Biashara ya duka la rejareja inahitaji roho ngumu

1. Marafiki ni muhimu sana ktk biashara, unawadhibiti ili wasiwe wadaiwa kichefuchefu ni suala jingine
2. Biashara ya duka ina FAIDA NDOGO lakini ni YA UHAKIKA kuliko biashara nyingi ndogo ndogo
3. Ili biashara iendelee lazima wewe UKOPESHE nawe UKOPESHWE. Tatizo linakuja unabalance vipi mkopo uliokopa na uliokopesha. Kuna kanuni moja kubwa inasema.

i Kwa uliowakopesha hakikisha wanakulipa mapema kadri iwezekanavyo BILA KUHATARISHA MAHUSIANO ili mzunguko wako kibiashara uwe mzuri, maana siri ya urembo kwenye biashara hii ni kuwa na sufficient cash.ILA CHUNGA UHUSIANO NAO wakati unawadai.

ii Kwa waliokukopesha hakikisha unachelewa kuwalipa Kadari iwezekanavyo BILA KUHATARISHA MAHUSIANO NAO Ili uendelee kupata mikopo na mzunguko wako kibiashara uwe mzuri.

Inatosha kwa leo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Marafiki ni muhimu sana ktk biashara, unawadhibiti ili wasiwe wadaiwa kichefuchefu ni suala jingine
2.Biashara ya duka ina FAIDA NDOGO lakini ni YA UHAKIKA kuliko biashara nyingi ndogo ndogo
3.Ili biashara iendelee lazima wewe UKOPESHE nawe UKOPESHWE. Tatizo linakuja unabalance vipi mkopo uliokopa na uliokopesha. Kuna kanuni moja kubwa inasema.

i-Kwa uliowakopesha hakikisha wanakulipa mapema kadri iwezekanavyo BILA KUHATARISHA MAHUSIANO ili mzunguko wako kibiashara uwe mzuri, maana siri ya urembo kwenye biashara hii ni kuwa na sufficient cash.ILA CHUNGA UHUSIANO NAO wakati unawadai.

ii- Kwa waliokukopesha hakikisha unachelewa kuwalipa Kadari iwezekanavyo BILA KUHATARISHA MAHUSIANO NAO Ili uendelee kupata mikopo na mzunguko wako kibiashara uwe mzuri.

Inatosha kwa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu kwa usawa huu uliopo sasa hv kulipwa kwa wakti ipo lakn n mara chache saana. Kikubwa ni kutokopesha kabisaa, yaan n bora mtu aje na hela nusu kuliko kutokuja na hela kabisaaaa.

Maisha ya sasa c ya kumkopesha mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chunguza vizuri ndugu either unauza vitu bei juu au lugha yako kw wateja au bidhaa zako n mbov (au umeweka bidhaa sehem ambyo hakuna watumiaji)

Ni sawa na kuuza blueband kubwa uswahili lazima ikudodee dukani.

Chunguza hvyo vitu hlf vifanyie kazi

Pia wahi kufungua hlf chelewa kufunga
Mi wateja wamepungua sana yaani mauzo yapo chini ya elfu 50 kutoka zaidi ya kilo 100 nifanyeje niongeze wateja vitu vinadoda dukani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chunguza vizuri ndugu....either unauza vitu bei juu au lugha yako kw wateja...au bidhaa zako n mbov (au umeweka bidhaa sehem ambyo hakuna watumiaji)

Ni sawa na kuuza blueband kubwa uswahili....lazima ikudodee dukan...

Chunguza hvyo vitu hlf vifanyie kazi

Pia wahi kufungua hlf chelewa kufunga

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana mkuu, akikaa mke wangu wateja hawaji sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto kubwa ni aina ya bidhaa pamoja na utokaji wake;kama utokaji wake ni mdogo unajikuta unakopesha ili visije kuharibikia dukani au isijepitwa na wakati.
 
Akala keki khaaa! Japo ni kweli uliyosema ila nimekuwaziaa tofauti
Pole sana ndugu. Marafiki co watu. Mimi huyu rafiki yangu kuna cku aliniudhi ndo maana nkamkazia, alipita dukani tukasalimiana then akachukua keki akala aksema "hii utalipa wew". Nilikasirika kwakweli, ila nkasema ngojea nimuonyeshe upande wa pili nakuaje. Tangu juz nlpomkazia, hajaja mpaka leo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Marafiki ni muhimu sana ktk biashara, unawadhibiti ili wasiwe wadaiwa kichefuchefu ni suala jingine
2.Biashara ya duka ina FAIDA NDOGO lakini ni YA UHAKIKA kuliko biashara nyingi ndogo ndogo
3.Ili biashara iendelee lazima wewe UKOPESHE nawe UKOPESHWE. Tatizo linakuja unabalance vipi mkopo uliokopa na uliokopesha. Kuna kanuni moja kubwa inasema.

i-Kwa uliowakopesha hakikisha wanakulipa mapema kadri iwezekanavyo BILA KUHATARISHA MAHUSIANO ili mzunguko wako kibiashara uwe mzuri, maana siri ya urembo kwenye biashara hii ni kuwa na sufficient cash.ILA CHUNGA UHUSIANO NAO wakati unawadai.

ii- Kwa waliokukopesha hakikisha unachelewa kuwalipa Kadari iwezekanavyo BILA KUHATARISHA MAHUSIANO NAO Ili uendelee kupata mikopo na mzunguko wako kibiashara uwe mzuri.

Inatosha kwa leo



Sent using Jamii Forums mobile app
MI nikidaiwa naomba siku niongezewe ila nikikudai unapaswa ulipe kwa wakati. Bila hivi utaishia pua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kivipi tena ndugu??

Sent using Jamii Forums mobile app
Alichofanya ni sahihi,hapana mazoea kwenye biashara ya MTU.Kwa mfanyabiashara shilingi mia inathamani kubwa kwake,Kaka yangu anachukua mchele&mahindi ila faida yake kwa kg ni 100 au 50 ndio faida aliyojipangia hivyo kuwashinda wapinzani wake wenye tamaa.Akileta tani 30 hazimalizi week.Kwa waajiriwa waliowengi ni tofauti cze wanaogopa kuitwa mabaili.
 
Duka unaweza kuanza hata na laki 5....kkubwa n moyo na msimamo wa kulisimamia

Kwanza chunguza unapotaka kuweka biashara
Chunguza bidhaa adim...iweke
Chunguza pia kipato cha wateja wa hyo sehem(hii n kujua aina gan ya bidhaa zitatoka)
Chunguza washindan wako(wauza duka wenzio...mapungufu yao na ikiwezkana muda wanaofunga na kufungua)
Katika kipindi cha mwanzon angalia huduma ambzo zna faida...hii n kwa ajili ya kuleta mzunguko mzuri
Duka likisimama na kukua sasa ndipo utaweka na zile znazochukua mda mrefu kutoka

Just duka co mtaji wa kuanza nao....bali ni wew muuzaji...ht kama ukianza na billion 1 muuzaji ukiwa weak litafirisika ndan ya wiki

Just...
kama n bachelor weka mapenz pemben

Tumia lugha nzuri kwa wateja(usiseme kitu hakipo...sema kimekuishia...ahidi kuwa utaleta...ht km hutaleta)

Jenga mazoea na wateja ila yasizidi(mazoea kwenye biashara hupelekea mikopo)

Pia kaa mbali na wanawke hasa wake za watu(wengi huleta mazoea lkn jitahidi kuwaepuka.....hii ni sababu kuu ya maduka mengi kufa)

Epuka mikopo..(usikopeshe...na kama ukishndwa weka limit kuwa mwsho ni 500....na iwe kwa wateja waaminifu tu)

Huruma weka pemben..(binadam hua wana majaribu usiruhusu huruma ikutawale....hata kama waweza kmsaidia jizuie maan itakuponza)

Iheshim hela ya dukani....(ikitoka nje iwe n kama unarudisha chenji au unanunua bidhaa...usimpe mtu hela ya biashara ht km akisema ataleta baada ya dakika 2...binadam akiwa na shda huongea ahadi nyingi sana)

Mwisho napenda kusema kuwa hakuna biashara nzuri kama ile uloikuuza kwa mtaji mdogo...utaiheshim....utakuwa makini...na pia utaogopa kufirisika maana unajua hali ilivyo ukiwa umefirisika

Hpo gharama hasa ni frem...ila hapo kwenye duka ni wew mwenyew....!!mtaji wa kwanza kabisa ni wew....then hela inafuata....ila ni vema ukianza na mil.1...na tafuta frem ndogo ya wastan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duka unaweza kuanza hata na laki 5....kkubwa n moyo na msimamo wa kulisimamia

Kwanza chunguza unapotaka kuweka biashara
Chunguza bidhaa adim...iweke
Chunguza pia kipato cha wateja wa hyo sehem(hii n kujua aina gan ya bidhaa zitatoka)
Chunguza washindan wako(wauza duka wenzio...mapungufu yao na ikiwezkana muda wanaofunga na kufungua)
Katika kipindi cha mwanzon angalia huduma ambzo zna faida...hii n kwa ajili ya kuleta mzunguko mzuri
Duka likisimama na kukua sasa ndipo utaweka na zile znazochukua mda mrefu kutoka

Just duka co mtaji wa kuanza nao....bali ni wew muuzaji...ht kama ukianza na billion 1 muuzaji ukiwa weak litafirisika ndan ya wiki

Just...
kama n bachelor weka mapenz pemben

Tumia lugha nzuri kwa wateja(usiseme kitu hakipo...sema kimekuishia...ahidi kuwa utaleta...ht km hutaleta)

Jenga mazoea na wateja ila yasizidi(mazoea kwenye biashara hupelekea mikopo)

Pia kaa mbali na wanawke hasa wake za watu(wengi huleta mazoea lkn jitahidi kuwaepuka.....hii ni sababu kuu ya maduka mengi kufa)

Epuka mikopo..(usikopeshe...na kama ukishndwa weka limit kuwa mwsho ni 500....na iwe kwa wateja waaminifu tu)

Huruma weka pemben..(binadam hua wana majaribu usiruhusu huruma ikutawale....hata kama waweza kmsaidia jizuie maan itakuponza)

Iheshim hela ya dukani....(ikitoka nje iwe n kama unarudisha chenji au unanunua bidhaa...usimpe mtu hela ya biashara ht km akisema ataleta baada ya dakika 2...binadam akiwa na shda huongea ahadi nyingi sana)

Mwisho napenda kusema kuwa hakuna biashara nzuri kama ile uloikuuza kwa mtaji mdogo...utaiheshim....utakuwa makini...na pia utaogopa kufirisika maana unajua hali ilivyo ukiwa umefirisika

Hpo gharama hasa ni frem...ila hapo kwenye duka ni wew mwenyew....!!mtaji wa kwanza kabisa ni wew....then hela inafuata....ila ni vema ukianza na mil.1...na tafuta frem ndogo ya wastan



Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ujumbe murua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika biashara ngumu ni hii ya duka, sukari kg 50 ina faida ya 7000 na unaweza uza hiyo sukari week 1 kutegemea na location, mchele kg 50 faida yake haizidi 8000 na unaweza uza week 1 kutegemea na location, bado kuna kodi ya nyumba, kodi ya serikali, leseni, TFDA, nk. Faida ni ndogo sana bora ubuni biashara nyingine kuliko hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika biashara ngumu ni hii ya duka, sukari kg 50 ina faida ya 7000 na unaweza uza hiyo sukari week 1 kutegemea na location, mchele kg 50 faida yake haizidi 8000 na unaweza uza week 1 kutegemea na location, bado kuna kodi ya nyumba, kodi ya serikali, leseni, TFDA, nk. Faida ni ndogo sana bora ubuni biashara nyingine kuliko hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umewahi ifanya hii biashara? Umesoma pia comments/ushauri wa waliotangulia? Naona wewe ni mkataji tamaa mzuri sana. Hii biashara ina faida sana. Sijawahi ifanya ila ina faida kubwa kutokana na utafiti nilioufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umewahi ifanya hii biashara? Umesoma pia comments/ushauri wa waliotangulia? Naona wewe ni mkataji tamaa mzuri sana. Hii biashara ina faida sana. Sijawahi ifanya ila ina faida kubwa kutokana na utafiti nilioufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilishafanya biashara hii miaka kumi sio naandika nisichokijua ndugu, hii biashara ni ngumu labda upate location nzuri na usimamie mwenyewe usiweke kijana kwasababu biashara hii faida yake 10% ya mauzo yote kwa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom