wakusanda
Member
- Jun 13, 2019
- 61
- 302
Usipokee mtoto alievaa sare za shule!! Usiruhusu ugomvi kwenye biashara yako ... ukizuia hiyo defender watakuja kukupa ulinzi tuu!! Sijawahi kusumbuliwa na polisi ...labda sungu sungu watakuja kukuambia maneno maneno ila ukiwapa 10k wanakua walinzi wakoWazee wa defender uwa wasumbufu sana pia kwenye hii biashara