Habari wakubwa.
Naomba kujua kuhusu hii biashara Kama ni illegal au hapana na mahala pa kuzipata kwa jumla na bei zake kwa mwenye kujua, maana kuna tenda jamaa yangu kanipa yeye ni muuza mtumba kwenye hostel za kike za wanavyuo wengi hapa mjini na wadada wengi wanaulizia Kama kwenye mtumba anazionaga awaletee.
Sasa kwa nini za mtumba na wakati za special zipo? Hadi now wapo likizo wadada 8 wanahitaji. Naombeni kujuzwa zinakopatikana hapa Dar.
Wanasema raha jipe mwenyewe hawataki stress!
Naomba kujua kuhusu hii biashara Kama ni illegal au hapana na mahala pa kuzipata kwa jumla na bei zake kwa mwenye kujua, maana kuna tenda jamaa yangu kanipa yeye ni muuza mtumba kwenye hostel za kike za wanavyuo wengi hapa mjini na wadada wengi wanaulizia Kama kwenye mtumba anazionaga awaletee.
Sasa kwa nini za mtumba na wakati za special zipo? Hadi now wapo likizo wadada 8 wanahitaji. Naombeni kujuzwa zinakopatikana hapa Dar.
Wanasema raha jipe mwenyewe hawataki stress!