Tibalikwenda
JF-Expert Member
- Aug 27, 2020
- 285
- 595
Mchunguze mshindani wako ujue sabb za yeye kuwin wateja wengi, huenda anauza promotion, so wateja anawapata kwa punguzo la Bei, dawa hapo ni kushusha Bei kidogo ili uanze kuwavuta kidogo kidogo, pambana uongeze bidhaa ili wakikosa kwa jirani zako waje wanunue kwako itakua ni njia 1 ya kupata wateja ila unavosema mtaj wako ni w wastan hutaweza ku win kweNye hiyo Vita,.kumbuka kua hapo uko vitani Kuna kushinda au kushindwa vita na kupoteza hata hicho kidogo ulichonacho.miez 6 inatosha kufanya tasmin ya biashara yako.