BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,164
Chanzo kikuu cha maduka mengi kufilisika ni
1. Kodi kubwa ya fremu
2. Gharama za maisha (maana mwenye duka pia ni binadam na ana familia pia kama amepanga chumba ana kodi ya kulipa)
3. Kodi kubwa ya Serikali (wengi huangushwa na hili)
4. MIKOPO dukani (marafiki, ndugu na majirani)
Njia pekee ya kuendeleza biashara ya duka ni kuwatolea imani kuwa wakija kukopa watapata. Yaani wape hofu ya kukopa kabisa.
Mfano mzuri ni jana tu. Kuna mke wa mjeshi alizoea kuchukua vitu halafu hela ni mpaka mumewe akirudi. Kilichonitisha n kuwa nilickia maduka mengne wakilalamika kuwa huwa halipi kwa wakati. Jana kajileta akitaka maji ya lita 12, sikumpa (na nilisubiri mpaka anipe hela yangu).
Mfano wa pili ni rafiki yangu ambaye tumesoma pamoja kuanzia primary mpaka sekondari. Jamaa alkuja kunitembelea tu halafu baadae akatafta chumba jirani na ninakofanyia biashara.
Kila jioni akawa anakuja anachukua kitu cha 600 anatoa 500 (anasema ntaileta, hapohyo itapitiliza wiki) na kuna deni nilimkopesha 2012 mpaka leo hii hajawah hata kukumbushia.
Jana nikasema ngoja nimuoneshe ukatili. Tulipiga story fresh, tumecheka saana. Mwishoni akataka kitu cha 500 akisema hela atoe kesho nilimkazia na hakuamini. Akadhani utani lakini sikumpa chochote.
Kwa wale wanaotaka kuanzisha au wanaofanya biashara ya duka kama wahitaji kuendelea kimaisha
1. Ifanye biashara maisha yako
2. Isimamie ipasavyo
3. Urafiki na biashara vikae mbali
4. Kopesha kama mtu ni muaminifu na kama waona kweli kuna uhitaji wa kumpa(roho ikisita usitoe)
5. Hela ya dukani usitoe hata siku moja hata kama mtu amekuomba kwa muda mfupi
6. Kaa mbali na wanawake(tongoza wanawake wa mbali na wasiojua unafanya ishu gani au wajue unauza duka ila wadanganye location)
7. Roho nyepesi weka pembeni. Binadamu ukimchekea siku ukifilisika atakucheka
Natumaini wale wenye nia ya kufanya biashara ya duka au wenye hiyo bishara tayari tumejifunza kitu.
1. Kodi kubwa ya fremu
2. Gharama za maisha (maana mwenye duka pia ni binadam na ana familia pia kama amepanga chumba ana kodi ya kulipa)
3. Kodi kubwa ya Serikali (wengi huangushwa na hili)
4. MIKOPO dukani (marafiki, ndugu na majirani)
Njia pekee ya kuendeleza biashara ya duka ni kuwatolea imani kuwa wakija kukopa watapata. Yaani wape hofu ya kukopa kabisa.
Mfano mzuri ni jana tu. Kuna mke wa mjeshi alizoea kuchukua vitu halafu hela ni mpaka mumewe akirudi. Kilichonitisha n kuwa nilickia maduka mengne wakilalamika kuwa huwa halipi kwa wakati. Jana kajileta akitaka maji ya lita 12, sikumpa (na nilisubiri mpaka anipe hela yangu).
Mfano wa pili ni rafiki yangu ambaye tumesoma pamoja kuanzia primary mpaka sekondari. Jamaa alkuja kunitembelea tu halafu baadae akatafta chumba jirani na ninakofanyia biashara.
Kila jioni akawa anakuja anachukua kitu cha 600 anatoa 500 (anasema ntaileta, hapohyo itapitiliza wiki) na kuna deni nilimkopesha 2012 mpaka leo hii hajawah hata kukumbushia.
Jana nikasema ngoja nimuoneshe ukatili. Tulipiga story fresh, tumecheka saana. Mwishoni akataka kitu cha 500 akisema hela atoe kesho nilimkazia na hakuamini. Akadhani utani lakini sikumpa chochote.
Kwa wale wanaotaka kuanzisha au wanaofanya biashara ya duka kama wahitaji kuendelea kimaisha
1. Ifanye biashara maisha yako
2. Isimamie ipasavyo
3. Urafiki na biashara vikae mbali
4. Kopesha kama mtu ni muaminifu na kama waona kweli kuna uhitaji wa kumpa(roho ikisita usitoe)
5. Hela ya dukani usitoe hata siku moja hata kama mtu amekuomba kwa muda mfupi
6. Kaa mbali na wanawake(tongoza wanawake wa mbali na wasiojua unafanya ishu gani au wajue unauza duka ila wadanganye location)
7. Roho nyepesi weka pembeni. Binadamu ukimchekea siku ukifilisika atakucheka
Natumaini wale wenye nia ya kufanya biashara ya duka au wenye hiyo bishara tayari tumejifunza kitu.