey kwa sellers wengi kidogo(kwenye page za Instagram) na nimegundua kuna tofauti kubwa ya bei kati ya sellers wa Kenya na TZ kitu amnacho kinanipa wasiwasi kidogo...mfano; playstation 4 Pro sellers wengi wa tanzania wanauza kuanzia laki 8 na 50 na kuendelea ila kuna sellers wa kenya wawili mmoja laki 5 na 40 na mwingine laki 6: Sasa je hizi bei za wakenya ziko real kweli kwa PS 4 Pro tena unapewa 2 Pads na Parcel yako isafirishwe kwa DHL kwa gharama zao?? Hakuna utapeli kweli hapa? Maana this offer is too good to be true..Mwenye experience ya haya masoko ya Instagram hasa Kenya anisaidie
Tuma hela tu ili upate uhakika😂
 
Wakuu msaada kidogo ninahitaji kununua Playstation 4...Nimefanya survey kwa sellers wengi kidogo(kwenye page za Instagram) na nimegundua kuna tofauti kubwa ya bei kati ya sellers wa Kenya na TZ kitu amnacho kinanipa wasiwasi kidogo...mfano; playstation 4 Pro sellers wengi wa tanzania wanauza kuanzia laki 8 na 50 na kuendelea ila kuna sellers wa kenya wawili mmoja laki 5 na 40 na mwingine laki 6: Sasa je hizi bei za wakenya ziko real kweli kwa PS 4 Pro tena unapewa 2 Pads na Parcel yako isafirishwe kwa DHL kwa gharama zao?? Hakuna utapeli kweli hapa? Maana this offer is too good to be true..Mwenye experience ya haya masoko ya Instagram hasa Kenya anisaidie
Page za Instagram kenya zote ni za matapeli.... Tafuta mtu aliyepo nairobi akutafutie.
Ila bei halisi ninazojua kenya ni ps4 30,000 kesh, ps3 16,000 ksh
 
Unaweza tuwekea namba zao hao wapemba mheshimiwa Ili kupata TV hizo...... Natanguliza shukrani 🙏🙏
Sikia.
*Ps4 chukua moja ni 650k. Chukua iliyochipiwa ndo inafaa kwa biashara.

*ps3 chukua 2 kwa 320k kwa kila moja.
*ps2 chukua 2 kwa 130k kwa kila moja.

* tv chukua 2 za inch 32 kwajili ya ps3 na moja ya inch 42 kwaajili ya ps4. Nenda kwa wapemba mbweni utapata inch 32 kwa 300k na inch 42 kwa 450k za mtumba. Za mtumba zitadumu muda mrefu sana. Nasisitiza usinunue za dukani ni hasara.
*chukua inch 22 kwaajili ya ps2. Vilevile za mtumba.

* nunua gaming pc used kwa 350k. Tafuta hawa jamaa wanaitwa camara huwa wanazo. Chukua na monitor ya inch 22 au tv yenye hdmi au vga port. Hii itakusaidia kuweka games zenye kuharibu pad mf. Mortal kombat x au xl au 11. Pad za pc ni ngumu na gharama yake ni 8k pad moja k.koo.

*ps4 na ps3 weka games za mpira na mission ambazo haziharibu pad. Pc tia game za ngumi na zenye kuharibu pad.

BEI

*Ps3 na ps4 mpira ni 500 kwa dakika 10
Ps2 mpira mechi 2 500 na ni dakika 10

*games zingn za mission ni dakika 15 kwa 500 kwa ps3 na ps4 na dakika 30 kwa ps2.

LOCATION*

tafuta sehemu yenye watu wengi hasa vijana na yenye usalama. Fremu ni kati ya 50k hadi 70k. Usiogope itakulipa tu.

* dumisha usafi na kama unamweka mtu basi mlipe kwa siku elf 5 mpaka elf 7 kwa siku kutegemea na mahesabu anayokuletea.

* fanya mwenyewe kama mwezi hivi ndo umpe kijana. Na uwe muda mwingi unapiga jicho maana wakizoea huwa wana tabia ya udokozi.

* biashara ikikubali weka cctv camera ni kama 450k kila kitu. Itasaidia usalama na pia kum monitor kijana.

*VIFAA VINGINE

*stabilizor ni muhimu sana kwaajili ya kulinda vifaa vyako.
*pads ni za kuchunga hasa za ps4 maana ndo kikwazo kikubwa cha biashara hii.
*kibali toka serikali za mtaa ni 20k tu na hakuna kenge atakaye kusumbua

●muda wa kufungua ni saa 3 asubuhi hadi saa 5 usiku. Ila siku za shule hakikisha madogo hawaingii chini ya saa 7 mchana.

● kwenye ps4 jaribu kuweka hata kijisofa itaongeza hadhi.

****** FAIDA ********

* ukifikia hayo juu jiandae kula kuanzia 20k hadi 30k kwa siku za kawaida na 40k kwa siku za weekend.

KUNA WATU WANAPENDA KUONGEA VITU WASIVYO VIJUA. KAMA HUJUI KITU NI BORA KUKAA KIMYA
 
Sikia.
*Ps4 chukua moja ni 650k. Chukua iliyochipiwa ndo inafaa kwa biashara.

*ps3 chukua 2 kwa 320k kwa kila moja.
*ps2 chukua 2 kwa 130k kwa kila moja.

* tv chukua 2 za inch 32 kwajili ya ps3 na moja ya inch 42 kwaajili ya ps4. Nenda kwa wapemba mbweni utapata inch 32 kwa 300k na inch 42 kwa 450k za mtumba. Za mtumba zitadumu muda mrefu sana. Nasisitiza usinunue za dukani ni hasara.
*chukua inch 22 kwaajili ya ps2. Vilevile za mtumba.

* nunua gaming pc used kwa 350k. Tafuta hawa jamaa wanaitwa camara huwa wanazo. Chukua na monitor ya inch 22 au tv yenye hdmi au vga port. Hii itakusaidia kuweka games zenye kuharibu pad mf. Mortal kombat x au xl au 11. Pad za pc ni ngumu na gharama yake ni 8k pad moja k.koo.

*ps4 na ps3 weka games za mpira na mission ambazo haziharibu pad. Pc tia game za ngumi na zenye kuharibu pad.

BEI

*Ps3 na ps4 mpira ni 500 kwa dakika 10
Ps2 mpira mechi 2 500 na ni dakika 10

*games zingn za mission ni dakika 15 kwa 500 kwa ps3 na ps4 na dakika 30 kwa ps2.

LOCATION*

tafuta sehemu yenye watu wengi hasa vijana na yenye usalama. Fremu ni kati ya 50k hadi 70k. Usiogope itakulipa tu.

* dumisha usafi na kama unamweka mtu basi mlipe kwa siku elf 5 mpaka elf 7 kwa siku kutegemea na mahesabu anayokuletea.

* fanya mwenyewe kama mwezi hivi ndo umpe kijana. Na uwe muda mwingi unapiga jicho maana wakizoea huwa wana tabia ya udokozi.

* biashara ikikubali weka cctv camera ni kama 450k kila kitu. Itasaidia usalama na pia kum monitor kijana.

*VIFAA VINGINE

*stabilizor ni muhimu sana kwaajili ya kulinda vifaa vyako.
*pads ni za kuchunga hasa za ps4 maana ndo kikwazo kikubwa cha biashara hii.
*kibali toka serikali za mtaa ni 20k tu na hakuna kenge atakaye kusumbua

●muda wa kufungua ni saa 3 asubuhi hadi saa 5 usiku. Ila siku za shule hakikisha madogo hawaingii chini ya saa 7 mchana.

● kwenye ps4 jaribu kuweka hata kijisofa itaongeza hadhi.

****** FAIDA ********

* ukifikia hayo juu jiandae kula kuanzia 20k hadi 30k kwa siku za kawaida na 40k kwa siku za weekend.

KUNA WATU WANAPENDA KUONGEA VITU WASIVYO VIJUA. KAMA HUJUI KITU NI BORA KUKAA KIMYA

 
Ps 4 pro hata iwe 500 GB upati kwa laki 5,tena wamekutangulizia na chambo ya controllers 2,unaenda kupigwa mkuu,hiyo bei hata ps 4 slim upati
Wakuu msaada kidogo ninahitaji kununua Playstation 4...Nimefanya survey kwa sellers wengi kidogo(kwenye page za Instagram) na nimegundua kuna tofauti kubwa ya bei kati ya sellers wa Kenya na TZ kitu amnacho kinanipa wasiwasi kidogo...mfano; playstation 4 Pro sellers wengi wa tanzania wanauza kuanzia laki 8 na 50 na kuendelea ila kuna sellers wa kenya wawili mmoja laki 5 na 40 na mwingine laki 6: Sasa je hizi bei za wakenya ziko real kweli kwa PS 4 Pro tena unapewa 2 Pads na Parcel yako isafirishwe kwa DHL kwa gharama zao?? Hakuna utapeli kweli hapa? Maana this offer is too good to be true..Mwenye experience ya haya masoko ya Instagram hasa Kenya anisaidie
 
Nashukuru nimeingia rasmi kwenye hii biashara.

Kiukweli ukipata sehemu za uswahilini, kwa kuanza, unatoboa kiurahisi sana.

Kama ukiwa vizuri zaidi na mtaji wa kutosha, ukipata sehemu za mjini hasa maeneo ya chuo - ni vizuri zaidi, japo sijui exactly wananufaika vipi.

Malengo yangu ni kupiga hii mishe vizuri uswahilini, niingize mzigo wa kutosha then nikapambane huko town.
 
Nashukuru nimeingia rasmi kwenye hii biashara.

Kiukweli ukipata sehemu za uswahilini, kwa kuanza, unatoboa kiurahisi sana.

Kama ukiwa vizuri zaidi na mtaji wa kutosha, ukipata sehemu za mjini hasa maeneo ya chuo - ni vizuri zaidi, japo sijui exactly wananufaika vipi.

Malengo yangu ni kupiga hii mishe vizuri uswahilini, niingize mzigo wa kutosha then nikapambane huko town.

Mawazo yako ni mawazo yangu.. nimenunua TVs na PS 4 nne.. hapa nakusanya mzigo wa furniture na rent huku nikifanya survey ya location nzuri..
 
Kutengeneza button moja tu ya pad za PS4 sio chini ya elfu 30.
CD ikisizingua tu, moja sio chini ya 120K OG, ku update mashine sio chini ya 30GBs za internet yenye speed kali.

Mkiongea haya mambo ongeeni kwenye uhalisia wake.

Nafanya hii biashara, usipokuwa makini, watu wavuta analogy joyride kama uoinde wa mshale, utajuta.... Zinameguka, spare elfu 60
Mkuu inaonyesha unajua hii biashara vizuri vp kuhusu wanachosema juu ya mapato?natamani kuifanya ila juu ya changamoto zake na je znakabilika
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom